Recent posts
17 June 2025, 15:28
Serikali yaahidi kuendelea kutumia tafiti za vyuo vikuu
Kongamano lapili la sayansi ya Afya chuo kikuu cha Dodoma linafanyika kwa siku tatu katika ukumbi wa jiji Mtumba ambapo kaulimbiu ya mwaka huu inasema Evidence based practise and innovation in addres heaith challenges. Na Mariam Kasawa. Serikali kupitia wizara…
10 June 2025, 15:55
Hospitali ya wilaya yaleta ahueni kwa wakazi wa Mlowa
Wakazi hao wameishukuru Serikali kwa kukamilisha hospitali hiyo ya Wilaya kwani imewapunguzia gharama za kusafiri kwenda hospitali zingine. Na Victor Chigwada. Ujenzi wa hospitali mpya ya Wilaya ya Chamwino katika Kata ya Mlowa barabarani umetajwa kuongeza tija kwa wananchi na…
10 June 2025, 14:56
Vijana Mlebe watakiwa kuchangamkia fursa mikopo ya 10%
Kwa mujibu wa mwenyekiti wa kijiji cha Mlebe hakuna vikundi vya vijana katika kijiji chake zaidi ya kikundi kimoja cha akina mama ambacho ndicho kipo hai mpaka sasa. Na Victor Chigwada. Vijana wa Kijiji cha Mlebe wametakiwa kuchangamkia fursa za…
10 June 2025, 13:44
Mwongozo wa serikali wahitajika waliopata ujauzito kurejea shuleni
Licha ya serikali kuruhusu wanafunzi wanaopata ujauzito kipindi cha masomo kurejea Shule Lakini bado kumekuwa na changamoto lukuki. Na Kitana Hamis. Wadau wa Elimu wataka Mongozo wa Serikali kwa Wanafunzi wa Kike walio Pata Ujauzito kurejea Shule ili watimize ndoto…
5 June 2025, 16:49
Serikali yatoa bilioni 51 ukarabati wa miradi ya maendeleo Zanka
Akizungumza wakati wa maadhimisho ya Samia Day yaliyofanyika katika Wilaya ya Bahi, Kata yaZanka, Mhe. Kasper amesema fedha hizo zimeboresha miradi mbalimbali ikiwemo ya elimu na afya. Na Anwary Shaban . Katibu Tawala Mkoa wa Dodoma Bw. Kasper Mmuya amesema…
5 June 2025, 16:02
Wananchi Makang’wa waendelea kupatiwa elimu ya urasimishaji
Zoezi la urasimishaji imekuwa ni mikakati ya Serikali kuhakikisha Kila mwananchi anamiliki ardhi yake kihalali Kwa kupewa hati ya umiliki wa ardhi za mashamba Yao. Na Victor Chigwada. Imeelezwa kuwa elimu ya urasimishaji wa ardhi imeendelea kutolewa Kwa wananchi wa…
5 June 2025, 15:36
Wananchi Gendabi mbioni kunufaika na mradi wa maji wa bilion 1.2
Takribani wananchi 5,000 wa vijiji vitano katika kata hiyo wanatarajia kunufaika na mradi huo wa maji. Na Kitana Hamis.Takribani wananchi 5,000 kutoka vijiji vitano vya Kata ya Gendabi, Wilaya ya Hanang’ Mkoani Manyara, wanatarajiwa kunufaika na mradi wamaji unaotekelezwa kwa…
4 June 2025, 17:34
Mikopo ya asilimia 10 yawanufaisha wananchi Kizota
Ikumbukwe kuwa katika kipindi cha miaka minne ya uongozi wa Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan mikopo ya halmashauri ya asilimia 10 imeendelea kuwa mkombozi kwa wananchi. Na Lilian Leopold. Wananchi wa kata ya Kizota halmashauri ya Jiji la Dodoma wameeleza…
3 June 2025, 14:46
‘Mita tano usafi wangu, usafi wangu mita tano’ kuzingatiwa
Kilele cha wiki ya Mazingira Duniani hufanyika Juni 05 kila mwaka ambapo mwaka huu kaulimbiu ya siku ya mazingira ni mazingira yetu na Tanzania ijayo tuwajibike sasa dhibiti matumizi ya plastiki. Na Mariam Kasawa. Wakazi wa jiji la Dodoma wamehimizwa…
3 June 2025, 14:20
Wakazi Chinyika wapongeza uboreshaji wa miundombinu
Wakazi hao wamesema zamani miundombinu ya barabara, huduma za muhimu za kijamii ikiwemo kituo cha afya, maji safi na salama, umeme ilikuwa changamoto. Na Husna Abdallah. Wakazi wa mtaa wa chinyika kata ya mkonze jijini dodoma wametoa pongezi zao kwa…