Recent posts
30 September 2025, 14:34
Serikali, wadau waja na mikakati kilimo biashara
Kupitia mradi huo, vijana wanapewa mafunzo ya kilimo chenye tija, ujasiriamali, elimu ya fedha, na uelewa wa mnyororo wa thamani wa mazao. Na Seleman Kodima. Licha ya sekta ya kilimo kuchangia ajira kwa Watanzania kwa Asilimia 65.5, bado imeendelea kukumbwa…
30 September 2025, 13:16
Jitihada za wazazi Ihumwa zaongeza walimu wa sayansi
Jitihada hizo pia zimeongeza ufanisi wa ufundishaji, ikiwemo ununuzi wa vifaa vya kufundishia vilivyoboreshwa kupitia michango ya wazazi. Na Victor Chigwada.Imeelezwa kuwa jitihada za wazazi katika Shule ya Sekondari Ihumwa zimekuwa chachu ya kuongeza upatikanaji wa walimu wa masomo ya…
30 September 2025, 12:53
RUWASA yaombwa kuboresha miundombinu ya maji Iwondo
Changamoto kubwa ni kukosekana kwa umeme wa kutosha wa kusukuma mashine za visima vilivyopo. Na Victor Chigwada.Wananchi wa kijiji cha Iwondo, Kata ya Dabalo, Wilaya ya Chamwino wameiomba Mamlaka ya Usimamizi wa Maji Safi na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA)…
29 September 2025, 15:10
Mavunde: Tusimame katika taaluma, tufanye kazi bila upendeleo
Kongamano hilo limewakutanisha waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali vya habari mkoani Dodoma na maeneo jirani, kwa lengo la kujenga uelewa wa pamoja kuhusu namna ya kuripoti habari za uchaguzi kwa ufanisi, pamoja na kuongeza ulinzi na usalama wa waandishi…
29 September 2025, 14:37
Kisasa heroes yaaga mashindano ligi ya kikapu mkoa
Na Hamis Makila. Timu hiyo ya kisasa heroes baada ya kuaga mashindano ya kikapu Mkoa imewaahidi mashabiki wake kufanya vizuri zaidi katika mashindano ya Kitaifa ya Kikapu.
29 September 2025, 14:23
UCSAF yakamilisha minara 734, ujenzi wafikia asilimia 96.83
Minara iliyosalia ni 24 pekee, na inatarajiwa kukamilika hivi karibuni ili kuhakikisha huduma za mawasiliano zinafika katika maeneo yote yaliyopangwa. Na Mariam Matundu.Ujenzi wa minara 758 ya mawasiliano unaosimamiwa na Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF) umefikia hatua kubwa ya…
29 September 2025, 14:13
Uzembe kisheria unavyoharibu mazingira Dodoma sehemu ya 2
Utupaji wa taka ovyo unatajwa kuharibu mazingira kwa kiasi kikubwa kwa kusababisha taka nyingi kusambaa ovyo. Na Mariam Kasawa. Msikilizaji, leo tunazungumzia Kutotekelezwa kwa sheria ya usimamizi wa mazingira ya mwaka 2004 sura 20 kufungu cha 114-116 kumesababisha kulundikana kwa…
26 September 2025, 16:02
Sababu kocha Dodoma Jiji FC kutoonekana benchi la ufundi
Na Hamis Makila. Msemaji wa timu ya Dodoma jiji Moses Mpunga akizungumza na Dodoma redio amesema kuto onekana kwa kocha wao kwenye benchi la ufundi ni kutokana na kanuni zao za ndani.
26 September 2025, 15:28
Tume ya utumishi wa umma kutoa maamuzi ya rufaa 108 jijini Dodoma
Miongoni mwa sababu zinazojitokeza mara kwa mara katika rufaa hizo ni pamoja na Kukiuka maadili ya utumishi wa umma,Kughushi vyeti au kutoa taarifa za uongo,Uzembe kazini,Wizi wa mali za umma Na Seleman Kodima.Tume ya Utumishi wa Umma inatarajia kutoa maamuzi…
26 September 2025, 15:07
MTAKUWWA kutoa elimu juu ya madhara ya ajira kwa watoto
Mpango wa Taifa wa Kutokomeza Ukatili dhidi ya Wanawake na Watoto (MTAKUWWA) Halmashauri ya Jiji la Dodoma umefanya kikao kwaajili ya kuandaa mpango wa kuelimisha jamii na kuhakikisha watoto wanaenda shule na kuepuka mazingira hatarishi ya ajira zisizo rasmi. Na…