Dodoma FM
Dodoma FM
21 January 2023, 10:13 am
Na; Victor Chigwada. Kukosekana kwa huduma ya Maji safi na salama imetajwa kuwa ni sababu ya Wananchi wa kijiji cha Igungulile wilayani Chamwino kutumia maji ya mabwawa. Mwenyekiti wa kijiji cha Igungulile Bw.Hamisi Msangi amesema changamoto ya maji imesababisha wananchi…
20 January 2023, 3:12 pm
Na; Victor Chigwada. Wananchi wa Kata ya Mvumi misheni Wilayani Chamwino wameipongeza na kuishukuru Serikali ya awamu ya sita kwa juhudi za kutatua changamoto ya maji Wakizungumza na taswira ya habari wananchi hao wamesema kuwa kujengwa kwa mradi huo wa …
18 January 2023, 2:33 pm
Na; Victor Chigwada. Diwani wa Kata ya Mvumi Misheni Bw.Kenethi Chihute ameishukuru Serikali kwa msaada wa fedha zilizo elekezwa katika miradi mbalimbali ndani ya Kata yake Chihute amesema kuwa kutokana na fedha hizo wamefanikiwa kuboresha upande wa miundombinu ya sekondari…
18 January 2023, 2:20 pm
Na; Lucy Lister. Naibu waziri wa sanaa utamaduni na michezo na mbunge wa jimbo la Babati mjini Mh. Pauline Gekul amewataka watanzania kuacha ubinafsi na kuwa na moyo wa kusaidia wengine kama alivyofanya baba wa Taifa mwalimu Julius Kambarage Nyerere…
18 January 2023, 2:03 pm
Na; Mariam Matundu. Wananchi jijini Dodoma wamesema kuwa elimu ya umiliki wa ardhi inatakiwa kutolewa kwa jamii ili kupunguza migogoro ya ardhi inayojitokeza maeneo mbalimbali. wakizungumza na Taswira ya habari wamesema baadhi ya wananchi hawajui ni kwanamna gani wanaweza kuwa…
16 January 2023, 2:11 pm
Na; Benadetha Mwakilabi. Kushindwa kuripoti kwa wakati shuleni kwa wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha kwanza kwa mwaka wa masomo 2022/2023 imetajwa kuwa ni moja ya changamoto kubwa inayokabili kata ya Kongwa. Akiongea na wenyeviti wa vijiji vya kata ya…
16 January 2023, 1:54 pm
Na; Mariam Matundu. Imeelezwa kuwa ni muhimu kufanya tathimini ya malengo au mipango yako kila wakati ili kujua iwapo mpango wako utatekelezeka hali itakayosaidia kukamilisha mipango yako kwa wakati uliupanga. Hayo yameelezwa na mtaalamu wa masuala ya mipango Dkt George…
13 January 2023, 4:11 pm
Mkoa wa Dodoma una miradi mitano ya Umeme Vijiji ambapo mradi uliokamilika umewezesha kupelekea umeme kwa maeneo 80 ndani ya Vijiji 64. Thomas mbaja ni mwakilishi wa REA amefafanua hilo ikiwa ni utekelezaji wa kuhakikisha umeme vijijini .
13 January 2023, 3:56 pm
Na; Mariam Matundu. Waganga wa tiba asili nchini wameiomba wizara ya afya kuwezesha waganga kote nchini kupata mafunzo ya namna bora ya kufanya kazi zao yatakayosaidia kufanya kazi kwa ufanisi mkubwa . Akizungumza mwenyekiti wa umoja wa waganga wa tiba…
12 January 2023, 2:22 pm
Na; Mariam kasawa Dhana ya kubemenda mtoto ni dhana ambayo imekuwa ikiaminiwa na jamii nyingi za Afrika hususani Nchini Tanzaniaa. Makabila tofauti yamekuwa na utaratibu wao pindi mama anapo jifungua na wakati wa kulea mtoto baba na mama hufundishwa na…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-