Recent posts
19 August 2025, 15:38
Jamii iendelee kupatiwa elimu taratibu za mirathi
Kwa mujibu wa ripoti ya Mahakama Kuu na kauli ya Jaji Mkuu wa Tanzania, Profesa Ibrahimu Juma, mashauri ya mirathi yanagusa uchumi mkubwa wa mtu mmojammoja na wa taifa kwa ujumla. Na Joseph Julius.Wito umetolewa kwa wadau wa sheria kuendelea…
19 August 2025, 15:13
Vyama vya siasa vyatakiwa kufanya siasa za kistaarabu
Ikumbukwe kuwa Kampeni za Uchaguzi Mkuu wa madiwani, wabunge na urais zitafanyika kuanzia Agosti 28 hadi Oktoba 28, siku inayofuata Jumatano, Oktoba 29, 2025 itakuwa siku ya upigaji kura. Na Farashuu Abdallah. Vyama vya siasa vimetakiwa kufanya siasa za kiusataarabu…
19 August 2025, 14:50
Mpango wa 95 tatu utafanikiwa kwa wananchi kupima afya
Ni bonanza lililohusisha vijana wenye umri wa miaka 10–19, ambapo wameshiriki katika majadiliano ya wazi na yenye mwongozo kuhusu ufuatiliaji wa matibabu , huduma bora za kliniki, mahusiano na marafiki, na changamoto mbalimbali ikiwemo unyanyapaa. Na Seleman Kodima. Ili kufanikisha…
18 August 2025, 17:51
Ramli chonganishi yapelekea mwanafunzi kupoteza maisha
Hata hivyo Jeshi la Polisi limefika katika eneo la tukio na kueleza kuwa uchunguzi unaendelea na hatua kali zitachukuliwa dhidi ya wote waliohusika. Na Kitana Hamis.Mtoto Yohana Amani Konki (17), mwanafunzi wa kidato cha nne katika Shule ya Sekondari Qashi,…
18 August 2025, 17:17
UCSAF yawataka wananchi kuripoti kwao kero ya mtandao
Aidha, wananchi walielezwa kuhusu miradi mbalimbali ya kimkakati inayotekelezwa na UCSAF ikiwemo maendeleo ya ujenzi wa minara 758 ya mawasiliano nchini. Na Mariam Kasawa.Imeelezwa kuwa mawasiliano ni muhimu katika kukuza uchumi wa Taifa hili hasa katika shughuli mbalimbali ikiwemo kilimo…
18 August 2025, 15:09
Wagombea waendelea kujitokeza kuchukua fomu
Ikumbukwe kuwa Zoezi la utoaji wa fomu za uteuzi wa kugombea nafasi za Ubunge na Udiwani katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025 limeanza rasmi tarehe 14 Agosti 2025 na linatarajiwa kumalizika tarehe 27 Agosti 2025, kwa mujibu wa ratiba ya…
18 August 2025, 12:48
Wananchi Malechela waiomba serikali kuwakumbuka nishati safi
Fursa ya matumizi ya nishati safi ya kupikia itawapunguzia wanawake kutumia muda mrefu wa kutafuta kuni kwaajili ya kupikia. Na Victor Chigwada.Wananchi wa vitongoji vya Sokoine na Malechela wameiomba Serikali kuwakumbuka katika miradi ya uhamasishaji wa matumizi ya Nishati mbadala…
14 August 2025, 18:18
DUWASA yakamilisha zoezi la ulipaji fidia
Baadhi ya maeneo hayo ni pamoja na Nzuguni, Zuzu Nala, Nala Chihoni na Kibaigwa. Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kupitia Wizara ya Maji, imekamilisha zoezi la ulipaji wa fidia yenye jumla ya Shilingi Milioni 999 kwa wananchi 103…
14 August 2025, 17:40
Yafahamu maua kwa ishara ya usafi na uwiano wa asili
Ethaning Flowers wanaamini kuwa utunzaji wa mazingira na maua ni mambo yanayoshirikiana kwa karibu. Na Lilian Leopold. Katika ulimwengu wa leo unaokabiliwa na changamoto za mabadiliko ya tabianchi na uchafuzi wa mazingira, Ethaning Flowers wamejipambanua kama taasisi inayothamini uzuri na…
14 August 2025, 17:01
NGOs zatakiwa kutekeleza majukumu kwa kuzingatia uwazi
Serikali itaendelea kushirikiana kwa karibu na mashirika haya ili kuimarisha ubora wa huduma, kuendeleza mshikamano wa kijamii, na kuchochea maendeleo endelevu kwa manufaa ya wananchi na Taifa kwa ujumla. Na Mariam Matundu.Serikali ina jukumu la kuhakikisha kuwa Mashirika Yasiyo Ya…