Dodoma FM

Recent posts

12 August 2025, 13:30

Uchukuaji wa fomu wabeba taswira ya democrasia

Picha ni Chama cha Union for Multiparty Democracy (UMD), Mhe. Mwajuma Noty Mirambo wakati akichukua fomu hapo jana Hafla hiyo imefanyika kwenye ofisi za Tume zilizopo Njedengwa Jijini Dodoma.Picha na Tume ya uchaguzi. Wachambuzi wa masuala ya kisiasa na kijamii…

12 August 2025, 11:27

NGO’s zatakiwa kuwajibika katika kuwahudumia wananchi

Naibu Waziri Mwanaidi ameeleza kwamba uwazi na uwajibikaji wa Mashirika hayo ndiyo msingi wa kutambuliwa kwa mchango wao katika maendelo ya Taifa. Na Mariam Matundu.Mashirika yasiyo ya Kiserikali yametakiwa kuwa wazi na kuwajabika katika utekelezaji wa majukumu yao hasa kuwahudumia…

11 August 2025, 13:58

Ubovu wa barabara wakwamisha biashara Kiteto

Ubovu wa barabara umekuwa chanzo cha magari ya eneo hilo hasa mabasi ya abiria kuharibika mara kwa mara. Na Kitana Hmais.Inaelezwa kuwa Kutokutekelezwa kwa ahadi ya Barabara ya lami kiteto kumefanya Wananchi kutotimiza malengo yao. Hali hii imepelekea wafanyabiasha wa…

8 August 2025, 16:08

Unyonyeshaji wafikia asilimia 66 nchini

Wiki ya unyonyeshaji inakwenda  na kaulimbiu isemayo  thamini unyonyeshaji weka mazingira wezeshi kwa mama na watoto kupitia ligi ya mpira. Na Anwary Shaban. Takwimu za miaka 30 iliyopita zinaonesha unyonyeshaji wa mama kwa mtoto zilikuwa chini ukilinganisha na kwa mwaka…

8 August 2025, 15:42

Wadau sekta ya kilimo watakiwa kutimiza wajibu wao kwa weledi

Maadhimisho ya wakulima ya Nanenane mwaka huu yanafanyika kitaifa mkoani Dodoma, yakilenga kuhamasisha uzalishaji na matumizi ya teknolojia katika sekta ya kilimo, mifugo na uvuvi. Na Seleman Kodima.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, ametoa wito…

8 August 2025, 15:15

Wajumbe Engusero walalamika kubadilishiwa namba

Awali wangombea walijinadi kwa kutaja Majina pamoja na namba kutokana na majina yao. Na Kitana Hamis. Wajumbe  walio shiriki Uchaguzi wa Udiwani kata ya Engusero Wilayani Kiteto walalamika kubadilishiwa namba za wagombea na kujikuta wakiwapigia kura wagombea wengine. Wakizungumza Baadhi…

7 August 2025, 14:21

B.O.T yaanzisha mfuko maalum kwa wajasiriamali

Watanzania wanaweza kunufaika na udhamini wa mikopo hiyo kwa kupokea huduma za fedha kupitia taasisi zilisajiliwa na kusimamiwa na  Benki Kuu ya Tanzania. Na Lilian Leopold. Serikali katika kuhakikisha inaweka mazingira rafiki kwa wajasiriamali imeanzisha mfuko wa udhamini wa mikopo…

7 August 2025, 13:41

Waratibu GEF watakiwa kuchakata taarifa kwa uadilifu

Kwa upande wake Mwakilishi kutoka Zanzibar, Mkurugenzi wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Sitti Ali ameishuruku Wizara ya Maendeleo ya jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi maalum kwa kufanikisha ushiriki. Na Mariam Matundu.Waratibu wa Programu ya Kizazi chenye Usawa wametakiwa…

7 August 2025, 12:50

Wagombea ubunge Mpwapwa walalamika rushwa kutawala

Wameyasema haya mala baada ya katibu wa chama hicho kutangaza matokeo ya uchaguzi   wa majimbo ya kibakwe na Mpwapwa. Na Steven Noel. Baadhi ya wagombea wa nafasi ya ubunge Jimbo la mpwapwa wamelalamikia RUSHWA kutawala Katika uchaguzi kitu walicho kusema…

6 August 2025, 13:12

Jamii yatakiwa kuzingatia suala la unyonyeshaji

Wizara ya Afya inaendelea kuhimiza utekelezaji wa sera na hatua za kuimarisha mazingira yanayowawezesha mama kunyonyesha kwa uhuru. Na Lilian Leopold.Jamii imeshauriwa kuzingatia suala ya unyonyeshaji kwa watoto ikiwa ni njia ya ustawi wenye afya bora kwa watoto. Maadhimisho ya…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger