Recent posts
30 April 2025, 18:03
Ujenzi wa shule Matumbulu watatua kero ya wanafunzi kutembe umbali mrefu
Mradi huo umegharimu kiasi cha shilingi milioni 544 laki mbili ishirini na tano mia sita ishirini na sita (544, 225, 600) kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu. Na lilian Leopord. Ujenzi wa Shule mpya ya Sekondari Matumbulu umetajwa kutatua changamoto…
30 April 2025, 17:36
Amuua baba yake na kumkata sehemu za siri
Taswira ya habari imezungumza na mashuhuda pamoja na mwenyekiti wa kijiji hicho juu ya tukio hilo. Na Kitana Hamis. Kijana mmoja aliye Famika kwajina la Mohamed Khamisi mwenye umri wa Miaka 22 Mkazi wa Ndirigishi Wilayani Kiteto Mkoani Manyara amemuuwa…
29 April 2025, 18:15
Mlodaa waomba serikali kuingilia kati ongezeko bei za vyakula
licha ya kuwa bado tuko mwezi wa nne lakini tayari baadhi ya familia zimeanza kulala na njaa Na Victor Chigwada. Wakazi wa Kijiji Cha Mlodaa Kata ya Mlowa barabarani Wilaya ya Chamwino wameiomba Serikali kuingilia kati ili kupunguza ongezeko la…
25 April 2025, 17:59
Serikali yawahakikishia wananchi BBT bado inafanya vizuri
Kwa upande wao washiriki wa mdahalo huo wameeleza matumaini yao katika kukuza uchumi kupitia kilimo Shindani. Na Alfred Bulahya.Serikali imewahakikishia watanzania kuwa mashamba ya vijana wa mradi wa jenga kesho iliyo bora BBT yanafanya vizuri na kwamba vijana 12 ndio…
25 April 2025, 17:36
Rais Samia kuzindua benki ya ushirika Dodoma
Hata hivyo ametoa wito Kwa wananchi wote wa Dodoma na maeneo jirani kujitokeza Kwa wingi na uzalendo kushiriki katika tukio hilo la kihistoria. Na Alfred Bulahya.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuzindua Benki ya…
24 April 2025, 17:56
Kibano watumishi wasiowajibika kazini
Watumishi watakaoshindwa kufikia kiwango hicho hawatapandishwa vyeo wala kuongezewa mishahara. Na Mariam Kasawa Serikali imetangaza mkakati wa kuwachukulia hatua kali watumishi wa umma wanaoshindwa kutekeleza majukumu yao ipasavyo, ikiwemo kutowapandisha madaraja wala kuongeza mishahara yao. Kauli hiyo imetolewa leo Alhamisi,…
24 April 2025, 17:31
Wanafunzi Kidoka waepukana na adha ya kufuata shule umbali mrefu
Ujenzi wa shule hiyo umegharimu zaidi ya shilingi milioni 500. Wanafunzi 320 wa kata ya kidoka wilayani chemba mkoani dodoma, wameondokana na adha ya kutembea umbali mrefu zaidi ya km 14 kwa sikukufuata shule kata ya jirani . Hapo awali…
23 April 2025, 18:28
Shinikizo la marafiki latajwa kuharibu vijana wengi
Sanjari na hayo wazazi wamewataka vijana kuzingatia malezi na maadili yanayofundishwa na wazazi wao, na kuongeza kuwa hakuna mzazi anayefurahia kuona mtoto wake anaharibikiwa. Imeelezwa kuwa katika jamii, vijana wanakabiliwa na shinikizo kubwa kutoka kwa marafiki, jambo ambalo linaweza kuathiri…
23 April 2025, 18:13
Afariki Dunia baada ya kukanyagwa na Tembo
Ikumbukwe kuwa hili ni tukio la Nne la Mwananchi kuuliwa na tembo katika kata ya Chifutuka ambapo Tembo wamekuwa wakitoroka katika hifadhi za kuingia katika makazi ya wananchi licha ya Askari wa TAWA kufanya jitihada za kuwafukuza katika maeneo ya…
23 April 2025, 13:31
Tadio yawanoa wanahabari utangazaji kidijitali
Tadio huendesha mafunzo mara kwa mara kwa waandishi wa habari kutoka redio wanachama ili kuwajengea uwezo hasa utangazaji wa kidijitali. Na Saumu Bakari Taasisi ya Maendeleo ya Vyombo vya Habari vya Kijamii TADIO imeendesha mafunzo kwa waandishi wa habari kutoka…