Dodoma FM

Recent posts

6 August 2025, 13:12

Jamii yatakiwa kuzingatia suala la unyonyeshaji

Wizara ya Afya inaendelea kuhimiza utekelezaji wa sera na hatua za kuimarisha mazingira yanayowawezesha mama kunyonyesha kwa uhuru. Na Lilian Leopold.Jamii imeshauriwa kuzingatia suala ya unyonyeshaji kwa watoto ikiwa ni njia ya ustawi wenye afya bora kwa watoto. Maadhimisho ya…

6 August 2025, 09:49

Serikali yatilia mkazo haki na usawa kwa wanawake

Ikumbukwe kwamba Programu ya Kizazi Chenye Usawa Tanzania (Tanzania Generation Equality Program). Utekelezaji wake unahusisha Wadau wa Sekta za Umma na Binafsi katika kipindi cha Miaka Mitano (2021/22 -2025/26). Na Mariam Matundu.Waratibu wa Programu ya kizazi chenye usawa (GEF) ngazi…

5 August 2025, 17:45

Dosari karatasi za kupigia kura zakwamisha uchaguzi

Amesema hitilafu katika uchapishaji wa makaratasi ya kupigia kura kwa baadhi ya majina ya wagombea kukosewa na kutoonekana imesababisha zoezi hilo kutofanyika. Na Kitana Hamis.Katibu Chama Cha Mapinduzi (CCM ) Mkoa wa Morogoro Nuru Ngereja ametolea ufafanuzi sababu za kata…

4 August 2025, 17:42

Wanaume watakiwa kushiriki wakati wa unyonyeshaji

Maadhimisho ya wiki ya unyonyeshaji hufanyika kila mwaka kuanzia tarehe 1-7 Agasti Na LovenesMiriam. Imeelezwa kuwa ushirikishaji wa wanaume katika suala la unyonyeshaji kwa mama ni muhimu ili kuhakikisha afya ya mama na mtoto. Hayo yamebainishwa na Bi Neema Joshua…

31 July 2025, 17:13

Washiriki 1163 kushiriki maonesho ya kilimo nanenane

Maonesho hayo yamebebwa na Kauli mbiu ya “Chagua Viongozi Bora kwa Maendeleo Endelevu ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi 2025. Na; Mariam Kasawa. Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Bw. Gerald Mweli amesema kuwa washiriki wapatao 1163 wamethibitisha kushiriki katika Maonesho…

31 July 2025, 12:25

Mwanafunzi ajeruhiwa na pikipiki katika sherehe za harusi

Tukio hili limeibua maswali na mijadala mikali miongoni mwa wakazi wa mtaa huo, wakilalamikia ukosefu wa udhibiti wa vyombo vya usafiri katika maeneo ya makazi na hasa wakati wa shughuli za kijamii au sherehe. Na Joseph Gontako Katika tukio la…

30 July 2025, 13:20

Manda, Ilangali watembea umbali mrefu kusaka mtandao

UCSAF imeweka mikakati madhubuti ya kuhakikisha wananchi waishio vijijini wanapata huduma bora za mawasiliano. Na Victor Chigwada.Ikiwa Sera ya Mawasiliano inabainisha kuwa wananchi wote wanapata huduma bora, salama, na nafuu za mawasiliano bila ubaguz,Hali ni tofauti kwa Wakazi wa vijiji…

30 July 2025, 12:57

Wajibu, Policy forum wazindua ripoti ya uwajibikaji

Ikumbukwe kuwa Ripoti za uwajibikaji zinazotolewa na taasisi ya Wajibu huangazia hoja kuu zilizobainishwa na CAG, kama matumizi mabaya ya fedha, miradi iliyotelekezwa, au taasisi zilizopata hati mbaya3.Hii husaidia wananchi kuelewa maeneo yenye changamoto na kuhoji uwajibikaji wa viongozi wa…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger