Dodoma FM

Recent posts

25 April 2023, 4:58 pm

Dalili za ugonjwa wa Surua

Ugonjwa wa surua unaweza kumpata mtu wa rika lolote, husababishwa na virusi vinavyosambazwa kwa matone madogo hewani baada ya mtu mwenye surua kukohoa au kupiga chafya. NaYussuph Hassan. Surua ni ugonjwa unaosababishwa na virusi ambapo inaelezwa kuwa dalili zake zinaweza…

25 April 2023, 2:23 pm

Wafanyabishara walia na bei ya viazi mbatata

Kwa sasa wastani wa bei ya viazi mbatata ni kati ya shilingi 90000 kutoka wastani wa shilingi 60000-70000 kwa gunia. Na Thadei Tesha. Baadhi ya wafanyabiashara katika soko kuu la majengo jijini Dodoma wameelezea namna wanavyoathirika kutokana na kupanda kwa…

25 April 2023, 1:36 pm

Mzogole waishukuru Serikali kwa kuanza ujenzi wa daraja

Ujenzi wa daraja hilo unafuatia baada ya  kujengewa shule kubwa ya Sekondari iliyopo makao makuu ya kata, adha zilizowasumbua wananchi hao tangu kupatikana kwa uhuru wa nchi. Na Bernad Magawa. Wananchi wa kijiji cha Mzogole kata ya Mpinga wilayani Bahi…

25 April 2023, 12:43 pm

Wahitimu wa mafunzo SIDO watakiwa kuzalisha bidhaa bora

Awali kulitanguliwa na mafunzo y utengenezaji Sabuni na Batiki kama anavyobainisha Mkufunzi wa mafunzo hayo. Na Alfred Bulahya. Zaidi ya wahitimu 350 wa mafunzo ya usindikaji wa Vyakula na matunda wamehitimu mafunzo hayo yanayotolewa na shirika la kuhudumia viwanda vidogo…

24 April 2023, 4:28 pm

Watu wenye ulemavu wametakiwa kuchangamkia fursa

Kwa Sasa serikali imekuwa ikitoa fursa nyingi ambazo watu wenye ulemavu wanahaki ya kushiriki na kuwataka kuchangamkia kila fursa inayotolewa ikiwemo mikopo ya asilimia 10 ya  halamshauri ambayo kundi hilo litapata asilimia 2 . Na Fred Cheti. Wito umetolewa kwa…

24 April 2023, 4:04 pm

Wananchi watakiwa kutambua kilimo cha umwagiliaji ni cha uhakika

Dodoma ni miongoni mwa mikoa iliyo na hali ya ukame na Hupata wastani hali inayopelekea kulima mazao yanayostahili ukame kama vile uwele, mtama, mahindi, karanga, alizeti, ufuta na zabibu. Na Mindi Joseph. Wananchi Kata ya Babayu wamehimizwa kujikita katika kilimo…

24 April 2023, 2:56 pm

Wananchi Bahi watarajia kuchangia Zaidi ya madawati 10,000

Pamoja na wilaya ya Bahi kuwa na mafanikio makubwa kitaaluma katika mkoa na taifa, tatizo la kukosekana kwa madawati lisipodhibitiwa linaweza kuwa chanzo cha kupotea kwa mafanikio hayo. Na. Bernad Magawa. Wananchi wilayani Bahi wanatarajia kuchangia zaidi ya Madawati elfu…

24 April 2023, 2:26 pm

Wananchi waomba kupatiwa elimu ya uwekezaji

Mara kadhaa vijana wamekuwa wakilalamikia kukosa fursa za kujikwamua kiuchumi ambapo moja ya changamoto kubwa ni ukosefu wa elimu juu ya kuzitambua fursa hizo. Na Thadei Tesha. Baadhi ya wananchi jijini Dodoma wameiomba serikali kutoa elimu zaidi kwa wananchi juu…

24 April 2023, 1:49 pm

Ufahamu ugonjwa wa surua na maambukizi yake

Ugonjwa huu husababishwa na virusi vinavyosambazwa kwa matone madogo hewani baada ya mtu mwenye surua kukohoa au kupiga chafya. Na Yussuph Hassan. Surua ni ugonjwa unaosababishwa na virusi. Ugonjwa wa surua unaweza kumpata mtu wa rika lolote. Mratibu wa Huduma…

24 April 2023, 1:20 pm

Uongozi wa kijiji wakwamisha ujenzi wa shule ya sekondari Manungu

Wananchi wamesema wao hawana tatizo bali wanataka viongozi wafikie muafaka kuwa shule hiyo ijengwe wapi. NA Bernadetha Mwakilabi, Kongwa Wananchi wa kijiji cha Manungu kilichopo kata ya Sejeli wilayani Kongwa wameulalamikia uongozi wa halmashauri ya kijiji hicho hususani mwenyekiti kwa…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger