Dodoma FM

Recent posts

22 January 2023, 10:47

Aina za Zabibu

Na; Yussuph Hassan. Je unazifahamu aina za zabibu? Msikilize Yussuph Hassan katika Fahari ya Dodoma akikufahamisha aina hizo.

22 January 2023, 10:27

Kuandika wosia si kujitabiria kifo

Na; Mariam Kasawa. Wazazi wamekumbushwa kuwa na utamaduni ya kuandika wosia ili mgawanyo wa mali usilete shida endapo mzazi huyo atafariki. Akizungumza na Dodoma Tv mwanasheria kutoka chama cha wanasheria wanawake TAWLA bi. Neema Ahmed amesema wazazi wanapaswa kujua kwamba…

22 January 2023, 10:18

Matumbulu walalamika gharama za umeme

Na; Mindi Joseph. Gharama kubwa ya kuunganisha umeme wa TANESCO katika  mtaa wa Kusenha kata ya Mpungunzi imetajwa kuwa kikwazo kwa wananchi kuunganisha umeme huo. Gharama za kuunganisha umeme wa TANESCO ni zaidi ya laki tatu tofauti na umeme wa…

22 January 2023, 10:04

KILIMO CHA MBAAZI

Na; Mariam Kasawa Licha ya zao la mbaazi kutumika kama matumizi mbalimbali kama mboga , chakula huku zao hili likifundishwa na wataalamu kuwa linaweza kuwa zao la biashara kwa kutengenezea vitu mbalimbali kama uji, supu, biscuti , cake, makande lakini…

21 January 2023, 10:13

Wakazi wa Igungulile walazimika kutumia maji ya Mabwawa

Na; Victor Chigwada.                                                 Kukosekana kwa huduma ya Maji safi na salama imetajwa kuwa ni sababu ya Wananchi wa kijiji cha Igungulile wilayani Chamwino kutumia  maji ya mabwawa. Mwenyekiti wa kijiji cha Igungulile Bw.Hamisi Msangi amesema changamoto ya maji imesababisha wananchi…

20 January 2023, 15:12

Serikali yatatua kero ya maji Mvumi Misheni

Na; Victor Chigwada. Wananchi wa Kata ya Mvumi misheni Wilayani Chamwino wameipongeza na kuishukuru Serikali ya awamu ya sita kwa juhudi za kutatua changamoto ya maji Wakizungumza na taswira ya habari wananchi hao wamesema kuwa kujengwa kwa mradi  huo wa …

18 January 2023, 14:20

Wananchi watakiwa kuacha ubinafsi

Na; Lucy Lister. Naibu waziri wa sanaa utamaduni na michezo na mbunge wa jimbo la Babati mjini Mh. Pauline Gekul amewataka watanzania kuacha ubinafsi na kuwa na moyo wa kusaidia wengine kama alivyofanya baba wa Taifa mwalimu Julius Kambarage Nyerere…

18 January 2023, 14:03

Wananchi waomba elimu Umiliki ardhi

Na; Mariam Matundu. Wananchi jijini Dodoma wamesema kuwa elimu ya umiliki wa ardhi inatakiwa kutolewa kwa jamii ili kupunguza migogoro ya ardhi inayojitokeza maeneo mbalimbali. wakizungumza na Taswira ya habari wamesema baadhi ya wananchi hawajui ni kwanamna gani wanaweza kuwa…

16 January 2023, 14:11

Kata ya Kongwa yakabiliwa na uchelewaji wanafunzi kuripoti shuleni

Na; Benadetha Mwakilabi. Kushindwa kuripoti kwa wakati shuleni kwa wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha kwanza kwa mwaka wa masomo 2022/2023 imetajwa kuwa ni moja ya changamoto kubwa inayokabili kata ya Kongwa. Akiongea na wenyeviti wa vijiji vya kata ya…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger