Dodoma FM

Recent posts

13 April 2023, 5:08 pm

Walimu watakiwa kuzuia maudhui yasiyofaa

Jiji la Dodoma limetakiwa kutenga fedha na kuongeza vifaa vya Tehama kwa shule kwa lengo la kuendelea kuboresha ujifunzaji wa wanafunzi shuleni. Na Mindi Joseph. Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Jabiri Shekimweri amewataka walimu wanaosimamia Tehama kufuatilia kwa karibu maudhui…

13 April 2023, 3:53 pm

Ifahamu dawa aina ya PEP

Hii ni njia ya kuzuia maambukizi ya VVU kwa mtu asiye na VVU ambaye anaweza kuwa ameambukizwa virusi hivi Na Yussuph Hassan. Tunaendelea na mfululizo wa kuzungumzia juu ya dawa kinga za VVU, Prep na Pep, na leo Afisa Tabibu…

12 April 2023, 6:35 pm

Wananchi wengi hawafahamu gharama za maji kwa lita

Tayari DUWASA imeomba marekebisho ya bei za maji hadi mwaka 2026 ili kukidhi marekebisho ya miundombinu ya maji. Na Mindi Joseph. Kwa Mujibu wa ufuatiliaji uliofanywa na Baraza la Ushauri la Watumiaji wa Huduma ya Nishati na Maji Ewura CCC…

12 April 2023, 5:37 pm

Wakuu wa Taasisi za Afya watakiwa kuboresha huduma za Afya

Katika Mkutano huo wa Baraza la Wafanyakazi, wajumbe watapitia na kujadili masuala mbalimbali ikiwemo mwelekeo wa sekta ya afya hususani suala la ubora wa huduma. Na Pius Jayunga. Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu mapema leo amefungua Mkutano wa Baraza…

12 April 2023, 4:46 pm

Ibihwa watarajia kuondokana na adha ya maji

Mradi wa maji kata ya Ibihwa unatekelezwa na Serikali ya Tanzania kupitia RUWASA wilaya ya Bahi na kusimamiwa na kampuni ya Prest Water and Civil works. Na Bernad Magawa Mradi mkubwa wa maji unaojengwa katika kijiji cha Ibihwa unatajiwa kuanza…

11 April 2023, 5:17 pm

Yafahamu makundi yanayopaswa kupatiwa PREP

Afisa Tabibu Glory Martin kutoka zahanati ya makole leo akiendelea kuzungumzia makundi hayo. Na Yussuph Hassan. PrEP ni matumizi ya dawa za kupunguza makali ya VVU kwa watu wasio na VVU, ili kuzuia upatikanaji wa maambukizi ya VVU, dawa kinga…

11 April 2023, 4:40 pm

Makang’wa wahofia uzalishaji mdogo wa uwele

Uwele ni zao ambalo hustawi katika mazingiŕa magumu na kame lakini Msimu huu imekuwa tofauti uzalishaji wake unatajwa huenda ukawa hafifu. Na Mindi Joseph. Wakulima katika kijiji cha Makag’wa Mkoani Dodoma wamesema Kupungua kwa viwango vya mvua msimu huu wasiwasi…

11 April 2023, 3:57 pm

Wafugaji Bahi watakiwa kuheshimu miundombinu ya barabara

Mifugo inapopitishwa kwenye barabara inaharibu miundombinu ya barabara na kusababisha hasara kubwa kwa serikali pamoja na wananchi wanaoishi katika maeneo husika. Na Bernad Magawa. Wito umetolewa kwa wafugaji na wafanyabiashara wa mifugo wilayani Bahi kulinda na kuheshimu miundombinu ya barabara…

11 April 2023, 1:34 pm

Jamii yatakiwa kuchukua mikopo kwa malengo

Wananchi wengi wamekuwa wakijiingiza kwenye mikopo ambayo baadae huwa changamoto kwao. Na Leonard Mwacha. Jamii imepaswa kuepuka mikopo ambayo hugeuka kuwa changamoto kwao badala yake wafuate utaratibu wa kifedha ili kuweza kukopa kwa malengo.

11 April 2023, 1:00 pm

Serikali yapiga marufuku matumizi ya vifungashio vya plastiki

Na Fred Cheti. Serikali hivi karibuni ilipiga marufuku matumizi yasiyo sahihi ya mifuko  laini ya plastiki kutumika kama vibebeo vya bidhaa huku jambo hilo likitajwa kuwa ni ukiukwaji wa sheria  ambapo imeahidi  kuwachukulia hatua wanaofanya hivyo Baada ya tamko hilo…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger