Recent posts
2 July 2024, 17:52
Umuhimu wa lishe kwa mtoto
Kwa mujibu wa utafiti wa afya ya uzazi na mtoto viashiria ya malaria Tazania mwaka 2025/16 hali ya lishe kwa watoto inaboreka tangu mwaka 1991/92 Nusu ya watoto walikuwa wamedumaa ukilinganisha na mwaka 2015/19 asilimia 34. Na Mindi Joseph.Kuboresha lishe…
2 July 2024, 17:34
Wazazi watakiwa kuwapa elimu watoto wenye ulemavu
Mratibu wa Elimu Jumuishi Bi. Jane Mgidange kutoka shirika la FPCT amewataka wazazi na walezi kutambua kuwa watoto wenye ulemavu si mzigo bali ni zawadi kutoka kwa Mungu hivyo wanapaswa kuthaminiwa kama watoto wengine. Na Mariam Kasawa.Wazazi na walezi wametakiwa…
26 June 2024, 18:20
EWURA yawaonya wauzaji holela wa mafuta
Aidha amesema kuwa , moja kati ya changamoto iliyopo ni ukosefu wa elimu kwa jamii kuhusu huduma zinazotolewa na Mamlaka hiyo. Na Mariam Kasawa.Mamalaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) Kanda ya Kati imeonya watu ambao wamekuwa…
26 June 2024, 17:50
NaCoNGO watakiwa kufanya kazi kwa weledi na kuzingatia sheria
Sekta Binafsi nchini zimekuwa na mchango katika kuchangia ukuuaji wa uchumi wa Taifa. Na Mindi Joseph.Baraza la Taifa la Mashirika yasiyo ya Kiserikali NaCoNGO limetakiwa kufanya kazi kwa weledi na kuzingatia sheria ili kukidhi matarajio ya Jamii na Taifa. Waziri…
25 June 2024, 18:50
Uhuru wa kujieleza ni haki ya kila mtu
Kila mtu ana uhuru wa kujieleza bila kuvunja sheria za nchi kwa kufuata taratibu na kanuni za Nchi. Mindi Joseph.Uhuru wa kujieleza unatajwa kuwa ni haki ya kila mtu lakini watu wanapaswa kujielewa kwanza kabla ya kutumia uhuru huu bila…
25 June 2024, 18:33
Watu wenye ulemavu watakiwa kuungana na serikali kupinga vitendo vya ukatili
Tayari serikali imejenga mifumo thabiti ya udhibiti wa vitendo hivyo na kilichobaki ni ushiriki wa makundi yote ya jamii katika kuhakikisha vitendo hivyo viovu vinakomeshwa hapa nchini. Na Mindi Joseph.Watu wenye ulemavu wametakiwa kuungana na serikali katika mapambano dhidi ya…
21 June 2024, 17:58
Wafanyabiashara watakiwa kusajili majina na alama za biashara zao
Sheria inamuhitaji kila mfanya biashara ajirasimishe kwasababu ukirasimisha biashara yako unapata faida nyingi ikiwa pamoja na kupata tenda mbali mbali za serikali na sekta binafsi. Mindi Joseph.wajasiriamali na wafanyabiashara nchini wametakiwa kusajili na kurasimisha majina na alama za biashara ili…
20 June 2024, 13:01
Watumishi wa Umma wahimizwa matumizi ya TEHAMA
Maonesho haya yanalenga kutoa huduma kwa wananchi moja kwa moja na kwa urahisi zaidi na kupitia maonesho haya serikali inapata maoni kutoka kwa wadau na wananchi kwa urahisi zaidi. Na Mariam Kasawa.Watumishi wa umma wametakiwa kuwa wafuatiliaji wa teknolojia mbalimbali…
18 June 2024, 17:35
Serikali kuendelea kutambua mila na tamaduni za Kitanzania
Sherehe za utamaduni wa kabila la wagogo maarufu kama Tambiko hufanyika kila mwaka kwa lengo la kuomba Baraka kwa Mwenyezi Mungu. Na Anselima Komba.Serikali imesema inatambua mila na tamaduni za kitanzania na itaendelea kuzienzi kwa kutambua mchango mkubwa unaotolewa kwa…
14 June 2024, 12:45
Wananchi Mapinduzi waiomba serikali kuingilia kati mgogoro uchimbaji wa mchanga
Dodoma Tv itaendelea kufuatilia kwa ukaribu zaidi sakata hilo ili kujua hatima yake kutoka na kuleta Sintofahamu katika eneo hilo. Na Fred Cheti. Wakazi wa mtaa wa Mapinduzi kata ya Mbabala wameiomba serikali kuingilia kati mgogoro wa uchimbaji wa mchanga…