Recent posts
27 March 2023, 14:43
Biashara ya ufugaji wa njiwa na faida zake
Ufugaji wa njiwa ni moja kati ya biashara ambayo inaweza kusaidia baadhi ya watu kujinufaisha na kujikwamua kiuchumi. Na Thadei Tesha. Ufugaji wa njiwa ni moja kati ya biashara ambayo inaweza kusaidia baadhi ya watu kujinufaisha na kujikwamua kiuchumi. Bw.…
27 March 2023, 14:20
Wananchi Kondoa wasisitizwa kilimo cha umwagiliaji
Mhe. Rosemary Senyamule amewataka wananchi wa Wilaya ya Kondoa kujikita katika kilimo Cha Umwagiliaji Ili kuondoa Janga la njaa, kujiongezea kipato na kukabiliana na mabadiliko ya tabi ya nchi. Na Fred Cheti. Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule…
24 March 2023, 16:30
Madereva wa daladala walia na hali mbaya ya biashara
Awali madereva hao walikuwa wakifanyia biashara za uasafirishaji katika kituo cha sabasaba kabla ya kuahamishiwa katika kituo kipya cha machinga Complex . Na Thadey Tesha. Baadhi ya madereva wa daladala jijini Dodoma wamesema kuwa licha ya serikali kuwahamishia katika kituo…
24 March 2023, 16:19
Wakazi wa Ndogowe walazimika kutembea umbali mrefu kufuata huduma ya afya
Kukosekana kwa baadhi ya huduma za afya katika zahanati ya kijiji cha Ndogowe imesababisha wananchi kutopata huduma ya afya hali inayowalazimu kutembea umbali mrefu kutafuta huduma hiyo. Na Victor Chigwada. Imeelezwa kuwa kukosekana kwa baadhi ya huduma za afya katika…
24 March 2023, 14:40
Wakazi wa Mpwapwa watakiwa kuendelea kuchangamkia fursa ya mikopo
Amewataka wananchi hao kuendelea kuwaona wataalamu wa mikopo na Wachumi kwaajili ya kupata elimu zaidi kuhusu mikopo. Na Fred Cheti. Mkuu wa wilaya ya Mpwapwa Mhe. Sophia Kizigo amewataka vijana,wanawake na wenye ulemavu kuendelea kuchangamkia fursa ya mikopo ya asilimia…
24 March 2023, 13:15
Viongozi watakiwa kusimamia ipasavyo miradi ya serikali
Bi Fatma Mganga amekabidhi ofisi hiyo baada ya kuhamishwa kwenda kuwa Katibu tawala mkoani Singida. Na Alfred Bulahya. Aliyekuwa katibu Tawala wa Mkoa wa Dodoma Bi, Fatma Mganga, amekabidhi ofisi kwa katibu Tawala mpya Bw. Ally Gugu. Katika makabidhiano hayo…
23 March 2023, 18:41
Usichojua kuhusu Mtaa maarufu wa Mathius Dodoma
Mtaa wa Mathius ni moja ya mtaa wenye miaka mingi jijini Dodoma, Jina la mtaa wa Mathius limetokana na mzee mathius mwenye asili ya kabila la kigogo fahamu historia yake ikiwa ni mtaa maarufu sana jijini humo. Na Martha Mgaya.…
23 March 2023, 17:36
Machinga Dodoma wampongeza Rais Samia
Ni mkutano uliowakutanisha wafanyabiashara ndogo ndogo maarufu kama machinga ambapo awali ulitanguliwa na maandamano ya amani kwa ajili ya kumshukuru Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania kwa kutimiza miaka miwili madarakani. Na Thadei Tesha. Wafanyabiashara wa biashara ndogondogo maarufu…
23 March 2023, 12:29
Halmashauri ya jiji la Dodoma kupunguza adha ya madawati shuleni
Mkakati huo utasaidia kupunguza adha ya madawati inayo zikabili shule nyingi jijini Dodoma Na Fred Cheti. Halmashauri ya jiji la Dodoma imepanga kutengeneza madawati na kuyagawa kwa shule zote za serikali za Msingi na Sekondari zilizopo jijini hapa ili kupunguza…
23 March 2023, 11:26
UCSAF yatoa mafunzo ya Tehama kwa wasichana shule za sekondari Nchini
Itakumbukwa kuwa siku ya kimataifa ya msichana katika TEHAMA inaadhimishwa kila mwaka ifikapo tarehe 27 April lengo likiwa ni kuchochea harakati za dunia katika kuongeza idadi ya wasichana na wanawake kwenye nyanja ya teknolojia. Na Mariam Matundu. Katika kuelekea siku…