Recent posts
28 August 2025, 15:59
Rais Samia akutana na Mwabukusi Ikulu Chamwino
Mwabukusi ameeleza kuwa mazungumzo hayo na Rais yatazingatia kutoa ushauri wa hatua za haraka kuchukuliwa ili kurudisha imani ya wananchi na kuhakikisha uchaguzi unakuwa shirikishi, shindani na wenye uhalali wa kisiasa. Na Yussuph Hassan.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,…
28 August 2025, 15:33
Jeshi la Polisi Tanzania mguu sawa kuelekea kampeni za uchaguzi mkuu 2025.
Vilevile, limewakumbusha wagombea kuzingatia ratiba na muda wa kampeni uliopangwa ili kuepuka mivutano, migongano au migogoro itakayoweza kusababisha uvunjifu wa amani. Na Mariam Kasawa.Jeshi la Polisi Tanzania limesema lipo tayari kuhakikisha amani, utulivu na usalama vinaendelea kudumishwa wakati wote wa…
28 August 2025, 15:13
Dawati kuwachukulia hatua wazazi wanao toa adhabu za vipigo vikali
Sheria ya Mtoto ya mwaka 2009 inasimama kidete kupinga vipigo vikali na ukatili wa aina yoyote dhidi ya watoto. Inasisitiza malezi yenye upendo, heshima na mbinu za kinidhamu zisizo hatarishi. Dawati la Jinsia na watoto jijini Dodoma limesema lipo tayari…
26 August 2025, 15:37
Unyonyeshaji kwa mtoto mama akifariki baada ya kuzaliwa
Je, mtoto ambaye amezaliwa na mama yake kufariki ni hatua zipi zinapaswa kufuata ili kumpatia maziwa? Na Yussuph Hassan.Leo tunaangazia namna sahihi ya unyonyeshaji wa maziwa ya mama kwa mtoto ambaye mzazi wake amefariki baada ya kuzaliwa. Huu ni mwanzo…
26 August 2025, 14:59
Fidia bil. 2.6 kulipwa Septemba waliopisha mradi wa umeme Kagera
Dkt Biteko amesema baada ya miaka michache, Mkoa wa Kagera hautakuwa na changamoto ya umeme. Na Seleman Kodima.Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko, ameagiza wananchi waliopisha mradi wa Umeme Kagera walipwe fidia haraka. Agizo hilo amelitoa…
25 August 2025, 15:48
TAMESO (T) yawataka waganga wa tiba asili kushiriki mafunzo
Mafunzo hayo ni muhimu na yanalenga kuimarisha uelewa, uhifadhi wa maadili na usalama katika utoaji wa huduma za tiba asili. Na. Lilian Leopold.Wito umetolewa kwa waganga wa tiba asili na tiba mbadala kushiriki kikamilifu kwenye vikao maalum na mafunzo yanayoandaliwa…
25 August 2025, 14:05
Dodoma yaagizwa kuanzisha kijiji cha utalii wa wagogo
Amemtaka mkurugenzi wa jiji kushirikiana na Bodi ya Utalii kuangalia namna ya kuifanya Stesheni ya Treni ya SGR kuwa kivutio cha utalii. Na Peter Nnunduma. Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Suleman Jafo, ametoa agizo kwa Mkurugenzi wa Jiji la…
25 August 2025, 13:42
Madeni yaliyopitiliza yaathiri malezi ya watoto
Mbali na hayo ASP Christer Kayombo amesema kuwa madeni yaliyopitiliza yanaweza kusababisha Mzazi kujiingiza katika biashara zisizofaa na kuathiri mwenendo mzima wa maisha ya mtoto. Na Farashuu Abdallah.Imeelezwa kuwa madeni yaliyopitiliza kwa Wazazi ni chanzo cha kuathiri ukuaji wa Mtoto…
22 August 2025, 16:06
Vinara wa uwajibikaji wachaguliwa Inzomvu
Picha ni wakazi wa kijiji cha Inzomvu wilayani Mpwampwa wakiunga mkono uwepo wa vinara wa uwajibikaji. Picha na Seleman Kodima. Baadhi ya Vinara wa Uwajibikaji na usimamizi wa Rasilimali za umma kupitia Mradi wa Raia Makini waliochanguliwa na wananchi wameahidi…
22 August 2025, 15:45
Mradi wa raia Makini wazidi kuimarisha ushiriki wa jamii
Baadhi ya Wananchi wa kijiji cha Kimagai wakiwa pamoja na Vinara wa uwajibikaji kupitia Mradi wa Raia Makini. Picha na Seleman Kodima. Mradi huu unatekelezwa katika mikoa 5 nchini Tanzania ambapo mkoani Dodoma unatekelezwa katika wilayani Mbili ambazo ni Bahi…