Recent posts
25 January 2023, 04:40
Upatikanaji wa Maji Mlowa barabarani bado ni changamoto
Na; Victor Chigwada. Licha ya maboresho kufanywa katika kisima cha maji katika kata ya Mlowa barabarani lakini bado upatikanaji wa huduma ya maji katika kata hiyo unasuasua. Wananchi wa Kata ya Mlowa barabarani wamesema kuwa licha ya uwepo wa kisima…
25 January 2023, 04:26
Majukumu ya Nyumbani yarudisha nyuma maendeleo ya mtoto wa kike
Na; Mariam Matundu. Majukumu mengi ya kazi za nyumbani kwa watoto wa kike imetajwa kuwa ni moja ya sababu inayorudisha nyuma maendeleo ya elimu kwa wasichana . Hayo yameelezwa na baadhi ya wakazi wa mtaa wa Hombolo bwawani jana katika…
23 January 2023, 13:22
KONA YA AFYA
Na; Yusuph Hassan. katika kona ya Afya leo tumeangazia juu ya matibabu ya U.T.I.
23 January 2023, 13:13
Wananchi wahitaji elimu zaidi juu ya wiki ya sheria
Na; Mariam Matundu. Wanachi jijini Dodoma wameshauri elimu zaidi itolewe juu ya ufahamu wa wiki ya sheria ili kutoa mwamko kwa watu wengi kutembelea katika vyombo husika kupata msaada wa kisheria Wamesema watu wengi hawajui nini kinaendelea katika wiki hii…
23 January 2023, 12:43
Makala ya Mazingira.
Na; Leonard Mwacha. Leonard mwacha leo amelitazama soko la samaki wabichi Bonanza.
23 January 2023, 12:31
Mila na desturi zatajwa kuwa chanzo cha Mimba za utotoni
Na; Alfred Bulahya. Licha ya Halmashauri ya Wilaya ya Bahi mkoani Dodoma imefanikiwa kupunguza idadi ya mimba kutoka 39 mwaka 2020 hadi 17 kwa mwaka 2022. kwa Mujibu wa Afisa elimu sekondari wilaya ya Bahi bi Marry Chakupewa, inaelezwa katika…
23 January 2023, 11:47
Mvumi Misheni walia na gharama za matibabu
Na; Victor Chigwada. Licha ya huduma zinazotolewa katika hospitali ya Mvumi Misheni bado wananchi wametaja gharama za matibabu katika hospitali hiyo kuwa changamoto. Hayo yameelezwa na mwenyekiti wa kijiji cha Mvumi Bw.Alpha Zoya wakati akizungumza na Taswira ya Habari…
23 January 2023, 11:25
Bodaboda Bahi walalamika kuto nufaika na stendi
Na; Bernad Magawa . Madereva wa bodaboda wilayani Bahi Mkoani Dodoma wameelezea kutokunufaika na stendi ya mabasi wilayani humo . Hayo yamesema na Mwenyekiti wa madereva wa boda boda Wilaya ya Bahi Bw Mohamedi Mongoya mapema leo wakati akizungumza na…
23 January 2023, 10:25
Wizara ya Ardhi kutoa hatimiliki
Na; Seleman Kodima. Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi kupitia Mradi wa Uboreshaji Usalama wa Milki za Ardhi (LTIP) inatarajia kutoa Hati Milki za Ardhi milioni moja katika maeneo ya mijini pamoja na Hati Miliki za Kimila laki…
22 January 2023, 10:59
Wiki ya Sheria yazinduliwa Jijini Dodoma
Na; Fred Cheti. Makamu wa Rais wa Jamhuriya muungano wa Tanzania dkt. Philp Mpango amesema uchumi endelevu wa wananchi utafanikiwa iwapo vyombo vya utoaji haki vitatimiza wajibu wake katika kusikiliza na kutoa haki kwa wananchi bila upendeleo wowote. Dkt. Mpango…