Recent posts
15 February 2023, 17:12
Kukosekana kwa elimu juu ya TASAF walengwa kutoingia kwenye mfumo
Imeelezwa kuwa kukosekana kwa elimu ya kutosha juu ya dodoso la walengwa wa TASAF imesababisha baadhi ya walengwa Kata ya Chilonwa kutoingia katika mfumo wa malipo. Na Victor Chigwada. Asheri Mkosi ni mwenyekiti wa kijiji cha Mahama amesema licha ya…
15 February 2023, 14:11
PrecisionAir yashindwa kutua Dodoma
Leo Wakati tunasafiri kutokea Dar kwenda Dodoma kutumia ndege ya Precission PW 600, kuna jambo limetokea. Na Joseph Rwegasira Samson. tupo hewani nilikuwa nimekaa dirishani, wakati tunakaribia kushuka Dodoma nikaona engine imezima, tupo hewani OMG…Rubani akatangaza kurudi Dar kwa dharula…
15 February 2023, 11:14
Baraza La Taifa la Ujenzi lajipanga kutekeleza Majukumu Tisa
Na Fred Cheti. Baraza La Taifa la Ujenzi limesema kwa Mwaka 2023 limejipanga kutekeleza Majukumu Tisa ambapo ni pamoja na kukamilisha muongozo wa gharama za ujenzi wa barabara Nchini kwa kuandaa gharama za msingi za Mkandarasi katika kutekeleza kazi mbalimbali…
15 February 2023, 10:41
Adaiwa fedha watoto wafutwe shule
Na Benard Magawa. Wakati Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania chini ya Raisi Dkt. Samia Suluhu Hasani ikiendelea kuboresha miundombinu ya elimu ili kila mtoto wa kitanzania apate elimu ya Msingi na Sekondari bila malipo ili kutokomeza kabisa uwepo…
13 February 2023, 15:07
Bima ya Afya kwa wote itasaidia kupunguza gharama za matibabu
Muswada wa Bima ya Afya kwa Wote ambao ulikuwa uwasilishwe bungeni Wiki iliyopita ulikwama kwa mara nyingine ikiwa ni mara ya pili kwa muswada huo kukwama tangu usomwe kwa mara ya kwanza bungeni katika mkutano wa nane wa Bunge na…
13 February 2023, 13:56
Wakazi wa Chali Bahi kuondokana na uhaba wa huduma za Afya
Ufadhili wa ujenzi wa zahanati hiyo ni muendelezo wa ufadhili wa masuala ya afya wilayani Bahi kupitia shirika hilo ambapo kupitia ofisi ya Mbunge wa Jimbo la Bahi limefadhili huduma ya Cliniki tembezi ya macho iliyozunguka kwenye vituo vya afya…
10 February 2023, 17:32
Watanzania waaswa juu ya usambazaji picha chafu mtandaoni
Akichangia hoja ya Mbunge wa Jimbo la Kinondoni Abbas Tarima Bungeni Jijini Dodoma ambaye aliitaka serikali kuweka mfumo maalum utakaodhibiti usambazaji wa picha chafu mitandaoni Na Mariam Matundu. Waziri wa Habari Mawasiliano na Teknolojia ya habari Nape Nnauye amewashauri watanzania…
10 February 2023, 16:52
Wakulima walalamikia wafanyabiashara wa mchele Bahi
Wakulima wa mpunga wilayani Bahi mkoani Dodoma wamelalamikia wafanya biashara wanaofuata mchele na Mpunga unaozalishwa wilayani humo kwa kuupa majina ya mchele wa mikoa mingine wanapouuza katika masoko mbalimbali hapa nchini tatizo linalopelekea kutotambulika kabisa kwa mchele wa Bahi kwenye…
10 February 2023, 14:18
Vijana Chilonwa watakiwa kuchangamkia fursa ujenzi wa chuo cha Veta
Mwaka jana Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe Prof Adolf Mkenda alisema kuwa Serikali inayo azma ya kujenga Chuo cha Ufundi Stadi katika kila Mkoa na Wilaya nchini. Katika mwaka huu wa fedha 2022/2023, Serikali imetenga kiasi cha Shilingi…
10 February 2023, 13:45
Huduma za kijamii zazidiwa na ongezeko la watu
Waziri wa Nishati na Madini Januari Makamba mwaka jana dec 25 alisema kuwa Wizara inaanza program ya kupeleka umeme kwenye vitongoji. Kwani tayari serikali imefikia asilimia 75 katika kufikisha umeme vijijini Na Victor Chigwada. Imeelezwa kuwa ongezeko la watu…