Recent posts
2 September 2025, 16:12
Mafunzo ya kanzi data yafanyika kuboresha ukusanyaji mapato
Na Lilian Leopold. Mafunzo ya matumizi ya mfumo wa kanzi data kwa watumishi wa Kanda sita za utoaji hudumawamefanyika chini ya usimamizi wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma, kwa lengo la kuboresha ukusanyaji wa mapato. Akida Hudu, Muhasibu wa Halmashauri…
1 September 2025, 17:34
INEC yawarejesha wagombea ubunge wanne
Uamuzi huu ni sehemu ya kuhakikisha uchaguzi mkuu unafanyika kwa uwazi, haki na kwa mujibu wa sheria za nchi. Na Mariam Kasawa. Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imeendelea na mchakato wa rufaa za wagombea wa nafasi za ubunge…
1 September 2025, 14:20
Malezi ya mtoto yaanzie tumboni-DC Dodoma
29 August 2025, 15:47
Dodoma yatumia wiki ya ustawi kutoa elimu malezi ya mtoto
watatumia maadhimisho hayo kutembelea vituo vya awali na vya kulelea watoto kwa ajili ya kutoa elimu ya makuzi. Na lilian Leopold.Wiki ya Ustawi wa Jamii imeanza kuadhimishwa rasmi hapa nchini, huku Jiji la Dodoma likitumia fursa hiyo kutoa elimu ya…
28 August 2025, 15:59
Rais Samia akutana na Mwabukusi Ikulu Chamwino
Mwabukusi ameeleza kuwa mazungumzo hayo na Rais yatazingatia kutoa ushauri wa hatua za haraka kuchukuliwa ili kurudisha imani ya wananchi na kuhakikisha uchaguzi unakuwa shirikishi, shindani na wenye uhalali wa kisiasa. Na Yussuph Hassan.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,…
28 August 2025, 15:33
Jeshi la Polisi Tanzania mguu sawa kuelekea kampeni za uchaguzi mkuu 2025.
Vilevile, limewakumbusha wagombea kuzingatia ratiba na muda wa kampeni uliopangwa ili kuepuka mivutano, migongano au migogoro itakayoweza kusababisha uvunjifu wa amani. Na Mariam Kasawa.Jeshi la Polisi Tanzania limesema lipo tayari kuhakikisha amani, utulivu na usalama vinaendelea kudumishwa wakati wote wa…
28 August 2025, 15:13
Dawati kuwachukulia hatua wazazi wanao toa adhabu za vipigo vikali
Sheria ya Mtoto ya mwaka 2009 inasimama kidete kupinga vipigo vikali na ukatili wa aina yoyote dhidi ya watoto. Inasisitiza malezi yenye upendo, heshima na mbinu za kinidhamu zisizo hatarishi. Dawati la Jinsia na watoto jijini Dodoma limesema lipo tayari…
26 August 2025, 15:37
Unyonyeshaji kwa mtoto mama akifariki baada ya kuzaliwa
Je, mtoto ambaye amezaliwa na mama yake kufariki ni hatua zipi zinapaswa kufuata ili kumpatia maziwa? Na Yussuph Hassan.Leo tunaangazia namna sahihi ya unyonyeshaji wa maziwa ya mama kwa mtoto ambaye mzazi wake amefariki baada ya kuzaliwa. Huu ni mwanzo…
26 August 2025, 14:59
Fidia bil. 2.6 kulipwa Septemba waliopisha mradi wa umeme Kagera
Dkt Biteko amesema baada ya miaka michache, Mkoa wa Kagera hautakuwa na changamoto ya umeme. Na Seleman Kodima.Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko, ameagiza wananchi waliopisha mradi wa Umeme Kagera walipwe fidia haraka. Agizo hilo amelitoa…
25 August 2025, 15:48
TAMESO (T) yawataka waganga wa tiba asili kushiriki mafunzo
Mafunzo hayo ni muhimu na yanalenga kuimarisha uelewa, uhifadhi wa maadili na usalama katika utoaji wa huduma za tiba asili. Na. Lilian Leopold.Wito umetolewa kwa waganga wa tiba asili na tiba mbadala kushiriki kikamilifu kwenye vikao maalum na mafunzo yanayoandaliwa…