Dodoma FM
Dodoma FM
28 December 2023, 22:04
Afisa Mtendaji wa mtaa huo ameahidi kuhakikisha hakuna mtoto anae achwa nyuma katika zoezi la uandikishaji wa darasa la kwanza na awali. Na Mariam Matundu.Kukamilika kwa ujenzi wa shule ya Msingi Jitegemee ilijengwa katika Mtaa Mbwanga kata ya Mnadani kunatarajia…
27 December 2023, 17:48
kwa upande wake afisa elimu mkoa ameahidi kuyafanyia kazi yale yote waliyojadili katika kikao hicho. Na Aisha Alim.Wazazi na walezi wameaswa kuhakikisha watoto wao wanakuwa katika maadili mema kwa kuwaepusha na mambo ambayo hayawezi kuwajenga vyema katika makuzi yao. Hayo…
27 December 2023, 16:58
Wananchi wanaoishi pembezoni mwa mkondo wa maji wamekuwa wakisisitizwa kuhama maeneo hayo ili kuepuka athari ambazo zinaweza kuwapata ikiwemo ikiwemo mvua kubwa zinazoambatana na uharibifu wa mali na maisha ya watu. Na Nizar Mafita. Wananchi wa Mtaa wa Bicha katika…
27 December 2023, 15:30
Baraza la Uuguzi na ukunga Nchini mpaka sasa linajumla ya wauguzi na wakunga 49994 ambao wanatoa huduma kwenye zahanati ,vituo vya afya pamoja na hospitali za wilaya ,mikoa na rufaa. Na Mariam Matundu. Wauguzi na wakunga 4166 wanatarijia kufanya mtihani…
23 December 2023, 17:28
Thadei Tesha amezungumza na wakazi wa eneo hilo pamoja na mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira DUWASA. Na Thadei Tesha. Mamlaka ya maji safi na usafi wa mzingira Jiji la dodoma DUWASA imetolea ufafanuzi baadhi ya changamoto za…
23 December 2023, 16:58
Mkesha mkubwa kitaifa dua maalum unatarajiwa kufanyika usiku December 31 katika viwanja vya Nyerere square jijini Dodoma ambapo mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan. Na Mariam Kasawa. Wakazi jijini Dodoma wametakiwa…
23 December 2023, 16:35
Ni ufunguzi wa mradi wa kuondoa ukatili dhidi ya watoto walioko shuleni ambao unaratibiwa na mtandao wa Elimu TEMNET . Na seleman Kodima. Wadau wa Elimu wamesema kuwa ipo haja ya uwepo wa mgawanyiko wa adhabu kulingana na makosa yanayotendwa…
21 December 2023, 17:47
Dkt. Salumu amesema matatizo ya ngozi pamoja na matumizi ya sabuni za aina tofauti husababisha mtu kupatwa na tatizo hilo. Na Aisha Alim. Tatizo la macho kupatwa na muwasho linataja kusababishwa na mambo mbalimbali ikiwemo tatizo la afya ya ngozi…
21 December 2023, 17:23
Hii ni kufatia hoja ya Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa Goerge Fuime kubiua hoja ya ujenzi wa barabara hiyo katika kikao cha bodi ya barabara kilichofanyika leo Jijini Dodoma. Na Arafa Waziri.Hatimae kilio cha Wakazi wa Wilaya ya…
21 December 2023, 16:52
SACP Misime amewaomba wananchi wenye ushahidi kulingana na malalamiko yalivyowasilishwa na walalamikaji katika mitandao ya kijamii asisite kujitokeza ili uchunguzi huo ukamilike mapema na hatua zingine za kisheria zifuate. Na Mariam Kasawa.Jeshi la polisi limesema kuwa limeanza kufanyia uchunguzi malalamiko…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-