Recent posts
6 August 2024, 17:04
Uwezeshaji wanawake ni chachu ya kuwainua kiuchumi
Uwezeshaji wa Wanawake kiuchumi ni muhimu kwa haki za Wanawake, kwa Ustawi, Ushawishi, Mamlaka, na usawa wao. Na Fred Cheti.Uwezeshaji Wanawake kiuchumi unaofanywa na Serikali, Wadau, pamoja na Familia, unatajwa kuwa moja ya chachu inayoweza kuwainua Wanawake kimaendeleo katika Jamii.…
5 August 2024, 18:21
Miradi yatakiwa kuhusishwa na tathmini za mazingira
Wananchi wanaendelea kuhimizwa kutunzwa Mazingira ili yawatunze kwa kuepuka kufanya shughuli zinazoathiri Mazingira ikiwemo Kilimo na Ufugaji wa kuhama hama. Na Mariam Kasawa.Miradi mikubwa ya Kilimo endelevu inayoanzishwa imetakiwa kuhusishwa na tathmini za utunzaji wa Mazingira. Kilimo kinatajwa kusaidia upatikanaji…
5 August 2024, 18:00
Leo tunaangazia maendeleo katika kata ya Kingale
Wakazi wa eneo hili asili yao ni kabila la warangi kupitia fahari ya Dodoma tutafahamu asili ya kabila hili la warangi. Na Yussuph Hassan. Kata ya Kingale kwasasa imekuwa na mabadiliko makubwa tofauti na kipindi cha nyuma kwani kwa sasa…
5 August 2024, 17:44
Upatikanaji wa maji Vikonje waimarika
Wanasema mwanzoni walikuwa wanapata maji yasiyo salama kutoka vyanzo visivyosahihi ila kwa sasa changamoto hiyo imepata suluhu kupitia mradi wa maji. Na Mindi Joseph.Upatikanaji wa Maji safi na salama katika Mtaa wa Vikonje A Kata ya Mtumba Mkoani Dodoma umeimarika…
5 August 2024, 17:29
Washauriwa kujiunga na vikundi kurahisisha upatikanaji wa mitaji
Na Fred Cheti.Wananchi jijini Dodoma wameshauriwa kujiunga katika vikundi mbalimbali ili kurahisha upatikanaji wa Mitaji kutoka taasisi za fedha ili kujikiwamua kiuchumi kupitia shughuli mbalimbali ikiwemo kilimo na biashara. Kauli imetolewa na katibu wa itikadi na uenezi wa Chama Cha…
5 August 2024, 17:05
Utupaji taka ovyo unavyo haribu mazingira
Wananchi wanapaswa kuendelea kutunza mazingira kwa kutotupa taka ovyo, kupanda miti ili kuifanya dunia kuwa mahali salama pa kuishi. Na Mariam Kasawa.Utupaji wa taka ovyo unatajwa kuharibu mazingira kwa kiasi kikubwa kwa kusababisha taka nyingi kusambaa ovyo. Jiji ya Dodoma…
2 August 2024, 18:09
Leo tunatazama asili ya kata ya Kingale
Yussuph Hassan ametembelea Kingale na kuzungumza na wenyeji wa eneo hilo. Na Yussuph Hassan. Kata hii inapatikana katika wilaya ya Kingale leo tutafahamu zaidi wenyeji wa kata hii pamoja na asili ya jina kingale.
2 August 2024, 18:02
Jamii yatakiwa kuacha dhana potofu dhidi ya mafundi
Pamoja na hayo Mafundi wamekuwa na mchango mkubwa katika maendeleo ya uchumi, kiufundi na usalama wa Jamii hivyo ni muhimu Mafundi kuwa waaminifu ili kuhakikisha ufanisi na kiridhisha Wateja. Na Witness.Jamii imetakiwa kuachana na dhana potofu juu ya shughuli zinazofanywa…
2 August 2024, 17:45
Taka rejeshi zatajwa kuwanufaisha kiuchumi baadhi ya wananchi
Kumekuwa na marundo mbalimbali ya taka kama chupa za plastiki, makaratasi, chuma, chupa, taka ambazo zinaweza kurejeleshwa na kutumika katka matumizi mengine mbadala na zikaleta faida. Na Mariam Kasawa.Wananchi wametakiwa kutambua kuwa taka rejeshi zikitumika ipasavyo zinaweza kusaidia watu wengi…
2 August 2024, 17:26
Kusuasua kwa huduma ya maji kero kwa wakazi wa mtaa wa Miganga
Mhandisi Aron Joseph anasema bado hawajaweza kufikia 100% ya malengo ya utoaji wa huduma za maji Dodoma lakini mpaka mwisho wa mwaka wa fedha wa 2024/25 watafikia 75%. Na Mindi Joseph.Kusuasua kwa upatikanaji wa huduma ya maji katika mtaa wa…