Recent posts
12 August 2025, 13:30
Uchukuaji wa fomu wabeba taswira ya democrasia
Picha ni Chama cha Union for Multiparty Democracy (UMD), Mhe. Mwajuma Noty Mirambo wakati akichukua fomu hapo jana Hafla hiyo imefanyika kwenye ofisi za Tume zilizopo Njedengwa Jijini Dodoma.Picha na Tume ya uchaguzi. Wachambuzi wa masuala ya kisiasa na kijamii…
12 August 2025, 11:27
NGO’s zatakiwa kuwajibika katika kuwahudumia wananchi
Naibu Waziri Mwanaidi ameeleza kwamba uwazi na uwajibikaji wa Mashirika hayo ndiyo msingi wa kutambuliwa kwa mchango wao katika maendelo ya Taifa. Na Mariam Matundu.Mashirika yasiyo ya Kiserikali yametakiwa kuwa wazi na kuwajabika katika utekelezaji wa majukumu yao hasa kuwahudumia…
11 August 2025, 13:58
Ubovu wa barabara wakwamisha biashara Kiteto
Ubovu wa barabara umekuwa chanzo cha magari ya eneo hilo hasa mabasi ya abiria kuharibika mara kwa mara. Na Kitana Hmais.Inaelezwa kuwa Kutokutekelezwa kwa ahadi ya Barabara ya lami kiteto kumefanya Wananchi kutotimiza malengo yao. Hali hii imepelekea wafanyabiasha wa…
8 August 2025, 16:08
Unyonyeshaji wafikia asilimia 66 nchini
Wiki ya unyonyeshaji inakwenda na kaulimbiu isemayo thamini unyonyeshaji weka mazingira wezeshi kwa mama na watoto kupitia ligi ya mpira. Na Anwary Shaban. Takwimu za miaka 30 iliyopita zinaonesha unyonyeshaji wa mama kwa mtoto zilikuwa chini ukilinganisha na kwa mwaka…
8 August 2025, 15:42
Wadau sekta ya kilimo watakiwa kutimiza wajibu wao kwa weledi
Maadhimisho ya wakulima ya Nanenane mwaka huu yanafanyika kitaifa mkoani Dodoma, yakilenga kuhamasisha uzalishaji na matumizi ya teknolojia katika sekta ya kilimo, mifugo na uvuvi. Na Seleman Kodima.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, ametoa wito…
8 August 2025, 15:15
Wajumbe Engusero walalamika kubadilishiwa namba
Awali wangombea walijinadi kwa kutaja Majina pamoja na namba kutokana na majina yao. Na Kitana Hamis. Wajumbe walio shiriki Uchaguzi wa Udiwani kata ya Engusero Wilayani Kiteto walalamika kubadilishiwa namba za wagombea na kujikuta wakiwapigia kura wagombea wengine. Wakizungumza Baadhi…
7 August 2025, 14:21
B.O.T yaanzisha mfuko maalum kwa wajasiriamali
Watanzania wanaweza kunufaika na udhamini wa mikopo hiyo kwa kupokea huduma za fedha kupitia taasisi zilisajiliwa na kusimamiwa na Benki Kuu ya Tanzania. Na Lilian Leopold. Serikali katika kuhakikisha inaweka mazingira rafiki kwa wajasiriamali imeanzisha mfuko wa udhamini wa mikopo…
7 August 2025, 13:41
Waratibu GEF watakiwa kuchakata taarifa kwa uadilifu
Kwa upande wake Mwakilishi kutoka Zanzibar, Mkurugenzi wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Sitti Ali ameishuruku Wizara ya Maendeleo ya jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi maalum kwa kufanikisha ushiriki. Na Mariam Matundu.Waratibu wa Programu ya Kizazi chenye Usawa wametakiwa…
7 August 2025, 12:50
Wagombea ubunge Mpwapwa walalamika rushwa kutawala
Wameyasema haya mala baada ya katibu wa chama hicho kutangaza matokeo ya uchaguzi wa majimbo ya kibakwe na Mpwapwa. Na Steven Noel. Baadhi ya wagombea wa nafasi ya ubunge Jimbo la mpwapwa wamelalamikia RUSHWA kutawala Katika uchaguzi kitu walicho kusema…
6 August 2025, 13:12
Jamii yatakiwa kuzingatia suala la unyonyeshaji
Wizara ya Afya inaendelea kuhimiza utekelezaji wa sera na hatua za kuimarisha mazingira yanayowawezesha mama kunyonyesha kwa uhuru. Na Lilian Leopold.Jamii imeshauriwa kuzingatia suala ya unyonyeshaji kwa watoto ikiwa ni njia ya ustawi wenye afya bora kwa watoto. Maadhimisho ya…