Dodoma FM
Dodoma FM
18 July 2025, 16:31
Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa mwaka 2025, Ismail Ali Ussi, ameeleza kuridhishwa na namna RUWASA inavyosimamia utekelezaji wa mradi huo. Na Kitana Hamis.Jumla ya wananchi 133,737 kutoka viji 21 vya Halmashauri ya wilaya ya Mbulu wanatarajia kunufaika…
17 July 2025, 15:50
Kwa upande mwingine Wataalamu na Wamiliki wa Mabwawa ya maji na tope sumu, Taasisi na watu binafsi wameshauriwa kujisajili katika mafunzo haya muhimu yanayohusu Tahadhari za dharura za kukabiliana na Majanga ya Mabwawa ya Maji na Tope Sumu. Na Farashuu…
16 July 2025, 16:00
Sanjari na hayo amebainisha kuanza kwa utekelezaji wadira hiyo ifikapo mwezi july baada ya kwisha kwa dira iliyopo ivisasa. Na Anwary Shaban. Ripoti ya kukamilika kwa maendeleo 2050 inatarajiwa kuzinduliwa tarehe 17 mwezi july na Dkt. Samia Suluh Hassan jijini…
16 July 2025, 15:17
Hata hivyo ikumbukwe kuwa askari wa kike ni mama kama mama wengine na wanafanya majukumu yao ya kila siku ya kuhudumia familia na watoto ukiachilia mbali na majukumu yake ya kazi. Na Lilian Leopord. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma…
16 July 2025, 13:54
Lugha za matusi na udhalilishaji majukwaani zimekuwa kikwazo kikubwa kwa wanawake wanaotaka kushiriki kikamilifu katika siasa na uongozi. Hali hii inaathiri si tu ushiriki wao, bali pia inadhoofisha demokrasia jumuishi na haki za binadamu. Ripoti mpya ya shirika la Umoja…
12 July 2025, 21:38
Kongamano hilo ni la pili kufanyika baada ya la kwanza kufanyika Jijini Dar es salaam. Na Seleman Kodima.MKUU wa Mkoa wa Dodoma,Rosemarry Senyamule,anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika Kongamano la amani la Mkoa la kujadili suala la amani kuelekea uchaguzi mkuu…
12 July 2025, 21:05
Amesema lengo kuu la Mpango huo ni kutoa Muelekeo kwa watumishi wa Afya ngazi ya Msingi kufanya Tafiti na kutumia matokeo ya tafiti katika kutatua changamoto,Kuboresha utoaji wa huduma za afya. Na Seleman Kodima.Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano…
9 July 2025, 15:50
Dodoma Tv imezungumza na baadhi ya Wanafunzi ili kujua sababu inayopelekea mabadiliko ya tabia. Na Farashuu Abdalla. Imeelezwa kuwa mabadiliko ya tabia kwa baadhi ya Wanafunzi wa Elimu ya juu pindi wanapoingia vyuoni imekuwa ni huzuni na janga katika jamii.…
9 July 2025, 15:29
Lengo kuu La mkopo wa asilimia 10 kutoka halmashauri ni kuwezesha vikundi vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu kiuchumi kwakuwapatia mkopo wenye masharti nafuu ili kupunguza umaskini na kukuza ajira. Na Lilian Leopold. Wananchi kata ya Mpunguzi jijini Dodoma…
9 July 2025, 14:50
Aidha wamewaomba wadau mbalimbali kujitokeza ili kuwasaidia kuboresha miundombinu ya shule hiyo. Na Steven Noel.Wananchi wa kijiji cha Idilo wilayani Mpwapwa wamejadili changamoto zinazo wakabili wanafunzi wawapo shule katika eneo hilo. wakiongea katika mkutano wa hadhara wazazi hao wamesema wanafunzi…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-