Recent posts
22 August 2025, 13:31
Wafanyabiashara nyama choma watakiwa kutumia nishati safi
Picha ni Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dt. Dotto Biteko na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule wakiwa na wafanyabiashara wa nyama choma Msalato. Picha na Seleman Kodima. Katika kuhakikisha watanzania 80% wanatumia nishati safi ya…
22 August 2025, 12:41
Mkandarasi TBEA kufidia mradi wa njia ya kusafirisha umeme
Picha ni Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt.Biteko akitoa maagizo kwa mkandarasi. Picha na Seleman Kodima. Dkt. Biteko ameeleza kuwa, sababu zilizotolewa na Mkandarasi zakuchelewesha mradi ikiwemo ya wananchi kugoma kutoa maeneo kwa madaiya fidia na kukutana…
21 August 2025, 16:33
Wazazi watakiwa kuzingatia chanjo ya polio kwa watoto
Hivi karibuni UNICEF na shirika la afya duniani WHO nchini Tanzania walizindua kampeni kubwa ya chanjo dhidi ya ugonjwa wa polio iliyowafikia Watoto zaidi ya milioni 4. Na Lovenes Miriam.Wazazi hususani wanawake wametakiwa kuachana na tabia ya kudharau chanjo ya…
21 August 2025, 16:09
Ajenda ya lishe shuleni iwe endelevu
Alhaj Jabir Shekimweri amewasistiza walimu kuwa ajenda ya lishe shuleni iwe endelevu na kuhakikisha kuwa wanafunzi wote wanapata chakula. Na Lilian Leopold. Katika juhudi za kuboresha elimu na afya ya wanafunzi, Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Mjini, Alhaj Jabir Shekimweri,…
21 August 2025, 15:42
Uthubutu wa wanawake nafasi za uongozi
Wanawake walioko madarakani, kama Rais Samia Suluhu Hassan, hutumika kama mfano wa kuigwa, wakionyesha kuwa wanawake wanaweza kuongoza kwa mafanikio. Uthubutu wa wanawake katika kuwania nafasi za uongozi ni hatua muhimu sana katika kujenga jamii yenye usawa wa kijinsia na…
20 August 2025, 17:59
PPRA yafungua mafunzo mfumo mpya wa NeST
Serikali kupitia PPRA imesema moduli hiyo mpya inalenga kuondoa changamoto zilizojitokeza awali na kuongeza ufanisi katika utekelezaji wa mikataba ya umma, ili kuhakikisha thamani ya fedha na uwajibikaji vinaimarika. Na Seleman Kodima.Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Ununuzi wa…
20 August 2025, 17:46
Mgombea udiwani Tambukareli awaahidi wananchi kunufaika na fursa
Zoezi la Uchukuaji wa Fomu za uteuzi wa nafasi ya udiwani limeanza tangu Agosti 14 na linatarajia kwenda hadi Agosti 27 kabla ya kuanza kwa kampeni za uchaguzi agosti 28 mwaka huu. Na Seleman Kodima.Mgombea wa Udiwani kupitia chama cha…
20 August 2025, 17:13
Skauti yatoa mafunzo ya utoaji msaada kwa jamii
Kupitia mafunzo hayo, vijana wa skauti wanatarajiwa kuwa mabalozi wa uokoaji na usalama wa jamii katika maeneo yao, wakihamasisha pia elimu ya kinga na tahadhari dhidi ya majanga mbalimbali. Na Anwary Shaban.Ili kukabiliana na majanga mbalimbali pindi yanapotokea, Chama cha…
19 August 2025, 15:38
Jamii iendelee kupatiwa elimu taratibu za mirathi
Kwa mujibu wa ripoti ya Mahakama Kuu na kauli ya Jaji Mkuu wa Tanzania, Profesa Ibrahimu Juma, mashauri ya mirathi yanagusa uchumi mkubwa wa mtu mmojammoja na wa taifa kwa ujumla. Na Joseph Julius.Wito umetolewa kwa wadau wa sheria kuendelea…
19 August 2025, 15:13
Vyama vya siasa vyatakiwa kufanya siasa za kistaarabu
Ikumbukwe kuwa Kampeni za Uchaguzi Mkuu wa madiwani, wabunge na urais zitafanyika kuanzia Agosti 28 hadi Oktoba 28, siku inayofuata Jumatano, Oktoba 29, 2025 itakuwa siku ya upigaji kura. Na Farashuu Abdallah. Vyama vya siasa vimetakiwa kufanya siasa za kiusataarabu…