Recent posts
22 September 2025, 16:32
Jamii yatakiwa kuzingatia lishe kwa watoto wa miezi sita
Jamii pia imeshauriwa kujitokeza katika kliniki za watoto ili kupata elimu zaidi kuhusu lishe bora na namna ya kuandaa milo ya watoto kwa njia salama na yenye mvuto. Na Peter Mnunduma.Afisa Lishe kutoka Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma,…
22 September 2025, 15:00
Karibu katika sauti ya tiba sehemu ya tatu
Sehemu ya tatu ya igizo la sauti ya Tiba. Na Mariam Kasawa. Karibu katika sehemu ya tatu ya igizo la Sauti ya tiba linalo kujia kupitia Dodoma fm redio.
22 September 2025, 14:44
Mambo anayopaswa kuzingatia mama kabla hajabeba ujauzito
Ungana na Midwife Anitha Mganga ili uweze kujifunza mambo mbalimbali kuhusu Afya ya mama na mtoto. Na Mariam Kasawa.Wiki hii katika kipindi Cha ijali Afya yako kipengele Cha mama na mtoto tunaangazia Afya ya mama kabla hajabeba ujauzito.
22 September 2025, 14:20
Mkutano wa klabu za wasichana Amani wafanyika Dodoma
Walimu kutoka mikoa minne tofauti hapa Tanzania, walieleza furaha yao juu ya kuhusika katika mkutano huo na kuelezea namna wanavyonufaika na programu hii. Na Seleman Kodima.Mkutano wa pili wa mwaka wa walezi wa Klabu za Msichana Amani umefanyika jijini Dodoma,…
20 September 2025, 09:47
Weledi, maadili nyenzo muhimu ulinzi wa mwandishi wa habari
Baraza la Habari Tanzania MCT September 18 mwakahuu 2025 limewakutanisha wadauwa Habari kwa lengo la kujenga uhusiano mzuri kwa taasisi za serikali na waandishi wa Habari ili kuwezesha kazi ya wanahabari katika kuhabarisha umma pamoja na kujadili masuala ya ulinzi…
18 September 2025, 16:49
Elimu ya haki za watoto wasaidia kukabiliana na ukatili wa kijinsia
Ikumbukwe kwa jukwaa la msichana cafe limewakutanisha wawakilishi kutoka mikoa minne ambayo ni Dar es salaam,Dodoma,Pwani na Tabora ambapo lengo kuu ni kujadili changamoto wanazokutanazo wawakilishi hao. Na Seleman Kodima. Utoaji wa elimu kwa jamii kuhusu haki za mtoto wa…
18 September 2025, 13:58
Wanahabari watakiwa kuzingatia maadili kuelekea uchaguzi mkuu
Waandishi wa habari wametakiwa kutambua kuwa wana haki ya kuripoti habari zote za uchaguzi bila ubaguzi wowote. Na Mariam Kasawa. Tume ya haki za binadamu na utawala bora imewataka waandishi wa habari kuzingatia maadili kuepuka lugha za matusi, takrima na…
18 September 2025, 13:22
Jamii iachane na mila, desturi zenye madhara-Ndoboka
Tunachokipinga ni mila zinazokandamiza na kuumiza baadhi ya makundi katika jamii kwani tunaelewa kwamba kuna mila na desturi ambazo zinazofaa na zinajenga misingi ya jamii husika na maadili ya kitanzania”amesema Neema. Na Mariam Matundu.Serikali inaendelea na juhudi za kuchochea maendeleo…
18 September 2025, 13:03
Karibu kusikiliza igizo la sauti ya tiba sehemu ya pili
karibu Katika igizo la sauti ya Tiba sehemu yapili uweze kujifunza na kuburudika kupitia igizo hili.
16 September 2025, 15:33
UDOM yafungua rasmi mafunzo ya akili unde (AI)
Lengo kuu ni kuongeza uelewa na matumizi ya teknolojia ya Akili unde katika shughuli za maendeleo nchini. Na Seleman Kodima.Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) kimezindua rasmi mafunzo ya Akili Unde(AI), kwa kushirikisha wanafunzi pamoja na taasisi mbalimbali kutoka sekta binafsi…