Dodoma FM
Dodoma FM
20 August 2025, 17:59
Serikali kupitia PPRA imesema moduli hiyo mpya inalenga kuondoa changamoto zilizojitokeza awali na kuongeza ufanisi katika utekelezaji wa mikataba ya umma, ili kuhakikisha thamani ya fedha na uwajibikaji vinaimarika. Na Seleman Kodima.Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Ununuzi wa…
20 August 2025, 17:46
Zoezi la Uchukuaji wa Fomu za uteuzi wa nafasi ya udiwani limeanza tangu Agosti 14 na linatarajia kwenda hadi Agosti 27 kabla ya kuanza kwa kampeni za uchaguzi agosti 28 mwaka huu. Na Seleman Kodima.Mgombea wa Udiwani kupitia chama cha…
20 August 2025, 17:13
Kupitia mafunzo hayo, vijana wa skauti wanatarajiwa kuwa mabalozi wa uokoaji na usalama wa jamii katika maeneo yao, wakihamasisha pia elimu ya kinga na tahadhari dhidi ya majanga mbalimbali. Na Anwary Shaban.Ili kukabiliana na majanga mbalimbali pindi yanapotokea, Chama cha…
19 August 2025, 15:38
Kwa mujibu wa ripoti ya Mahakama Kuu na kauli ya Jaji Mkuu wa Tanzania, Profesa Ibrahimu Juma, mashauri ya mirathi yanagusa uchumi mkubwa wa mtu mmojammoja na wa taifa kwa ujumla. Na Joseph Julius.Wito umetolewa kwa wadau wa sheria kuendelea…
19 August 2025, 15:13
Ikumbukwe kuwa Kampeni za Uchaguzi Mkuu wa madiwani, wabunge na urais zitafanyika kuanzia Agosti 28 hadi Oktoba 28, siku inayofuata Jumatano, Oktoba 29, 2025 itakuwa siku ya upigaji kura. Na Farashuu Abdallah. Vyama vya siasa vimetakiwa kufanya siasa za kiusataarabu…
19 August 2025, 14:50
Ni bonanza lililohusisha vijana wenye umri wa miaka 10–19, ambapo wameshiriki katika majadiliano ya wazi na yenye mwongozo kuhusu ufuatiliaji wa matibabu , huduma bora za kliniki, mahusiano na marafiki, na changamoto mbalimbali ikiwemo unyanyapaa. Na Seleman Kodima. Ili kufanikisha…
18 August 2025, 17:51
Hata hivyo Jeshi la Polisi limefika katika eneo la tukio na kueleza kuwa uchunguzi unaendelea na hatua kali zitachukuliwa dhidi ya wote waliohusika. Na Kitana Hamis.Mtoto Yohana Amani Konki (17), mwanafunzi wa kidato cha nne katika Shule ya Sekondari Qashi,…
18 August 2025, 17:17
Aidha, wananchi walielezwa kuhusu miradi mbalimbali ya kimkakati inayotekelezwa na UCSAF ikiwemo maendeleo ya ujenzi wa minara 758 ya mawasiliano nchini. Na Mariam Kasawa.Imeelezwa kuwa mawasiliano ni muhimu katika kukuza uchumi wa Taifa hili hasa katika shughuli mbalimbali ikiwemo kilimo…
18 August 2025, 15:09
Ikumbukwe kuwa Zoezi la utoaji wa fomu za uteuzi wa kugombea nafasi za Ubunge na Udiwani katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025 limeanza rasmi tarehe 14 Agosti 2025 na linatarajiwa kumalizika tarehe 27 Agosti 2025, kwa mujibu wa ratiba ya…
18 August 2025, 12:48
Fursa ya matumizi ya nishati safi ya kupikia itawapunguzia wanawake kutumia muda mrefu wa kutafuta kuni kwaajili ya kupikia. Na Victor Chigwada.Wananchi wa vitongoji vya Sokoine na Malechela wameiomba Serikali kuwakumbuka katika miradi ya uhamasishaji wa matumizi ya Nishati mbadala…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-