Dodoma FM

Recent posts

6 January 2024, 4:07 pm

Wazazi watakiwa kuhakikisha watoto wanaripoti shuleni Januari 8

Senyamule amekagua ujenzi wa shule ya Sekondari ya Michese unaotekelezwa katika kata ya Mkonze eneo la Michese na kuagiza kukamilika kwa ujenzi huo ili ifikapo tarehe 08 Januari wanafunzi waweze kukaa kwenye madarasa yenye ubora. Na Seleman Kodima.Mkuu wa Mkoa…

4 January 2024, 9:43 pm

Wananchi watakiwa kujitokeza kutoa maoni marekebisho ya katiba

Wadau ,wanasiasa wa vyama vya upinzani pamoja na wananchi wamekua wakitoa maoni tofouti juu marekebisho katika miswada hiyo. Na Fred Cheti. Wito umetolewa kwa wananchi kushiriki ipasavyo kutoa maoni na mapendekezo katika Marekebisho ya Muswada wa Sheria za uchaguzi wa…

4 January 2024, 5:09 pm

Viongozi watakiwa kuzingatia sheria za maadili ya umma

Hayo yamesemwa na Alfred Mboya Afisa maadili kutoka secretariete ya maadili ya viongozi wa umma wakati akifanya mahojiano na Dodoma Tv. Na Aisha Alim.Viongozi wa umma wametakiwa kuzingatia sheria za maadili ya viongozi katika Taasisi zao ili wawe mfano wakuigwa…

4 January 2024, 4:42 pm

Bei ya sare na vifaa vya shule yapaa

katika soko la machinga complex bidhaa zinazoonekana kushamiri ni pamoja na sare za shule kama mashati, sweta za shule madaftari pamoja na viatu vya shule. Na Thadei Tesha.Wakati wanafunzi wakijiandaa kufungua shule kwa ajili ya kuanza masomo yao kwa mwezi…

4 January 2024, 4:28 pm

Shekimweri ataka mapungufu yarekebishwe Mayeto

Zoezi la ukaguzi wa shule mpya jijini Dodoma zinazo tarajia kufunguliwa january 8 umeendelea ambapo mkuu wa wilaya alipata wasaa wa kutembelea shule mbili ambazo pia zimekamilika. Na Mariam Kasawa.Mkuu wa wilaya ya Dodoma Jabir Shekimweri ametaka mapungufu yaliyopo katika…

28 December 2023, 10:04 pm

Ujenzi wa shule katika Mtaa wa Mbwanga kuinua kiwango cha elimu

Afisa Mtendaji wa mtaa huo ameahidi kuhakikisha hakuna mtoto anae achwa nyuma katika zoezi la uandikishaji wa darasa la kwanza na awali. Na Mariam Matundu.Kukamilika kwa ujenzi wa shule ya Msingi Jitegemee ilijengwa katika Mtaa Mbwanga kata ya Mnadani kunatarajia…

27 December 2023, 5:48 pm

Wazazi watakiwa kuzingatia malezi ya watoto

kwa upande wake afisa elimu mkoa ameahidi kuyafanyia kazi yale yote waliyojadili katika kikao hicho. Na Aisha Alim.Wazazi na walezi wameaswa kuhakikisha watoto wao wanakuwa katika maadili mema kwa kuwaepusha na mambo ambayo hayawezi kuwajenga vyema katika makuzi yao. Hayo…

27 December 2023, 4:58 pm

Wakazi wa Bicha Kondoa wahofia kuathirika na mafuriko

Wananchi wanaoishi pembezoni mwa mkondo wa maji wamekuwa wakisisitizwa kuhama maeneo hayo ili kuepuka athari ambazo zinaweza kuwapata ikiwemo ikiwemo mvua kubwa zinazoambatana na uharibifu wa mali na maisha ya watu. Na Nizar Mafita. Wananchi wa Mtaa wa Bicha katika…

27 December 2023, 3:30 pm

Wauguzi na wakunga 4166 kufanya usajili na leseni Decemba 29

Baraza la Uuguzi na ukunga Nchini mpaka sasa linajumla ya wauguzi na wakunga 49994 ambao wanatoa huduma kwenye zahanati ,vituo vya afya pamoja na hospitali za wilaya ,mikoa na rufaa. Na Mariam Matundu. Wauguzi na wakunga 4166 wanatarijia kufanya mtihani…

23 December 2023, 5:28 pm

DUWASA yatolea ufafanuzi changamoto za mifumo ya maji taka

Thadei Tesha amezungumza na wakazi wa eneo hilo pamoja na mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira DUWASA. Na Thadei Tesha. Mamlaka ya maji safi na usafi wa mzingira Jiji la dodoma DUWASA imetolea ufafanuzi baadhi ya changamoto za…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger