Dodoma FM
Dodoma FM
1 April 2025, 18:25
BARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC), linawataka Watanzania kuanza kubadili mtazamo na kuziona taka kama fursa ya kuzirejeleza na kupata bidhaa mbalimbali na kujikomboa kiuchumi. Na Mariam Kasawa.Mamlaka za serikali za mitaa na halmashauri za wilaya…
1 April 2025, 18:09
Ripoti ya takwimu za uhalifu na usalama barabarani ya mwaka 2023 inaonesha matukio ya ubakaji na ulawiti kuongoza ambapo jumla ya matukio 8,185 ya ubakaji yaliripotiwa kwa mwaka 2023 huku ulawiti yakiwa matukio 2,382. Na Mariam Matundu.Wakati serikali na wadau…
20 March 2025, 17:50
Kampuni ya Puma Energy imetoa mitungi 500 kwa Mheshimiwa mbunge ikielezwa kuwanufaisha mama na baba lishe kutoka vitongoji mbalimbali na vituo vya afya zahanati 51 Dodoma mjini. Na annwary shaban.Waziri wa madini na mbunge wa Dodoma mjini Mh.Antony Mavunde ameendelea…
19 March 2025, 17:51
Serikali itaendelea kuwekeza katika sekta ya mifugo ili kuhakikisha wafugaji wanapata mbegu bora za malisho na uhakika wa chakula cha mifugo. Na Mariam Kasawa.Wakati kilio kikubwa cha wafugaji nchini kikiwa ni ukosefu wa malisho unaosababishwa na athari za mabadiliko ya…
19 March 2025, 17:41
Naye Katibu Tawala Msaidizi Seksheni ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi,Mwalimu Vicent B. Kayombo amewaasa Maafisa hao kufanya kazi zao kwa bidii , akisisitiza kuwa baada ya mafunzo hayo, wote waliokuwa hawafanyi kazi vizuri wakajirekebishe. Na Mariam Kasawa.Maafisa elimu kata…
13 March 2025, 16:50
“Jambo ambalo tunajivunia ni kuwahudumia wagonjwa wenye matatizo ya macho kwa njia ya upasua(Operation) wa matundu madogo ili kuondoa mtoto wa jicho. Na. mwandishi wetu.Hospitali ya Benjamin Mkapa imekuwa Hospitali ya kwanza katika sekta ya Umma kwa kufanya upasuaji (Operation)…
13 March 2025, 16:31
Ulaji holela na mtindo wa maisha unatajwa kupelekea wananchi kuugua magonjwa yasio ya kuambukiza. Na Mariam Kasawa.Wananchi wametakiwa kuendelea kuepukana na magonjwa yasiyo ya kuambukiza kama kisukari kwa kubadili mtindo wa maisha. Katika kuadhimisha miaka 10 ya utoaji huduma Kituo…
13 March 2025, 15:46
Laigwanani ni lazima astaafu unapofika umri wa kuustaafu na kubaki kama mshauri kwenye jamii hiyo. Na Kitana Hamis.Jamii imetakiwa kupeleka watoto shule wa jinsia zote bila kubagua. Akizungumza na Dodoma tv wakati wa Kustaafu kwake kiongozi wa jamii ya kimasai…
11 March 2025, 13:15
Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya unawafikia asilimia 8 ya Watanzania huku vituo vya afya vilivyosaijiliwa ambavyo vinalipwa na NHIF ni 10,004 nchi nzima. Na Alfred Bulahya.Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) umefanikiwa kupunguza muda wa kuchakata…
11 March 2025, 12:58
Mapato ya shilingi bilioni 693.959 yamekusanywa na kuingia katika Mfuko Mkuu wa Serikali. Na Alfred Bulahya.Mamlaka ya Hifadhi ya Eneo la Ngorongoro(NCAA) imesema takwimu zinazoonesha kuwa juhudi za Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan kupitia filamu za Royal Tour na Amaizing Tanzania…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-