Recent posts
7 August 2024, 18:19
Ardhi iliyo rasimishwa inasaidia kuleta maendeleo
Wizara imeanzisha Kampeni maalumu kwa ajili ya kumsaidia Mwanamke katika umiliki wa Ardhi. Na Fred Cheti.Inaelezwa kuwa Ardhi iliyopangwa, kurasimishwa na kupimwa vizuri inasaidia kwa kiwango kikubwa kuleta maendeleo kwa Wananchi kutokana na kuruhusu shughuli za kiuchumi ndani ya Miji…
7 August 2024, 18:00
Toam yaanzisha mkakati wa kilimo ikolojia hai
Shirika la Kilimo Hai Tanzania Toam lenye makao yake makuu Jijini Dare s salaam limefanikiwa kufungua matawi yake katika maeneo mbalimbali Nchini ikiwemo Mkoa wa Dodoma. Na Shangwe.Shirika la Kilimo Hai Tanzania Toam limeanzisha mkakati wa Kilimo ikolojia Hai Tanzania…
6 August 2024, 18:32
Wananchi Mpamaa wakumbwa na taharuki jiji kugawa ardhi yao
Miongoni mwa maeneo hayo ni pamoja na yale ambayo yametengwa kwa ajili ya shughuli za Kijamii, kama Shule na huduma nyinginezo ikiwemo Soko. Na Mindi Joseph.Wananchi wa Mtaa wa Mpamaa Mkoani Dodoma wameshagazwa kwa kitendo cha Mamlaka ya Jiji kugawa…
6 August 2024, 18:13
DUWASA kuendelea kushirikiana na mamlaka za serikali kufanikisha upatikanaji wa…
Itaendelea kushirikiana na mamlaka za serikali za mitaa katika kuhakikisha wanafanikisha upatikanaji wa maendeleo kwa wananchi. Na Seleman Kodima.Katika kuhakikisha wanatekeleza kauli mbiu ya Mwaka huu ya Maonesho ya wakulima na wafugaji Nane nane 2024,Mamlaka ya Maji safi na usafi…
6 August 2024, 17:50
Miradi ya serikali iwanufaishe wananchi wa kawaida
Kikao hicho kimefanyika leo katika ukumbi wa halmashauri ya jiji ambapo kilikuwa kikao cha taarifa cha mwaka na kuhudhuliwa na madiwani kutoka kata za jiji la Dodoma. Na Mariam Kasawa.Viongozi wametakiwa kuhakikisha miradi inayo anzishwa na serikali inawapatia fursa na…
6 August 2024, 17:30
Ifahamu ngoma aina ya Mambala inayochezwa na Warangi
Tunayo ngoma kwaajili ya wanawake ambao hawajaweza kupata watoto walichezewa ngoma ya mambala. Na Yussuph Hassan.Yapo mafanikio ambayo watu wa kata ya Kingale wanayafurahia lakini bado hawasahau mila na tamaduni zao ambazo wanazienzi japokuwa kuna maendeleo mengi ya kisayansi na…
6 August 2024, 17:04
Uwezeshaji wanawake ni chachu ya kuwainua kiuchumi
Uwezeshaji wa Wanawake kiuchumi ni muhimu kwa haki za Wanawake, kwa Ustawi, Ushawishi, Mamlaka, na usawa wao. Na Fred Cheti.Uwezeshaji Wanawake kiuchumi unaofanywa na Serikali, Wadau, pamoja na Familia, unatajwa kuwa moja ya chachu inayoweza kuwainua Wanawake kimaendeleo katika Jamii.…
5 August 2024, 18:21
Miradi yatakiwa kuhusishwa na tathmini za mazingira
Wananchi wanaendelea kuhimizwa kutunzwa Mazingira ili yawatunze kwa kuepuka kufanya shughuli zinazoathiri Mazingira ikiwemo Kilimo na Ufugaji wa kuhama hama. Na Mariam Kasawa.Miradi mikubwa ya Kilimo endelevu inayoanzishwa imetakiwa kuhusishwa na tathmini za utunzaji wa Mazingira. Kilimo kinatajwa kusaidia upatikanaji…
5 August 2024, 18:00
Leo tunaangazia maendeleo katika kata ya Kingale
Wakazi wa eneo hili asili yao ni kabila la warangi kupitia fahari ya Dodoma tutafahamu asili ya kabila hili la warangi. Na Yussuph Hassan. Kata ya Kingale kwasasa imekuwa na mabadiliko makubwa tofauti na kipindi cha nyuma kwani kwa sasa…
5 August 2024, 17:44
Upatikanaji wa maji Vikonje waimarika
Wanasema mwanzoni walikuwa wanapata maji yasiyo salama kutoka vyanzo visivyosahihi ila kwa sasa changamoto hiyo imepata suluhu kupitia mradi wa maji. Na Mindi Joseph.Upatikanaji wa Maji safi na salama katika Mtaa wa Vikonje A Kata ya Mtumba Mkoani Dodoma umeimarika…