Recent posts
21 April 2023, 4:26 pm
Wananchi Kongogo waridhia mradi wa ujenzi wa skimu za umwagiliaji
Mradi huo utagharimu Bilioni 5.6 na unakadiriwa kutumia kipindi cha mwaka Mmoja na Miezi sita kukamilika. Na Mindi Joseph. Wananchi wa Kijiji cha Kongogo kata ya Babayu Wilayani Bahi wameridhia ujenzi wa Mradi wa skimu za kilimo cha Umwagiliaji kutekelezwa…
21 April 2023, 3:02 pm
Wanufaika Tasaf walalamika malipo kuchelewa
Mpaka sasa miradi hiyo ipo katika hatua nzuri za utekelezaji kwani hadi kufikia julai mwaka huu wataanza kutekeleza awamu ya pili ya miradi hiyo. Na Bernadetha Mwakilabi Wanufaika wa mfuko wa kusaidia kaya masikini TASAF wilayani Kongwa wamelalamikia Kuchelewa kwa…
21 April 2023, 2:37 pm
Serikali yajenga nyumba bora za walimu Bahi
Katika hatua nyingine kamati ya Fedha Uongozi na Mipango ilibaini Mapungufu katika ujenzi wa vyumba viwili vya Maabara shule ya sekondari Chonama. Na. Bernad Magwa. Walimu wa shule za msingi wilayani Bahi wameishukuru serikali kwa kuwajengea nyumba bora za makazi…
21 April 2023, 1:40 pm
Waislamu watakiwa kusheherekea sikukuu kwa amani na upendo
Waislamu Duniani Kote wanatarajia kusheherekea sikukuu ya EID siku ya kesho siku ya jumamosi . Na Fred Cheti. Kuelekea sikukuu ya Eid El Fitr wito umetolewa kwa waumini wa dini ya kiislamu pamoja na wananchi wote Mkoani Dodoma kusheherekea siku…
20 April 2023, 3:28 pm
Chakula bora ni kinga dhidi ya Ukoma
Mtaalamu wa Afya anasisitiza kama mtu atazingatia lishe bora ataepuka maambukizi ya ugonjwa huu wa ukoma. Na Yussuph Hassan. Ulaji wa chakula bora ni moja kati ya tiba ya kuepukana ugonjwa wa ukoma.
20 April 2023, 11:05 am
Taasisi na vituo vinavyo hudumia watu wengi kupigwa marufuku kutumia mkaa na k…
Watu wengi hutumia nishati hiyo kwa sababu ni rahisi kupatikana na wanaweza kumudu gharama yake tofauti na nishati nyingine kama umeme na gesi. Na Fred Cheti. Inaelezwa kuwa zaidi ya hekta 46,960 za misitu huharibiwa kila mwaka nchini kwa ajili…
20 April 2023, 10:28 am
Millioni 30 kujenga uzio shule ya kigwe viziwi Bahi
Kukamilika kwa uzio huo kutawahakikishia usalama watoto shuleni hapo ambao wamekuwa wakiibiwa vitu mbalimbali zikiwemo nguo pamoja na vifaa vingine vya shule. Na Bernad Magawa. Katika kuendelea kutoa kipaumbele cha elimu kwa watoto wenye mahitaji maalumu hapa nchini, serikali imepeleka…
19 April 2023, 5:42 pm
Wafanyabiashara wa mbogamboga walalamika bishara ngumu
Hii inafuati msimu wa mvua za mazika ambazo zimekoma hivi karibuni Mkoani hapa hivyo watu wengi wenye maeneo wameotesha mbogamboga mbalimbali na kuzipa kisogo mbogamboga za sokoni. Na Thadei Tesha. Wafanyabiashara wa mbogamboga wamelalamikia kudorola kwa soko la mboga hizo…
19 April 2023, 2:43 pm
Ishara zipi ambazo kaka kuona hutabiri
Je chifu Tupa atamuwekea nini Kaka kuona ili aweze kutabiri ishara zinazo kuja. Na Yussuph Hassani. Hii ni imani ambayo ipo kwenye jamii na tulipo fika katika kijiji cha Makang’wa tulikuwa watu wa kijiji hicho wana hamu kubwa ya kutaka…
19 April 2023, 2:20 pm
BOOST kuboresha elimu kongwa
Mradi wa BOOST ulianzishwa na Serikali chini ya ufadhili wa benki ya dunia unaosimamiwa na ofisi ya Rais TAMISEMI utatumia zaidi ya bilioni 1 na milioni 352 kutekeleza ujenzi huo ambao ni moja ya afua zake. Na Bernadetha Mwakilabi. Mradi…