Recent posts
24 July 2025, 16:18
Hospitali ya Mpwapwa yaboresha huduma za maabara
kufuatia ithibati hiyo watatoa Huduma bora Kwa wakazi wa mpwapwa na viunga vyake. Na Steven Noel. Uongozi wa hospitali ya wilaya ya Mpwapwa imeboresha Huduma za kimaabara kufuatia kupatia kupatiwa ithibati na wizara ya Afya na kuanza kutoa Huduma ambazo…
22 July 2025, 15:55
Wafanyabiashara wa chakula watakiwa kuzingatia usafi
Afisa Afya Shadrack Geofrey ametoa wito kwa viongozi wa mitaa Dodoma kuwa na utaratibu wa kutembelea maeneo ya biashara ya chakula ili kujiridhisha juu ya mwenendo wa biashara hiyo kuwa ni safi na salama. Na Farashuu Abdallah. Wafanyabiashara wa Chakula…
22 July 2025, 14:23
Uboreshaji wa zahanati wapunguza vifo Ihumwa
Ikumbukwe kuwa mradi wa ukarabati wa jengo la zahanati ya Ihumwa ulianza tarehe 10 /08/2023, ukigharimu kiasi cha shilingi milioni 235.9 fedha kutoka Shirika la Wahisani ABBOT. Na Lilian Leopord. Uboreshwaji wa miundimbinu uliofanyika katika zahanati ya Ihumwa iliyopo jijini …
22 July 2025, 13:08
Mitazamo hasi inasababishaje changamoto ya afya ya akili?
Kutokana na hali hiyo, mapema Seleman Kodima alifanya mahojiano na Apolioni Boniphace kutoka Taasisi ya Whole Health Junction na hapa anaeleza zaidi. Na Seleman Kodima.Kwa mujibu wa Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) ya mwaka…
22 July 2025, 12:20
UYAM waiomba serikali mtaji kukomboa vijana
Mkoa wa Dodoma una idadi kubwa ya vijana wenye umri wa miaka 15–35, ambao ni sehemu muhimu ya nguvu kazi ya taifa ambapo Asilimia 81 ya waliotoa maoni kuhusu Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 walikuwa vijana wa umri huo.…
18 July 2025, 17:07
Watia nia 11 wa ubunge waingia kwenye 18 za Takukuru
Malalamiko 11 tayari yamefanyiwa kazi kwa hatua ya awali ya kuwahoji watuhumiwa, huku uchambuzi wa kina ukiendelea. Na Kitana Hamis.Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mkoani Kilimanjaro imewahoji watia nia 11 wa ubunge kutokana na malalamiko ya rushwa…
18 July 2025, 16:31
Wananchi zaidi ya laki moja kunufaika na mradi wa maji Mbulu
Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa mwaka 2025, Ismail Ali Ussi, ameeleza kuridhishwa na namna RUWASA inavyosimamia utekelezaji wa mradi huo. Na Kitana Hamis.Jumla ya wananchi 133,737 kutoka viji 21 vya Halmashauri ya wilaya ya Mbulu wanatarajia kunufaika…
17 July 2025, 15:50
Wadau wahimizwa usimamizi usalama wa mabwawa
Kwa upande mwingine Wataalamu na Wamiliki wa Mabwawa ya maji na tope sumu, Taasisi na watu binafsi wameshauriwa kujisajili katika mafunzo haya muhimu yanayohusu Tahadhari za dharura za kukabiliana na Majanga ya Mabwawa ya Maji na Tope Sumu. Na Farashuu…
16 July 2025, 16:00
Dira ya maendeleo 2050 kuzinduliwa Julai 17
Sanjari na hayo amebainisha kuanza kwa utekelezaji wadira hiyo ifikapo mwezi july baada ya kwisha kwa dira iliyopo ivisasa. Na Anwary Shaban. Ripoti ya kukamilika kwa maendeleo 2050 inatarajiwa kuzinduliwa tarehe 17 mwezi july na Dkt. Samia Suluh Hassan jijini…
16 July 2025, 15:17
‘Askari wanawake ni tija kwa taifa’
Hata hivyo ikumbukwe kuwa askari wa kike ni mama kama mama wengine na wanafanya majukumu yao ya kila siku ya kuhudumia familia na watoto ukiachilia mbali na majukumu yake ya kazi. Na Lilian Leopord. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma…