Recent posts
16 March 2023, 16:51
Jamii yatakiwa kuwa na muamko wa kuripoti matukio ya ukatili wa kijinsia
Nini kifanye ili kutoa mwamko kwa jamii hasa kuanzia ngazi za familia na mitaa katika kuripoti matukio ya ukatili. Na Fred Cheti Jamii yatakiwa kuona umuhimu wa kushiriki katika kuripoti matukio ya ukatili wa kijinsia yanayotokea katika maeneo yao. Hayo…
16 March 2023, 15:39
DC Gondwe apiga marufuku wanafunzi kuchunga mifugo siku za masomo
ni vema wazazi kupunguza tabia ya kuwa wakali kwa watoto wao na badala yake wajenge urafiki kwa kuzungumza nao mara kwa mara ili wasiwaogope , bali wawe huru kwa wazazi wao kueleza changamoto mbalimbali. Na Benard Magawa Mkuu wa Wilaya…
16 March 2023, 08:36
Wafanyabiashara Sabasaba walia na ugumu wa biashara
Awali daldala za jiji la dodoma zilikuwa na kituo kikuu katika soko la sabasaba kabla ya kuhamishiwa kituo katika soko jipya la machinga complex. Na Thadei Tesha. Zikiwa zimepita wiki chache tangu kuhamishwa kwa daldala katika eneo la sabsaba jijini…
15 March 2023, 18:21
Serikali kuboresha miundombinu ya mifugo katika ranchi ya Narco
Uwekezaji huo wa serikali unalenga kufanya ufugaji wa kisasa zaidi wenye tija ambao utaleta manufaa kwa taifa na wananchi kwa ujumla. Jumla ya Bilion 4.6 zimewekezwa katika ranchi ya Taifa NARCO iliyopo Wilayani Kongwa ili kuboresha miundombinu ya Mifungo. Naibu…
15 March 2023, 18:06
Wazazi watakiwa kuhimiza watoto kusoma
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Rosemary Senyamule amewataka wazazi na walezi kutumia fursa za vyuo na taasisi mbalimbali za elimu ya juu zilizopo mkoani Dodoma. Na Fred Cheti. Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Rosemary Senyamule amewataka wazazi na walezi kutumia…
15 March 2023, 16:28
Wananchi wajeruhiwa na wengine kupoteza makazi baada ya mvua kubwa kunyesha
Nyumba zipatazo 16 zimebomoka kufuatia mvua kubwa iliyonyesha ikiambatana na upepo mkali,mkoani Dodoma na kusababisha baadhi ya wananchi kujeruhiwa huku wengine wakibaki bila makazi. Na Alfred Bulahya. Nyumba zipatazo 16 zimebomoka kufuatia mvua kubwa iliyonyesha ikiambatana na upepo mkali, katika…
15 March 2023, 15:23
Wananchi watarajia kuondokana na tatizo la kukosekana kwa daraja Bahi
Wananchi wanatarajia kuondokana na tatizo la kukosekana kwa daraja la Mto Nkogwa kutokana na daraja lililokuwepo hapo awali kusombwa na maji mwisho mwa mwaka jana. Na Bernad Magawa. Wananchi wa kijiji cha Bahi sokoni wilaya ya Bahi Wanatarajia kuondokana na…
15 March 2023, 11:42
DUWASA wapongezwa utekelezaji wa mradi wa visima vya maji Nzuguni
Kamati ya kudumu ya Bunge ya uwekezaji wa mitaji ya Umma leo imetembelea mradi wa maji wa uchimbaji wa Visima Virefu unaoendelea kutekelezwa na Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Dodoma, (Duwasa) katika eneo la Nzuguni Jijini Dodoma.…
14 March 2023, 16:44
Uwepo wa wanyamapori kwaleta changamoto ya wanafunzi kuto udhuria masomo
Uwepo wa wanyamapori na umbali wa shule ni changamoto inayosababisha wanafunzi wanaojiunga na masomo ya sekondari katika kata ya Ngh’ambaku Wilayani Chamwino kushindwa kuhudhuria masomo kwa wakati. Na Victor Chigwada. Umbali wa zaidi ya kilomita arobaini na usalama hafifu kutokana…
14 March 2023, 16:21
Katika juhudi za kukijanisha Dodoma RC Senyamule aongoza wananchi kupanda miti
Kuuendeleza juhudi za kuukijanisha Mkoa wa Dodoma Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mh. Rosemary Senyamule leo ameongoza wazazi,waalimu na wanafunzi wa shule ya Msingi Chang’ombe B kupanda miti. Na Fred Cheti. Katika kuuendeleza juhudi za kuukijanisha Mkoa wa Dodoma Mkuu…