Dodoma FM
Dodoma FM
20 February 2023, 9:29 am
kituo cha tumaini kilichopo Ihumwa kina jumla ya watoto 150 wanaolelewa kituoni hapo na wajane 100 ambao wamesaidiwa katika kujiendeleza na miradi mbalimbali ya maendeleo. Na Fred Cheti Jamii imeshauriwa kuendelea kuwasaidia watu wenye uhitaji ndani ya jamii hata kwa…
17 February 2023, 1:55 pm
Marekebisho hayo yanapunguza adha ya wananchi wa kata hiyo kusafiri Umbali wa kilometa zaidi ya ishirini na nane kwa usafiri wa pikipiki. Na Victor Chigwada Diwani wa Kata ya Chiboli Wiliamu Teu ameishukuru mamlaka ya usimamizi barabara za vijijini na…
17 February 2023, 12:36 pm
Machi 13, 2020 Tanzania na bank ya maendeleo ya afrika zilitiliana saini mkataba wa mkopo wa masharti nafuu wa Dola 495.59 milioni za Marekani (Sh1.14 trilioni) kwa ajili ya utekelezaji wa miradi mitatu ya maendeleo ikiwemo uwanja wa ndege wa…
17 February 2023, 11:49 am
Wakurugenzi wa sera na mipango wametakiwa kuhakikisha wanatumia data za sensa ya watu na makazi ya mwaka 2022 kupanga mipango jumuishi. Ofisi ya taifa ya Takwimu imewataka wakurugenzi wa sera na mipango kuhakikisha wanatumia data za sensa ya watu na…
17 February 2023, 10:53 am
Na Benard Magawa Ikiwa imetimu takribani zaidi ya miezi miwili tangu kutangazwa kwa matokeo ya darasa la saba hapa nchini Disemba mwaka 2022 ambayo yaliweka historia mpya kwa wilaya ya Bahi baada ya wilaya hiyo kuwa kinara mfululizo kwa miaka…
16 February 2023, 3:46 pm
Wakala wa barabara za mijini na vijijini Tanzania (TARURA) wilayani kongwa wanatarajia kutumia shilingi Bilioni 1.172 kwaajili ya kujenga na kukarabati miundombinu ya barabara katika bajeti ya mwaka wa fedha 2023/2024. Na Bernadetha Mwakilabi. Meneja wa TARURA Kongwa injinia Peter…
16 February 2023, 2:44 pm
Mkuu wa wilaya ya Bahi Mheshimiwa Godwin Gongwe ameiagiza halmashauri ya wilaya ya Bahi kuhakikisha inabuni, kusimamia na kuongeza vyanzo vya mapato ili kutekeleza kikamilifu agizo la Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania la kila wilaya kuhakikisha inakusanya mapato…
15 February 2023, 5:28 pm
Upotevu wa wastani wa Shilingi 380,000 kwa siku umebainika katika makusanyo ya mapato ya stendi ambayo ni sawa na zaidi ya milioni 11 kwa mwezi Mkoani Dodoma . Na Mariam Matundu. Hayo ni kwa mujibu wa mkuu wa Takukuru mkoa…
15 February 2023, 5:12 pm
Imeelezwa kuwa kukosekana kwa elimu ya kutosha juu ya dodoso la walengwa wa TASAF imesababisha baadhi ya walengwa Kata ya Chilonwa kutoingia katika mfumo wa malipo. Na Victor Chigwada. Asheri Mkosi ni mwenyekiti wa kijiji cha Mahama amesema licha ya…
15 February 2023, 2:11 pm
Leo Wakati tunasafiri kutokea Dar kwenda Dodoma kutumia ndege ya Precission PW 600, kuna jambo limetokea. Na Joseph Rwegasira Samson. tupo hewani nilikuwa nimekaa dirishani, wakati tunakaribia kushuka Dodoma nikaona engine imezima, tupo hewani OMG…Rubani akatangaza kurudi Dar kwa dharula…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-