Recent posts
20 March 2023, 16:17
Uongozi wa Shule za Ephiphany wamtaka mwekezaji kufuata sheria ili kuepu…
Mwekezaji huyo anaedaiwa kuingilia mpaka wa eneo la shule hiyo anadai kuuziwa eneo hilo na halamshauri husika. Na Fredi Cheti. Uongozi wa shule za Ephiphany zilizopo kata ya Mwegamile Wilayani Chamwino Mkoani Dodoma umejikuta ukiingia katika mgogoro wa kugombania mpaka…
20 March 2023, 15:35
Ushindani katika ndoa chanzo wanaume kutowajibika
Kukosekana kwa upendo na uaminifu limetajwa kuwa chanzo kikubwa Cha wanaume kutowajibika katika malezi na matunzo ya familia zao. Bernadetha Mwakilabi. Tukiwa katika mwezi wa wanawake kukosekana kwa upendo na uaminifu limetajwa kuwa chanzo kikubwa Cha wanaume kutowajibika katika malezi…
20 March 2023, 15:25
Taka ngumu zatajwa kuharibu mifumo ya maji taka
Jiji la Dodoma linakisiwa kuzalisha tani 350 za taka ngumu kwa siku ambapo kata za nje ya mji uzalishaji tani 114 na Kata za mjini uzalisha ni tani 236. Na Mindi Joseph. Utupaji wa taka Ngumu Ovyo umetajwa kuwa na…
20 March 2023, 15:07
Wananchi walalamika kutumia maji yasiyo salama
Wakazi walalamika kutumia maji ya mto kizigo ambayo sio safi na salama baaada ya kuharibika kwa mashine ya kusukuma maji. Na Victor Chigwada. Wakazi wa kijiji cha Chinugulu wilayani chamwino wamelalamika kutumia maji ya mto kizigo ambayo sio safi na…
17 March 2023, 17:30
Miaka miwili bila Magufuli wananchi waendelea kumuenzi
Leo imetimia miaka miwili tangu alipofariki Dunia Rais wa Serikali ya awamu ya Tano, Dkt John Pombe Magufu. Na Fred Cheti. Ikiwa leo imepita miaka miwili tangu kifo cha aliyekuwa Rais wa serikali ya awamu ya tano Hayati John Pombe…
17 March 2023, 17:04
Mapambano dhidi ya upungufu wa kuona unao epukika ifikapo 2030 yaendelea…
Kwa mujibu wa makadirio ya shirika la afya duniani WHO Sababu kubwa zikiwa ni mtoto wa jicho na shinikizo la macho. Na Mindi Joseph. Watu wenye matatizo ya kuona kwa kiwangao cha kati na cha juu hapa nchini wanakadiriwa kuwa…
17 March 2023, 16:34
Wananchi kulipwa fidia ya bilioni 10 kupisha ujenzi wa barabara Ntyuka
Barabara hiyo inajengwa kwa kiwango cha lami inagharimu kiasi cha shilingi Bilioni 38 na hadi kufikia mwezi Feburuary ujenzi umefikia asilimia 4. Na Mindi Joseph. Jumla ya wananchi 1522 Mkoani Dodoma wanatarajiwa kulipwa fidia ya shilingi bilioni 10 ili kupisha…
17 March 2023, 16:27
Juhudi za serikali kuinua kilimo na wakulima wa zabibu Dodoma
Serikali kupitia wizara ya kilimo imeanza kulifufua shamba la Zabibu lililopo eneo la Chinangali 2 mkoani Dodoma, ufufuaji wa shamba hilo unakwenda sambamba na ujenzi wa kiwanda kikubwa kwa ajili ya kuchakata zabibu hizo. Na Alfred Bulahya. Serikali kupitia wizara…
17 March 2023, 16:04
Wazazi waliokatisha watoto masomo kukamatwa
Baadhi ya wazazi wanadai elimu zote mbili zina umuhimu huku wengine wakibainisha kuwa walimu pia wanachangia kuongeza kwa utoro shuleni. Na Nizar Khalfan. Zoezi la ukamataji la wazazi wa wanafunzi watoro limeanza wilayani kondoa ambapo zaidi ya wazazi kumi na…
17 March 2023, 15:15
Wamiliki wa nyumba za kulala wageni Bahi watakiwa kufuata taratibu na sheria
Ni marufuku watu wa jinsia moja kulala kwenye chumba kimoja, badala yake sheria imeruhusu watu wawili wa jinsia tofauti kulala chumba kimoja lakini waliohalalishwa kwa mujibu wa imani yao. Na Benard Magawa. Mkuu wa Jeshi la Polisi wilaya ya Bahi…