Recent posts
30 July 2024, 18:46
RC Senyamule: Maonesho ya nanenane Dodoma yatakuwa ya kipekee
Mkuu wa Mkoa ametumia nafasi hiyo kuwaalika watu kutoka maeneo mbalimbali ndani na nje ya nchi kushuhudia upekee wa maonesho hayo. Na Seleman Kodima. Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Rosemary Senyamule amewahakikisha wakazi wa Dodoma kuwa maonesho ya Nanenane kitaifa…
30 July 2024, 18:26
NIRC yatarajia kuchimba visima 60,000 nchini
Mpango huu unalenga kuwa na visima vyenye uwezo wa kuhudumia wakulima na umelenga kuinua sekta ya Kilimo cha Umwagiliaji na kuchochea ukuaji wa uchumi nchini. Na Mindi Joseph. Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC) kupitia Wizara ya Kilimo inatarajia kuchimba…
29 July 2024, 20:07
Jamii yaomba elimu zaidi ugonjwa wa homa ya ini-Makala
Jamii imetakiwa kuchukua tahadhari na kupata vipimo au chanjo. Na Steven Noel.Jamii imeombwa kuendelea kuelimishwa juu ya ugonjwa wa homa ya ini ili iendelee kuchukua tahadhari na kupata vipimo au chanjo. Akiongea na Dodoma FM daktari bingwa na mbobezi wa…
29 July 2024, 19:53
Umeme wa REA waimarisha huduma za afya Hombolo Bwawani
Mikoa mingine inayotekelezwa na mradi huo ni Mwanza, Kagera, Simiyu, Arusha, Pwani, Lindi na Mtwara. Na Mindi Joseph.Baadhi ya Wananchi kutoka katika Mitaa ya Kolimba na Hombolo Bwawani Kata ya Hombolo Jijini Dodoma wamesema uwepo wa huduma ya Umeme wa…
29 July 2024, 19:32
Zipi sifa za kiongozi bora wa serikali za mitaa?
Na Mariam Matundu.Tupo na Clara Mchunguzi kutoka shirika la Restless development anatueleza zaidi kuhusu sifa za kiongozi bora wa serikali ya mtaa.
29 July 2024, 19:18
Jamii yatakiwa kudumisha kampeni ya mtu ni afya
Ikumbukwe kuwa kampeni ya Mtu ni Afya yenye kaulimbiu inayosema Fanya kweli, Usibaki nyuma ilizinduliwa na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango tarehe 9 Mei, 2024 . Na Mariam Kasawa.Wananchi wametakiwa kuendelea…
29 July 2024, 18:45
Jamii yakumbushwa kumpa nafasi mwanamke
Nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh Dkt. Samia Suluhu Hassan ni maono mema yenye kubeba taswira ya mabadiliko kwa jamii kutambua wanawake wanaweza kuongoza. Na Victor Chigwada.Jamii imekumbushwa kuona umuhimu wa kumpa nafasi mwanamke kwenye nyanja…
24 July 2024, 17:25
Shule ya Sekondari Bihawana tunu ya kata ya Mbabala
Yussuph Hassan ameongea na Diwani wa kata ya Mbabala Mh Pascazia Charles Mawala ambapo anaielezea shule hii. Na Yussuph Hassan.Shule ya Sekondari Bihawana ni Shule ya bweni inayodahili wanafunzi wavulana wa Kidato cha Tano na Sita tu. Shule inatoa Elimu…
24 July 2024, 17:07
Ukarabati shule ya msingi Michese wasaidia kupunguza utoro
Shule ya Msingi Michese ina zaidi ya wanafunzi 2000, walimu wakiwa ni 40 na madarasa 16 huku ikiwa na uhitaji wa madarasa 44 ili kukidhi mahitaji ya wanafunzi. Na Mindi Joseph.Zaidi ya Shilingi Milioni 100 zimetumika katika Ukarabati wa Miundombinu…
24 July 2024, 16:40
Wananchi watakiwa kutoa ushirikiano polisi vitendo vya ukatili
Kanisa la Pentecostal Convent Faith lililopo Njedengwa Dodoma limesimika Viongozi mbalimbali wa Kanisa hilo ikiwemo Wachungaji zaidi ya watano na Wainjilisti. Na Yussuph Hassan.Wananchi Mkoani Dodoma wametakiwa kutoa ushirikiano kwa Jeshi la Polisi dhidi ya vitendo vya ukatili ikiwemo matukio…