Dodoma FM
Dodoma FM
11 April 2024, 5:18 pm
Tangu REA kusimika nguzo za umeme kwa kufuata muelekeo wa barabara imesababisha baadhi ya maeneo mengi kushindwa kufikiwa na huduma hiyo. Na Victor Chigwada.Uongozi wa serikali ya kata ya Idifu wilayani Chamwino umeiomba serikali kuwasambazia huduma ya umeme katika maeneo…
11 April 2024, 4:59 pm
Vitendo vya uhujumu wa miundombinu ya umeme vinakwamisha jitihada za Serikali za kutoa huduma ya uhakika ya umeme kwa wananchi. Na Fred Cheti.Watu watatu wanashikiliwa na jeshi la Polisi Mkoani Dodoma kwa tuhuma za kuhujumu miundombinu ya shirika la umeme…
11 April 2024, 4:41 pm
Usikose kesho kwenye sehemu ya pili ambapo utafahamu ni jitihada gani zinafanyika kuwasaidia wanawake wanaoshindwa kumiliki mali kwa Usawa. Na Seleman Kodima.Leo tunaangazia Umiliki wa mali kwa Usawa ambapo Imeelezwa kuwa mwanamke anahaki ya msingi ya kumiliki mali kama ilivyo…
8 April 2024, 6:03 pm
Mbunge Keisha amemshukuru Rais Samia kwa kuwajali watanzania hususani watu wenye ulemavu nchini. Miongoni mwa mkakati jumuishi wa serikali ni kuhakikisha mpaka kufikia mwaka 2033 zaidi ya 80% ya wananchi nchini wawe wanatumia nishati safi ya kupikia ikiwemo gesi na…
8 April 2024, 5:48 pm
Shughuli hiyo iliratibiwa na Baraza Kuu la Waislamu Tanzania BAKWATA wilaya ya Dodoma kwa kushirikiana na misikiti ya wilaya ya Dodoma. Na Seleman Kodima.Sheikh wa Mkoa wa Dodoma Alhaj Mustafa Rajab Shaban amewataka wafungwa na mahabusu waliopo magerezani kutumia vyema…
4 April 2024, 5:39 pm
Katika kipindi cha miaka 3kuanzia 2021-2024 miche 113,306 imeweza kuzalishwa. Na Fred Cheti.Halmshauri ya jiji la Dodoma imefanikiwa kuongeza uzalishaji wa zao la zabibu ambalo ndio zao kuu la kimkakati katika jijini la Dodoma . Hayo yameelezwa na bi Yustina…
4 April 2024, 5:27 pm
Serikali kupitia Wizara ya Maji na Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dodoma (DUWASA) imewekeza kiasi cha shilingi bilioni 9.14 ikiwa ni hatua za haraka na muda mfupi zilizofanyika za kutatua changamoto ya maji pamoja na uchimbaji na uendelezaji…
4 April 2024, 5:01 pm
Kutokana na hali hiyo Mariam Matundu amezungumza mtaalamu kutoka shuo cha serikali za mitaa Hombolo na ameanza kuuuliza nini kikwazo katika usawa wa kijinsia kwenye uongozi wa kisiasa. Na Mariam Matundu.Leo tunaangazia uongozi katika siasa ,ambapo kwa mujibu wa takwimu…
3 April 2024, 6:13 pm
Katika zoezi hilo DUWASA imebaini kuzidiwa na miundombinu ya majitaka eneo la Makole. Na Seleman Kodima.Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dodoma (DUWASA) imeendelea na zoezi la ukaguzi wa miundombinu ya majitaka katika maeneo mbalimbali ya Jiji la Dodoma…
3 April 2024, 6:02 pm
Mikakati ya TARURA kuboresha Miundombinu ya barabara na madaraja katika mkoa wa Dodoma ili kurahisisha shughuli za kiuchumi. Na Fred Cheti.Ujenzi wa daraja la Ng’o’ng’ona lililopo katika Kata ya Ng’o’ng’ona Jijini Dodoma linalojengwa kwa teknolojia ya Mawe linatarajiwa kufungua fursa…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-