Dodoma FM
Dodoma FM
4 July 2023, 16:39
Wazawa wametakiwa kupewa kipaumbele zaidi katika miradi mbalimbali inayo anzishwa wialayani humo. Na Bernad Magawa Zaidi ya Shilingi million 300 zinatarajiwa kujenga miundombinu ya maji katika kata ya kigwe ili kuwaondolea changamoto ya kukosa maji safi wananchi wa kata hiyo…
4 July 2023, 15:49
Uwepo wa huduma za afya kwenye kila kijiji wilayani Bahi mkoani Dodoma kutawahakikishia wananchi wa wilaya hiyo usalama wa afya zao pindi watakapopatwa na maradhi mbalimbali. Na Bernad Magawa. Mbunge wa jimbo la Bahi Mhe. Kenneth Nollo ametoa zaidi ya shilling…
3 July 2023, 17:37
Mradi wa kusambaza umeme katika Maeneo ya pembezoni mwa miji awamu ya pili wilayani kongwa umegharimu Bilion Moja Milion miatano themanini na tatu laki nane tisini na tisa elfu mia nne sabini na nane na senti sita 1,583,899,478.06 Na Mindi…
3 July 2023, 15:35
Mwakilishi wa kampuni ya Ujenzi kutoka SUMA JKT kanda ya Kati Meja Samweli Jambo, amesema ujenzi huo umefuata taratibu zote za upimaji na viwango. Na Pius Jayunga. Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Sera, Bunge na…
3 July 2023, 14:50
Mafunzo hayo yaliyodumu kwa muda wa wiki moja yametolewa na wakufunzi kutoka Taasisi ya afya na sayansi shirikishi Dodoma (DIHAS) (Dodoma Institute of Health and allide Science). Na Alfred Bulahya. Jumla ya waganga wa tiba asili na wakunga 28 kutoka…
3 July 2023, 14:15
Mwaka wa fedha ujao 2023/2024 halmashauri inatarajia kupima takribani viwanja 6,000. Na Fred Cheti. Halmashauri ya jiji la Dodoma inatarajia kugawa jumla ya viwanja 1,035 kwa kufidia na kuwapunguzia wananchi wanaodai viwanja takribani viwanja 3,995 eneo la Nala. Hayo yameelezwa…
30 June 2023, 17:34
Ulaji unaofaa kwa kuzingatia makundi matano ya vyakula unajenga kinga ya mwili na kukabiliana na maambukizi ya magonjwa mbalimbali. Na Mindi Joseph. Jamii imehimizwa kuendelea kuzingatia mlo kamili ikiwemo makundi matano ya chakula ili kujenga familia zenye afya bora. Savera…
30 June 2023, 17:02
Katika eneo hilo zipo daladala zinazoelekea maeneo mbalimbali nje ya jiji ikiwemo Mpunguzi ambapo pia wapo baadhi ya akina mama na wafanyabiashara wadogo wanaojishughulisha na biashara katika eneo hili ingawa hali ya upatikanaji wa wateja sio ya kuridhisha. Na Thadei…
30 June 2023, 16:34
Juni 30 Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula atakutana na wananchi jijini Dodoma Kusikiliza changamoto za upatikanaji wa hatimiliki ya ardhi. Na Mindi Joseph. Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula…
30 June 2023, 15:43
Amesema jumuiya ya vijana ni tegemeo kwa chama inaweza kuleta vuguvugu la maendeleo hivyo kama vijana wanahakikisha wanakuwa na maadili mshikamano na mahusiano mazuri kwa Chama na Serikali. Na Bernadetha Mwakilabi. Makamu mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-