Recent posts
12 September 2023, 15:51
Vilindoni yahitaji uzio kuepuka migogoro na wananchi wa jirani
Hali ya usalama imekuwa Ndogo kwa wanafunzi kutokana na shule hiyo kukosa Uzio hali inayosababisha baadhi ya wananchi kufanya shughuli za kibinadamu ndani ya eneo la shule hiyo. Na Mindi Joseph. Ukosefu wa uzio katika shule ya Msingi vilindoni imeelezwa…
12 September 2023, 15:02
Vijana watakiwa kuacha tabia ya kutazama picha za utupu
Kwa mujibu wa mwanasaikolojia huyo anasema kuwa zipo athari mbalimbali ambazo zinaweza kusababishwa na suala hilo ambapo wanashauri jamii hususani vijana kuachana na tabia hiyo. Na Thadei Tesha. Wito umetolewa kwa Wananchi hususani vijana kuepukana na tabia ya kuangalia picha…
12 September 2023, 13:09
Viongozi ushirika watakiwa kutekeleza kwa vitendo vipaumbele saba
Kikao kazi kati ya Mrajis na Vyama vya Ushirika vya Upili na Benki ya Ushirika kimefanyika Dodoma kwa siku mbili Septemba 11 na 12 mwaka huu wa 2023 ambapo wadau wamepata fursa ya kutathmini na kujadiliana namna bora ya kuimarisha…
12 September 2023, 12:26
Serikali yaendelea kuchukua tahadhari kudhibiti Polio Nchini
Aidha wakuu wa Mikoa, Wilaya pamoja na Viongozi mbalimbali wametakiwa kusimamia Kampeni ya Kitaifa ya chanjo ya matone pamoja na Waganga wa Mikoa kutoa chanjo hiyo kwa wakati sambamba na kutoa elimu kwa jamii. Na Yussuph Hassan. Serikali imeendelea kuchukuwa…
12 September 2023, 11:42
Serikali yaombwa kuwawezesha wakulima elimu na pembejeo za kilimo
Wakulima katika maeneo mbalimbali wamekuwa wakisistiza kwa jamii kuwapatia mikopo ya kilimo ili waweze kunufaika na kilimo chenye tija. Na Khadija. Imeelezwa kuwa ili kusaidia wakulima waweze kulima kilimo chenye tija serikali inao wajibu wa kuwawezesha wakulima hao katika suala…
7 September 2023, 14:51
Wananchi watakiwa kutoa ushirikiano mradi wa uboreshaji milki za ardhi
Chalinze ni miongoni mwa halmshauri 41 zinakazopitiwa na mradi wa Uboreshaji usalama wa milki za ardhi, ambapo Zaidi ya viwanja 7,600 vimepimwa, huku viwanja 50,000 vikitarajiwa kupimwa mpaka mwisho wa mradi huo. Na Seleman Kodima. Wakazi wa Chalinze wametakiwa kutoa…
7 September 2023, 14:27
Familia zatakiwa kutatua changamoto ili kujenga ustawi wa watoto
Migogoro katika familia isiposuluhishwa matokeo yake ni ndoa kuvunjika, kitendo ambacho hakipendwi na jamii, na hakina faida kwa watoto wao, madhehebu ya dini, wazazi, jamaa na wategemezi wao. Na Yussuph Hassan. Utatuzi wa changamoto za kifamilia umetajwa kuwa ni njia…
7 September 2023, 13:56
Madereva watakiwa kujaza mafuta gari ikiwa haina abiria
Je sheria hii imatambulika na imekuwa ikifuatwa na madereva wa vyombo vya moto hususani Magari ya abiria. Na Thadei Tesha. Madereva wa vyombo vya moto wametakiwa kutambua kuwa ni kosa kisheria kujaza Gari mafuta na abiria wakiwa ndani ya gari.…
7 September 2023, 13:00
Maafisa ustawi jamii watakiwa kutoa elimu ya afya ya akili
Mkutano wa Maafisa ustawi wa jamii umefunguliwa jana jijini Dodoma ambao utadumu kwa muda wa siku mbili na kuwakutanisha maafisa ustawi wa jamii Nchi nzima ili kujadili namna ya kuendelea kufanya kazi kwa ufanisi. Na Yussuph Hassan. Maafisa ustawi wa…
7 September 2023, 12:22
Madereva jijini Dodoma walia na bei ya mafuta
Serikali imetangaza bei mpya ya mafuta ambapo kwa sasa wastani wa bei kikomo kwa mkoa wa Dodoma ni shilingi 3271 kwa mafuta ya petrol, shilingi 3318 kwa mafuta ya diseli na mafuta ya taa shilingi 3002. Na Katende. Wamiliki wa…