Dodoma FM

Recent posts

17 April 2023, 2:45 pm

Hospitali ya wilaya Bahi kuanza kutoa huduma za watoto Njiti

Kwa mara ya kwanza tangu kuanzishwa kwa halmashauri ya wilaya ya Bahi zaidi ya miaka kumi iliyopita, wananchi wameanza kupata huduma muhimu za afya ambazo walizifuata katika hospitali ya mkoa wa Dodoma lakini kwa sasa huduma zote zinapatikana wilayani Bahi.…

17 April 2023, 2:20 pm

Yafahamu maajabu na ishara za mnyama adimu Kakakuona

Mnyama huyu anapo onekana katikajamii nini huwa kinafanyika. Na Yussuph Hassan. Jamii nyingi huamini ishara za mnyama huyo kwani anapo onekana wanajamii huwa na hamu ya kufamamu ni nini ambacho atatabiri katika jamii hiyo hivyo hufanya mila ikiwemo kupiga ngoma…

17 April 2023, 1:55 pm

Ugonjwa wa ukoma ni nini

Na Yussuph Hassan. Leo tunazungumzia ugonjwa wa ukoma ambao, ugonjwa huo unaambukizwa kutoka kwa mtu aliyeathirika kwenda kwa mtu mwingine kwa njia ya hewa. Dkt. Paul Shunda kutoka Wizara ya Afya kitengo cha kuzuia ulemavu unaotokana na ukoma anaanza na…

14 April 2023, 4:05 pm

Wakulima Dodoma wasusia zao la muhogo

Zao la muhogo ni muhimu kwa matumizi ya chakula na biashara kwani ni moja kati ya zao linalo stahimili ukame na hustawi katika maeneo yenye Mvua chache. Na Mindi Joseph. Zao la Muhogo Mkoani Dodoma limetajwa kususiwa na Wakulima kufuatia…

14 April 2023, 3:12 pm

Asili ya ngoma za wagogo

Ngoma zimeendelea kuwa moja ya urithi wa katika kabila hili la wagogo ka njia njia ya kuburudika katika sherehe mbalimbali. Na Yussuph Hassan. Ngoma za wagogo, ngoma hizi ni jadi ya kabila la kabila la wagogo katika shughuli mbalimbali  huchezwa…

14 April 2023, 1:59 pm

RAS Dodoma aridhishwa na utekelezaji wa Miradi Bahi.

Gugu ameeleza kuridhishwa kwa kiasi kikubwa na utekelezaji wa miradi hiyo na kutoa pongezi kwa uongozi wa halmashauri. Na Bernad Magawa. Katibu tawala wa mkoa wa Dodoma Ally Gugu ameeleza kufurahishwa na utekelezaji wa miradi ya maendeleo wilayani Bahi huku…

14 April 2023, 1:31 pm

Chamwino waishukuru serikali ujenzi wa vyuo vya VETA

Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) inatarajia kukamilisha ujenzi wa vyuo 25 vya Wilaya kwa kutumia nguvu kazi ya ndani yaani force account. Na Alfred Bulahya. Wananchi wilayani Chamwino Mkoani Dodoma, wameishukuru Serikali kwa kuanza ujenzi wa…

14 April 2023, 11:51 am

Wanawake watakiwa kupambana na mmomonyoko wa maadili

Hivi karibuni serikali kupitia waziri wa habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Mh Nape Nnauye ilisema kuwa Ushoga,Usagaji pamoja na mapenzi ya jinsia moja hayana nafasi nchini. Na Fred Cheti. Wito umetolewa kwa wanawake nchini kusimama katika nafasi zao katika ulezi…

13 April 2023, 6:33 pm

Ifahamu maana ya alama ya Ndonye kwa kabila la Wagogo

Ndonye ilitumika kwa watoto wadogo hapo zamani wa kabila hili la wagogo kama kinga ya macho lakini kwasasa wanasema hawaweki tena alama hiyo. Na Yussuph Hassan. Makabila mbalimbali Afrika na Tanzania huwa na alama mbalimbali ambazo hutambulisha kabila hilo kwa…

13 April 2023, 5:43 pm

Vijana wajivunia elimu ya ufundi kutoka VETA

Wapo vijana mbalimbali ambao wameweza kunufaika na uwepo wa elimu ya ufundi VETA ambapo imewasaidia kwa kiasi kikubwa katika kujiajiri. Na Thadey Tesha Baadhi ya vijana jijini Dodoma wamesema kuwa elimu ya ufundi stadi wanayoipata kutoka  VETA imekuwa msaada kwao…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger