Recent posts
16 July 2025, 13:54
Matusi, udhalilishaji kikwazo wanawake kugombea uongozi
Lugha za matusi na udhalilishaji majukwaani zimekuwa kikwazo kikubwa kwa wanawake wanaotaka kushiriki kikamilifu katika siasa na uongozi. Hali hii inaathiri si tu ushiriki wao, bali pia inadhoofisha demokrasia jumuishi na haki za binadamu. Ripoti mpya ya shirika la Umoja…
12 July 2025, 21:38
RC Dodoma kuongoza kongamano la amani kuelekea uchaguzi mkuu
Kongamano hilo ni la pili kufanyika baada ya la kwanza kufanyika Jijini Dar es salaam. Na Seleman Kodima.MKUU wa Mkoa wa Dodoma,Rosemarry Senyamule,anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika Kongamano la amani la Mkoa la kujadili suala la amani kuelekea uchaguzi mkuu…
12 July 2025, 21:05
Mpango aagiza Tamisemi, Afya kutatua haraka changamoto za waganga wakuu
Amesema lengo kuu la Mpango huo ni kutoa Muelekeo kwa watumishi wa Afya ngazi ya Msingi kufanya Tafiti na kutumia matokeo ya tafiti katika kutatua changamoto,Kuboresha utoaji wa huduma za afya. Na Seleman Kodima.Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano…
9 July 2025, 15:50
Tamaa chanzo cha baadhi ya wanafunzi kubadili tabia?
Dodoma Tv imezungumza na baadhi ya Wanafunzi ili kujua sababu inayopelekea mabadiliko ya tabia. Na Farashuu Abdalla. Imeelezwa kuwa mabadiliko ya tabia kwa baadhi ya Wanafunzi wa Elimu ya juu pindi wanapoingia vyuoni imekuwa ni huzuni na janga katika jamii.…
9 July 2025, 15:29
Wananchi mpunguzi watakiwa kuchangamkia mikopo ya 10%
Lengo kuu La mkopo wa asilimia 10 kutoka halmashauri ni kuwezesha vikundi vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu kiuchumi kwakuwapatia mkopo wenye masharti nafuu ili kupunguza umaskini na kukuza ajira. Na Lilian Leopold. Wananchi kata ya Mpunguzi jijini Dodoma…
9 July 2025, 14:50
Changamoto za miundombinu shuleni kikwazo kwa wanafunzi
Aidha wamewaomba wadau mbalimbali kujitokeza ili kuwasaidia kuboresha miundombinu ya shule hiyo. Na Steven Noel.Wananchi wa kijiji cha Idilo wilayani Mpwapwa wamejadili changamoto zinazo wakabili wanafunzi wawapo shule katika eneo hilo. wakiongea katika mkutano wa hadhara wazazi hao wamesema wanafunzi…
3 July 2025, 16:32
RUWASA watakiwa kutatua changamoto ya maji Bolisa
Katika kuhitimisha ziara yake Wilayani Kondoa, Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Rosemary Senyamule amewataka wananchi kuhakikisha wanashiriki katika Uchaguzi mkuu wa mwaka huu kwa kupiga kura. Na Seleman Kodima.Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Rosemary Senyamule ameutaka uongozi wa wakala wa…
3 July 2025, 15:47
Wanafunzi wapo salama dhidi ya mimba wakati huu wa likizo?
Katika kufahamu suala hili, Selemani Kodima mapema alifika hadi Wilaya ya Kondoa na kutuandalia taarifa ifutayo. Na Seleman Kodima.Katika mwaka 2025, hali ya mimba za utotoni imeendelea kuwa changamoto kubwa duniani, hususan katika nchi zinazoendelea, lakini pia kuna maendeleo yanayoleta…
2 July 2025, 10:21
Afariki dunia baada ya kushambuliwa na fisi
Jitihada za kumwokoa hazikufanikiwa. Na Kitana Hamis.Kijana mmoja aitwaye Fredy Peter, mkazi wa Kijiji cha Seleto, Dareda Misheni, Wilaya ya Babati mkoani Manyara, amefariki dunia baada ya kushambuliwa na kundi la fisi . Kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio hilo,…
27 June 2025, 10:11
Kitovu cha kimataifa cha rasilimali za uziwikutoona chazinduliwa
Ni muhimu kutambua kundi la watu wenye ulemavu wa uziwikutoona. Na Mariam Kasawa. Imeelezwa kuwa licha ya Tanzania, kama zilivyo nchi nyingine duniani, kuwa na kundi la Watu wenye Ulemavu ambalo, licha ya kuwa kundi dogo kwa idadi ya watu…