Recent posts
24 February 2023, 16:20
Ukosefu wa Dawa katika Zahanati ya kijiji cha Champumba
Licha ya kupata huduma katika zahanati ya kijiji cha Champumba wilayani Chamwino lakini bado kasi ya upatikanaji dawa imekuwa ni ndogo. Na Victor Chigwada. Ukosefu wa Dawa katika Zahanati ya kijiji cha Champumba wilayani Chamwino imetajwa kuwa sababu ya wananchi…
24 February 2023, 16:19
Wananchi walia na uhaba wa Miundombinu ya Umeme Chiboli
Jografia ya kijiji hicho cha Champumba imekuwa na changamoto katika kusambaza nguzo za umeme licha ya kupewa ahadi ya kusubiri awamu inayofuata. Na Victor Chigwada. Kukosekana kwa Miundombinu ya Umeme ikiwemo Nguzo za Kutosha katika Kata ya Chiboli Wilaya ya…
24 February 2023, 15:47
Wanawake watakiwa kuacha kukimbilia mikopo Mitaani
Mikopo mingi ya mitaani imekuwa inapelekea kukosa faida na kushindwa kujiwekea akiba Na Mariam Kasawa. Wanawake wametakiwa kuacha kukimbilia mikopo ya Mitaani badala yake wajikite kuomba mikopo inayo tolewa na halmashauri ili waweze kunufaika na mikopo hiyo. Akizungumza na Dodoma…
24 February 2023, 15:05
Wizara ya ardhi yaanza majarabio usalama wa milki za ardhi
Mradi wa uboreshaji Usalama wa Milki za Ardhi una lengo la kwenda kuongeza idadi ya miamala itokanayo na nyaraka za umiliki. Na Selemani Kodima Wizara ya ardhi kupitia ofisi ya Ardhi mkoa wa Dodoma imeanza majaribio ya mradi wa Uboreshaji…
23 February 2023, 17:13
e- GA kuimarisha mtandao kwa miaka 10 ijayo
Mamlaka ya Serikali Mtandao ina mpango wa kuhakikisha inajenga Serikali ya Kidijiti Katika kipindi cha miaka 10 ijayo. Na Mindi Joseph. Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) imesema Katika kipindi cha miaka 10 ijayo itahakikisha huduma za mtandao maeneo yote zinapatikana.…
23 February 2023, 16:46
Wananchi waelezwa utaratibu wa kupata Hati miliki za Ardhi
hati miliki zina faida nyingi kwa Serikali na wananchi ikiwemo kupata fursa za mikopo katika ofisi za kifedha. Na Benadetha Mwakilabi. Wananchi wameelezwa umuhimu na utaratibu wa kupata hati miliki za ardhi ili ziweze kuwasaidia katika fursa mbalimbali ikiwemo mikopo.…
23 February 2023, 15:44
Wakristo itumieni kwaresma kujipatanisha na Mungu
Lazima tufanye mazoezi ya kiroho kwa kutubu kidogo kidogo na hatimaye tuweze kuacha dhambi kabisa, tusikubali kurudia katika dhambi. Na Bernad Magawa Wito umetolewa kwa wakristo kukitumia vizuri kipindi cha kwaresma kuwa kipindi cha kufanya toba, kujipatanisha kiroho na kumrudia…
23 February 2023, 15:19
Alizeti yawanufaisha wakulima Dabalo
Mkoa wa Dodoma ni miongoni mwa mikoa inayotegemewa zaidi katika zalishaji wa mafuta ya alizeti. Na FRED CHETI Upatikanaji mzuri wa mbegu za alizeti katika kijiji cha Dabalo wilayani Chamwino umetajwa kuwa chachu kwa wakulima wengi ndani ya kijiji hicho…
22 February 2023, 17:38
Uhaba wa vyumba vya madarasa watajwa kuwa kikwazo
Uhaba wa vyumba vya madarasa na nyumba za walimu imetajwa kuwa kikwazo kikuu cha maendeleo. Na Victor Chigwada. Uhaba wa vyumba vya madarasa na nyumba za walimu imetajwa kuwa kikwazo kikuu cha maendeleo ya elimu katika kata ya Chilonwa Wilaya…
22 February 2023, 16:40
Wafanyabiashara wa mbogamboga na matunda waomba eneo la soko
Wafanyabiashara wa matunda na mbogamboga wilayani Bahi mkoani Dodoma wameiomba serikali wilayani humo kuwatengea eneo rasmi la kufanyia biashara. Na Bernad Magawa. Wafanyabiashara wa matunda na mbogamboga wilayani Bahi mkoani Dodoma wameiomba serikali wilayani humo kuwatengea eneo rasmi la kufanyia…