Dodoma FM

Recent posts

18 July 2025, 16:31

Wananchi zaidi ya laki moja kunufaika na mradi wa maji Mbulu

Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa mwaka 2025, Ismail Ali Ussi, ameeleza kuridhishwa na namna RUWASA inavyosimamia utekelezaji wa mradi huo. Na Kitana Hamis.Jumla ya wananchi 133,737 kutoka viji 21 vya Halmashauri ya wilaya ya Mbulu wanatarajia kunufaika…

17 July 2025, 15:50

Wadau wahimizwa usimamizi usalama wa mabwawa

Kwa upande mwingine Wataalamu na Wamiliki wa Mabwawa ya maji na tope sumu, Taasisi na watu binafsi wameshauriwa kujisajili katika mafunzo haya muhimu yanayohusu Tahadhari za dharura za kukabiliana na Majanga ya Mabwawa ya Maji na Tope Sumu. Na Farashuu…

16 July 2025, 16:00

Dira ya maendeleo 2050 kuzinduliwa Julai 17

Sanjari na hayo amebainisha kuanza kwa utekelezaji wadira hiyo ifikapo mwezi july baada ya kwisha kwa dira iliyopo ivisasa. Na Anwary Shaban. Ripoti ya kukamilika kwa maendeleo  2050 inatarajiwa kuzinduliwa tarehe 17 mwezi july na Dkt. Samia Suluh Hassan jijini…

16 July 2025, 15:17

‘Askari wanawake ni tija kwa taifa’

Hata hivyo ikumbukwe kuwa askari wa kike ni mama kama mama wengine na wanafanya majukumu yao ya kila siku ya kuhudumia familia na watoto ukiachilia mbali na majukumu yake ya kazi. Na Lilian Leopord. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma…

16 July 2025, 13:54

Matusi, udhalilishaji kikwazo wanawake kugombea uongozi

Lugha za matusi na udhalilishaji majukwaani zimekuwa kikwazo kikubwa kwa wanawake wanaotaka kushiriki kikamilifu katika siasa na uongozi. Hali hii inaathiri si tu ushiriki wao, bali pia inadhoofisha demokrasia jumuishi na haki za binadamu. Ripoti mpya ya shirika la Umoja…

12 July 2025, 21:38

RC Dodoma kuongoza kongamano la amani kuelekea uchaguzi mkuu

Kongamano hilo ni la pili kufanyika baada ya la kwanza kufanyika Jijini Dar es salaam. Na Seleman Kodima.MKUU wa Mkoa wa Dodoma,Rosemarry Senyamule,anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika Kongamano la amani la Mkoa la kujadili suala la amani kuelekea uchaguzi mkuu…

9 July 2025, 15:50

Tamaa chanzo cha baadhi ya wanafunzi kubadili tabia?

Dodoma Tv imezungumza na baadhi ya Wanafunzi ili kujua sababu inayopelekea mabadiliko ya tabia. Na Farashuu  Abdalla. Imeelezwa kuwa mabadiliko ya tabia kwa baadhi ya Wanafunzi wa Elimu ya juu pindi wanapoingia vyuoni  imekuwa ni huzuni  na janga  katika jamii.…

9 July 2025, 15:29

Wananchi mpunguzi watakiwa kuchangamkia mikopo ya 10%

Lengo kuu La mkopo wa asilimia 10 kutoka halmashauri ni kuwezesha vikundi vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu kiuchumi kwakuwapatia mkopo wenye masharti nafuu ili kupunguza umaskini na kukuza ajira. Na Lilian Leopold. Wananchi kata ya Mpunguzi jijini Dodoma…

9 July 2025, 14:50

Changamoto za miundombinu shuleni kikwazo kwa wanafunzi

Aidha wamewaomba wadau mbalimbali kujitokeza ili kuwasaidia kuboresha miundombinu ya shule hiyo. Na Steven Noel.Wananchi wa kijiji cha Idilo wilayani Mpwapwa wamejadili changamoto zinazo wakabili wanafunzi wawapo shule katika eneo hilo. wakiongea katika mkutano wa hadhara wazazi hao wamesema wanafunzi…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger