Recent posts
14 April 2025, 17:36
Polisi Dodoma kushirikiana na wauzaji, mafundi simu kuzuia uhalifu
Aidha Kamanda wa Jeshi la Polisi amewataka wananchi kuacha tabia ya kupokea mali za wizi na iwapo watangundua tukio lolote la uhalifu watoe taarifa katika mamlaka husika. Na Lilian Leopord.Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, George Katabazi amesema kuwa matukio…
10 April 2025, 17:57
‘Jamii ibadili mitazamo ukatili wa kijinsia’
Utekelezaji wa Programu ya mabadiliko na Kupinga Ukatili wa kijinsia (GTAP) iliyoanza mwaka 2022/2023 unatarajia kukamilika 2025/2026. Na Mariam Matundu.Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Dkt. John Jingu ameitaka jamii kubadilika na kuachana…
10 April 2025, 17:46
Tuimarishe ushirikiano kuzuia mtoto kuishi na kufanya kazi mtaani
Kilele cha Maadhimisho haya yatafanyika katika ukumbi wa VETA mkoani Mtwara, yakihusisha viongozi wa Serikali, wadau wa maendeleo na wananchi Aprili 12, 2025. Na Mariam Matundu.Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima ameitaka…
8 April 2025, 18:18
‘Kaulimbiu maadhimisho ya siku ya afya inaaksi yaliyofanyika’
Lengo la kilele cha maadhimisho ya wiki ya afya ni kuimarisha uelewa wa afya, kuangazia maendeleo yaliyopatikana katika sekta ya afya, na kujadli changamoto zinazoikabili sekta hiyo. Na kauli mbiu ya mwaka huu ni “ Tulipotoka, Tulipo na Tunapolekea Tunajenga…
8 April 2025, 17:58
Mwenyekiti wa kitongoji adaiwa kumshambulia mwananchi
Huku chanzo ikidaiwa kuwa niutani ulipelekea kiongozi huyo na vijana wengine wawili kumshumbulia na kumsababishia majeraha sehemu ya kichwani na mikononi. Na Kitana Hamis.Kijana aliyefamika kwa Jina la Abdalla Omary Said, Mwenye Umri wa miaka 30, mkazi wa Magugu,Wilayani Babati…
7 April 2025, 17:42
Wananchi kata ya Chamwino washiriki zoezi la usafi usafi
Zoezi hilo ni enedelevu katika kata hiyo ambapo kila Jumamosi wananchi hujitokeza kwa ajili ya kufanya usafi katika maeneo mbalimbali ya kata hiyo. Na Lilian Leopord.Wananchi wa kata ya Chamwino jijini Dodoma wameshiriki katika zoezi la usafi wa mazingira katika…
7 April 2025, 17:18
Miradi ya zaidi ya bilioni 7 yajengwa katika kata ya Miyuji Dodoma
Miradi hiyo ni mradi wa barabara ya lami inayounganisha kata hiyo na Ipagala, zahanati ya Mpamaa, Shule ya Sekondari miyuji, na sule ya msingi mlimwa C. Na Alfred Bulahya.Kamati ya siasa kata ya Miyuji ikiongozwa na Diwani wa kata hiyo…
2 April 2025, 18:00
Jamii yatakiwa kutowaita watu wenye ulemavu majina yasiyofaa
Kulingana na sensa ya watu na makazi ya mwaka 2022, asilimia 11.2 ya watu wote nchini wana ulemavu, idadi hiyo imeongezeka kutoka asilimia 9.3 ilivyokuwa katika sensa ya mwaka 2012. Na Lilian Leopord.Katika jamii, lugha ina nguvu kubwa katika kuunda…
2 April 2025, 17:43
Wakazi wa Mondela waiomba serikali kuboresha upatikanaji wa dawa
Itakumbukwa kuwa Machi 25 mwaka huu Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Kassim Majaliwa akiwa mkoani Kilimanjaro amepiga marufuku tabia ya waganga katika hospitali za serikali kuwaandikia wagonjwa dawa na kuwaelekeza kununua dawa hizo katika maduka ya…
2 April 2025, 17:26
Wananchi Muungano watumia muda mrefu kutafuta maji
Aidha Taswira ya Habari inaendelea na juhudi ya kuutafuta uongozi wa RUWASA wilaya kujua hatua wanazochukua kutatua changamoto hiyo. Na Victor Chigwada.Uharibifu wa Miundombinu ya Maji katika kijiji cha Muungano kata ya Muungano umesababisha wananchi kukosa maji hali inayochangia wananchi…