Recent posts
2 July 2025, 10:21
Afariki dunia baada ya kushambuliwa na fisi
Jitihada za kumwokoa hazikufanikiwa. Na Kitana Hamis.Kijana mmoja aitwaye Fredy Peter, mkazi wa Kijiji cha Seleto, Dareda Misheni, Wilaya ya Babati mkoani Manyara, amefariki dunia baada ya kushambuliwa na kundi la fisi . Kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio hilo,…
27 June 2025, 10:11
Kitovu cha kimataifa cha rasilimali za uziwikutoona chazinduliwa
Ni muhimu kutambua kundi la watu wenye ulemavu wa uziwikutoona. Na Mariam Kasawa. Imeelezwa kuwa licha ya Tanzania, kama zilivyo nchi nyingine duniani, kuwa na kundi la Watu wenye Ulemavu ambalo, licha ya kuwa kundi dogo kwa idadi ya watu…
25 June 2025, 15:46
Wananchi waendelee kupatiwa elimu athari ya dawa za kulevya
Mwezi juni kila mwaka Dunia huadhimisha siku ya kupiga vita dawa za kulevya ambapo maadhimisho hayo hufanyika kwa siku tatu mfululizo kuanzia june 24 ,25 na 26 Na Anwary Shaban. Katika kuadhimisha siku ya kupiga vita dawa za kulevya duniani…
25 June 2025, 10:54
Wanawezaje kuzishinda mila, desturi kupata nafasi za uongozi kisiasa?
Katika jamii nyingi, mila na desturi huwakosesha wanawake fursa ya kushiriki katika mchakato wa maamuzi iwe katika familia, kijiji au hata kwenye taasisi za kisiasa. Karibu msikilizaji wa makala ya Amua inayoandaliwa na kutangazwa na Dodoma FM. Makala hii inakujia…
24 June 2025, 12:36
UDOSO yazindua mfuko maalum ufadhili wa masomo
Katika safari ya kutafuta elimu bora, bado kuna kundi la vijana ambao hupambana na changamoto za kiuchumi. Na Mariam Kasawa Serikali ya Wanafunzi wa Chuo kikuu cha Dodoma (UDOSO) imezindua mfuko maalum wa kuwasaidia wanafunzi wanaoshindwa kumudu gharama za masomo.…
19 June 2025, 16:55
Soko la Kariakoo ni mchango mkubwa kwa uchumi wa taifa
Jumla ya wafanyabiashara 30 wa kariakoo ambao ni washindi wa Tuzo za kariakoo wamewasili leo Jijini Dodoma baada ya kupokea mwaliko wa kushiriki vikao vya bunge na watatembelea Miradi mbalimbali katika Jiji la Dodoma. Na Seleman Kodima. Wafayabiashara wa Soko…
19 June 2025, 12:36
UDOM yawapongeza washindi wa Huawei ICT global competition 2025
Zoezi hilo lilienda sambamba na utoaji wa Vyeti kwa wanafunzi waliofanya Vizuri katika mashidano hayo. Na Mariam Kasawa. Uongozi wa Chuo kikuu cha Dodoma UDOM umewapongeza wanafunzi waliofanya Vizuri katika Mashindano ya Huawei ICT Global Competition 2025 yaliyofanyika nchini China…
18 June 2025, 13:25
Mabadiliko ya tabianchi yanavyo sababisha ukatili wa kijinsia kwa wanawake
Simulizi yetu inatupeleka katika kijiji cha Chali Igongo, wilayani Bahi mkoani Dodoma Katika maeneo mengi ya vijijini nchini Tanzania, mabadiliko ya tabia nchi yamekuwa tishio la kweli si kwa mazao tu, bali kwa maisha ya kila siku ya wanawake na…
17 June 2025, 15:28
Serikali yaahidi kuendelea kutumia tafiti za vyuo vikuu
Kongamano lapili la sayansi ya Afya chuo kikuu cha Dodoma linafanyika kwa siku tatu katika ukumbi wa jiji Mtumba ambapo kaulimbiu ya mwaka huu inasema Evidence based practise and innovation in addres heaith challenges. Na Mariam Kasawa. Serikali kupitia wizara…
10 June 2025, 15:55
Hospitali ya wilaya yaleta ahueni kwa wakazi wa Mlowa
Wakazi hao wameishukuru Serikali kwa kukamilisha hospitali hiyo ya Wilaya kwani imewapunguzia gharama za kusafiri kwenda hospitali zingine. Na Victor Chigwada. Ujenzi wa hospitali mpya ya Wilaya ya Chamwino katika Kata ya Mlowa barabarani umetajwa kuongeza tija kwa wananchi na…