Dodoma FM
Dodoma FM
28 May 2024, 17:09
Tunaona jitihada za wadau mbalimbali ikiwemo wizara ya afya katika kuelimisha jamii juu ya kuweka mazingira wezeshi kwa mabinti na wanawake ili waweze kupa hedhi salama pamoja na kuvunja ukimya kuzungumza juu ya suala la hedhi . Na Mariam Matundu.Ikiwa…
23 May 2024, 17:15
Bwawa Ntube ni bwawa ambalo limekuwepo katika mtaa huo kwa miaka mingi ambapo huhifadhi maji kwa mwaka mzima bila kukaua hivyo kuwa msaada kwa wakazi wa mtaa huo. Na Mariam Kasawa.Wakazi wa mtaa wa Ntube kata ya Nkuhungu wameiomba serikali…
23 May 2024, 16:27
Kata ya Ntyuka ina Mitaa mitano na wamenufaika na Visima 3 viliyochimbwa katika maeneo yao kwani viwili vinatoa maji na kimoja bado hakijaanza kutoa maji. Na Mindi Joseph.Wakazi zaidi ya Elfu 14,000 wa kata ya Ntyuka Jijini Dodoma Wameondokana adha…
23 May 2024, 15:59
siku ya hedhi salama huadhimishwa kila mwaka Mei 28. Na Mariam Matundu.Waziri wa afya ameitaka jamii na wadau kuweka mazingira rafiki kwenye suala la hedhi salama ili mwanamke aweze kutimiza majukumu yake bila kikwazo. Waziri Ummy amesema hayo wakati akitoa…
22 May 2024, 09:10
Wananchi wametakiwa kuwa na desturi ya kupenda kununua na kutumia bidhaa zinazozalishwa na viwanda Nchini ili kukuza viwanda hivyo na uchumi wa nchi . Na Mindi Joseph.Serikali imetoa wito kwa wadau wa sekta ya Viwanda na Biashara kuzingatia mambo matatu…
21 May 2024, 15:44
Askofu Joseph alipoteza maisha may. 16 mwaka huu baada ya kuchukua maamuzi ya kujinyonga. Na Alfred Bulahya.Mwili wa aliekuwa askofu mkuu wa kanisa la Tanzania Methodist TMC Askofu Joseph Bundala umezikwa jana katika viunga vya kanisa la Ihumwa alilokuwa akiliongoza.…
21 May 2024, 15:19
Chemba ya Wanawake Wafanyabiashara Tanzania imeendelea kuboresha maisha ya wanawake kupitia ujuzi na namna ya uwekezaji na kutafuta masoko. Na Mindi Jodeph.Zaidi ya wanawake 300 wamenufaika na kujikwamu kiuchumi kupitia mradi wa uwezeshaji wanawake wajasiriamali Wilayani Chamwino Mkoani Dodoma. Mradi…
21 May 2024, 13:30
Na Mariam Kasawa.Kwa mujibu wa watafiti wanasema kuwa asilimia 80 ya uchavushaji unaonaofanywa na nyuki ni muhimu kwa viumbe hai kwani pasipo uchavushaji hakuna maisha. Mustakabali wa binadamu na mifumo ya ekolojia hutegemea uchavushaji takriban asilimia 80 ya spishi za…
18 May 2024, 18:53
Wananchi wanaaswa kuendelea kutunza mazingira pamoja na kujihusisha na ufugaji wa nyuki kwani ni fursa itakayo wakwamua kiuchumi. Na Mariam Kasawa.Nyuki anatajwa kuwa mdudu muhimu sana katika Afya na mazingira kwani viumbe hai wote wanategemea uchavushaji wa nyuki kujipatia chakula…
17 May 2024, 12:25
Lengo la klabu za maadili ni kuwajengea wanafunzi misingi bora ya maadili tangu wakiwa shuleni. Na Mindi Joseph.Zaidi ya klabu 200 za maadili kwa shule za sekondari na msingi zimeanzishwa mkoani Dodoma huku lengo ni kufikia shule zote kujenga ufahamu…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-