Recent posts
18 July 2025, 16:31
Wananchi zaidi ya laki moja kunufaika na mradi wa maji Mbulu
Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa mwaka 2025, Ismail Ali Ussi, ameeleza kuridhishwa na namna RUWASA inavyosimamia utekelezaji wa mradi huo. Na Kitana Hamis.Jumla ya wananchi 133,737 kutoka viji 21 vya Halmashauri ya wilaya ya Mbulu wanatarajia kunufaika…
17 July 2025, 15:50
Wadau wahimizwa usimamizi usalama wa mabwawa
Kwa upande mwingine Wataalamu na Wamiliki wa Mabwawa ya maji na tope sumu, Taasisi na watu binafsi wameshauriwa kujisajili katika mafunzo haya muhimu yanayohusu Tahadhari za dharura za kukabiliana na Majanga ya Mabwawa ya Maji na Tope Sumu. Na Farashuu…
16 July 2025, 16:00
Dira ya maendeleo 2050 kuzinduliwa Julai 17
Sanjari na hayo amebainisha kuanza kwa utekelezaji wadira hiyo ifikapo mwezi july baada ya kwisha kwa dira iliyopo ivisasa. Na Anwary Shaban. Ripoti ya kukamilika kwa maendeleo 2050 inatarajiwa kuzinduliwa tarehe 17 mwezi july na Dkt. Samia Suluh Hassan jijini…
16 July 2025, 15:17
‘Askari wanawake ni tija kwa taifa’
Hata hivyo ikumbukwe kuwa askari wa kike ni mama kama mama wengine na wanafanya majukumu yao ya kila siku ya kuhudumia familia na watoto ukiachilia mbali na majukumu yake ya kazi. Na Lilian Leopord. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma…
16 July 2025, 13:54
Matusi, udhalilishaji kikwazo wanawake kugombea uongozi
Lugha za matusi na udhalilishaji majukwaani zimekuwa kikwazo kikubwa kwa wanawake wanaotaka kushiriki kikamilifu katika siasa na uongozi. Hali hii inaathiri si tu ushiriki wao, bali pia inadhoofisha demokrasia jumuishi na haki za binadamu. Ripoti mpya ya shirika la Umoja…
12 July 2025, 21:38
RC Dodoma kuongoza kongamano la amani kuelekea uchaguzi mkuu
Kongamano hilo ni la pili kufanyika baada ya la kwanza kufanyika Jijini Dar es salaam. Na Seleman Kodima.MKUU wa Mkoa wa Dodoma,Rosemarry Senyamule,anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika Kongamano la amani la Mkoa la kujadili suala la amani kuelekea uchaguzi mkuu…
12 July 2025, 21:05
Mpango aagiza Tamisemi, Afya kutatua haraka changamoto za waganga wakuu
Amesema lengo kuu la Mpango huo ni kutoa Muelekeo kwa watumishi wa Afya ngazi ya Msingi kufanya Tafiti na kutumia matokeo ya tafiti katika kutatua changamoto,Kuboresha utoaji wa huduma za afya. Na Seleman Kodima.Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano…
9 July 2025, 15:50
Tamaa chanzo cha baadhi ya wanafunzi kubadili tabia?
Dodoma Tv imezungumza na baadhi ya Wanafunzi ili kujua sababu inayopelekea mabadiliko ya tabia. Na Farashuu Abdalla. Imeelezwa kuwa mabadiliko ya tabia kwa baadhi ya Wanafunzi wa Elimu ya juu pindi wanapoingia vyuoni imekuwa ni huzuni na janga katika jamii.…
9 July 2025, 15:29
Wananchi mpunguzi watakiwa kuchangamkia mikopo ya 10%
Lengo kuu La mkopo wa asilimia 10 kutoka halmashauri ni kuwezesha vikundi vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu kiuchumi kwakuwapatia mkopo wenye masharti nafuu ili kupunguza umaskini na kukuza ajira. Na Lilian Leopold. Wananchi kata ya Mpunguzi jijini Dodoma…
9 July 2025, 14:50
Changamoto za miundombinu shuleni kikwazo kwa wanafunzi
Aidha wamewaomba wadau mbalimbali kujitokeza ili kuwasaidia kuboresha miundombinu ya shule hiyo. Na Steven Noel.Wananchi wa kijiji cha Idilo wilayani Mpwapwa wamejadili changamoto zinazo wakabili wanafunzi wawapo shule katika eneo hilo. wakiongea katika mkutano wa hadhara wazazi hao wamesema wanafunzi…