Recent posts
13 May 2025, 17:03
Babati kuja na mkakati kumaliza matukio ya ukatili
Hii ni kufuatia tukio la hivi karibuni la binti mwenye Umri wa miaka 13 Kubakwa na kuuawa. Na Kitana Hamis.Mkuu wa Wilayani ya Babati Emmanuela Kaganda Ametangaza Oparesheni ya kumaliza Matukio ya ukatili ikiwemo Ubakaji. Hii ni kufuatia tukio la…
13 May 2025, 16:47
Tembo wageuka tishio wilayani Kiteto
Matukio hayo yamepelekea baadhi ya wananchi kuwa walemavu. Na Kitana Hamis.Kwa kipindi Cha Miezi 4 zaidi ya Watu 4 Wameuawa Wengine kujeruhiwa kwa kushambuliwa na Tembo. Matukio hayo yamepelekea baadhi ya wananchi kuwa walemavu huku Tembo hao wakiharibu mali pamoja…
13 May 2025, 16:09
Bahi kuja na marufuku kwa wajawazito kunywa pombe
Ikumbukwe kuwa Mradi wa Elimu Jumuishi unaotekelezwa na Kanisa FPCT katika mkoa wa Dodoma unatekelezwa kwenye wilaya mbili ambazo ni Dodoma na Bahi. Na Seleman Kodima. Halmashauri ya Wilaya ya Bahi imesema ipo tayari kuwa na sheria ndogo ndogo za…
12 May 2025, 14:10
Mipango yazindua mitaala mipya ya kufundishia
Sanjari na hayo Professa Canute ambaye ni makamu mkuu wa chuo mpango fedha na utawala ameweza kumshukuru mkuu wa chuo hicho kwa kuweza kufanikisha uzinduzi wa mitaala 10 Na Annuary Shaban. Mkuu wa chuo cha mipango na maendeleo vijijini cha…
7 May 2025, 13:38
Serikali yaandaa zoezi la kuchanja, kutambua mifugo nchini
Hali ya Uzalishaji wa mazao ya Uvuvi ,Waziri Kijaji amesema umeongezeka kutoka tani ,laki nne na elfu sabini na nne na elfu themanini na moja kwa mwaka 2021 hadi kufikia tani laki tano ,ishirini na mbili na mia saba themanini…
6 May 2025, 17:49
Ubovu wa barabara ya Ihumwa kubaki historia
Ikumbukwe barabara hiyo ilitangazwa kuweka kiwango cha lami na aliyekuwa Rais wa awamu ya tano Hayati John pombe Magufuli alipo kuwa akizindua ujenzi wa reli mwendo kasi kutoka Morogoro Hadi Makutupola. Na Victor Chigwada. Imeelezwa changamoto ya ubovu wa barabara…
6 May 2025, 17:29
Umbali chanzo mimba wanafunzi Muungano, wakatiza masomo
Hata hivyo serikali ilishatangaza ujauzito isiwe sababu ya mwanafunzi kuacha masomo hivyo kuwaruhusu wanafunzi waliokatiza masomo yao kwa sababu hizo kurejea shuleni. Na Victor Chigwada. Imeelezwa umbali wa kilomita kumi kuifikia sekondari kwa wanafunzi wa kijiji cha Muungano imekuwa sababu…
5 May 2025, 18:32
Wananchi watakiwa kutoa taarifa za majanga ya moto haraka
Siku ya Zimamoto Duniani huadhimishwa kila May 4 ya kila mwaka. Na Kitana Hamis.Kamishna Msaidizi wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, Mkoa wa Manyara Gilbert Mvungi,ametoa wito kwa wananchi kutoa taarifa mapema pindi ajali ya moto inapotokea kwakupiga namba ya…
5 May 2025, 18:23
Ujenzi wa bweni Chamwino waanzishwa kuwalinda wasichana na mimba
Hayo yamebainishwa katika kikao Cha kujadili Maendeleo ya Shule ya Sekondari Chinangali kilicho fanyika may 3. Na Annuary Shaban.Kata ya Chamwino-Halmashauri ya jiji la Dodoma, imeanza mchakato wa ujenzi wa bweni la wanafunzi wa kike kwa nguvu za wananchi na…
5 May 2025, 18:14
Mwanafunzi abakwa na kuuawa kisha kutupwa shambani
Wakazi wa kijiji hicho wameiomba serikali iwasaidie ujenzi wa bweni ili kuwanusuru watoto na vitendo hivyo vya ukatili. Na Kitana Hamis. Suzana Samweli Mwenye umri wa Miaka 13 Mwanafunzi wa Darasa la Sita amefariki Dunia Baada ya kubakwa na Kuuwawa…