Recent posts
15 September 2025, 15:52
Teknolojia inavyoathiri malezi ya watoto
Teknolojia inaweza kuwa chachu ya maendeleo ikiwa itatumika kwa uangalifu na kwa ushauri wa karibu kutoka kwa wazazi. Na Joseph Gontako.Imeelezwa kuwa mabadiliko ya kiteknolojia yameathiri mfumo wa malezi katika jamii, kutokana na baadhi ya wazazi kutumia teknolojia zaidi katika…
15 September 2025, 15:34
Sikiliza mtiririko wa kipindi cha Sauti ya Tiba kupitia Dodoma FM
Karibu katika sehemu ya kwanza ya igizo la sauti ya tiba. Na Mariam Kasawa.Karibu kusikiliza mchezo wa redio unaoitwa sauti ya tiba ili uweze kuelimika na kupata burudani kipindi hiki kitakujia kila siku kupitiahttps://radiotadio.co.tz/dodomafm/ na hii ni sehemu ya kwanza…
15 September 2025, 13:52
Mfahamu mwalimu aliyefundisha masaa mengi bila kupumzika
Kupitia kona ya vijimambo inayo kujia kupitia Dodoma fm leo tunamuangalia mwalimu wa somo la bailoji ambaye alitumia masaa mengi kufundisha bila kupumzika na kujikuta amevunja rekodi ya kufundisha somo hilo masaa mengi.
15 September 2025, 13:26
TMA yathibitisha mvua za vuli kuwa za wastani
Na Yussuph Hassan.Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini TMA imesema katika msimu wa vuli mwaka 2025 mvua zinaratajiwa kuwa za wastani hadi chini ya wastani katika maeneo mengi na kutawaliwa na vipindi virefu vya ukavu hususan katika maeneo ya Pwani…
15 September 2025, 12:46
Ukosefu wa umeme kilio kwa wakazi wa Ngh’ambaku
Licha ya wananchi hao kutumia mafuta ya dizeli kukabiliana na changamoto ya umeme bado mafuta hayo hayakidhi mahitaji yao. Na; Victor chigwada.Imeelezwa kuwa matumizi ya mafuta ya Diesel Kwa wakazi wa Kijiji Cha Ngh’ambaku Wilaya ya Chamwino imekuwa ni changamoto…
11 September 2025, 16:43
Yapi mazingira rafiki kwa wenye ulemavu kushiriki uchaguzi?
Sheria ya watu wenye ulemavu ya mwaka 2010 inatambua haki ya kushiriki katika maisha ya kisiasa, ikiwemo kupiga kura na kugombea nafasi za uongozi. Na Yussuph Hassan.Katika kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka 2025, wadau wa haki za watu wenye ulemavu…
11 September 2025, 16:18
Njaa yaanza kuwa tishio kwa wakazi wa Ndogowe
Wameongeza kuwa hali hiyo imewalazimu wanaume kuhama nyumbani na kwenda kutafuta fursa kwa ajili ya kukidhi uchumi wa familia. Na Victor Chigwada.Imeelezwa kuwa hali ya uhaba wa mvua katika msimu uliopita mwaka 2024/2025 imeaanza kuwaathiri wananchi wa kijiji cha Ndogowe…
10 September 2025, 16:03
Uchakavu wa barabara wakwamisha usafirishaji Ndogowe
Hata hivyo juhudi za kumpata meneja TANROAD Wilaya ya Chamwino hazikuweza kufanikiwa. Na Victor Chigwada.Wananchi wa Kijiji cha Ndogowe Kata ya Ngh’ambaku Wilaya ya Chamwino wameeleza kilio chao uchakavu wa barabara hali inayokwamisha huduma za usafirishaji kwa wananchi.Wamesema barabara inayotoka…
10 September 2025, 15:44
Migogoro ya familia inavyoathiri zoezi la unyonyeshaji
Afisa Ustawi wa Jami jiji la Dodoma Rosemary Nicodemus wakati akizungumza na Taswira ya Habari anasema uwepo wa migogoro katika familia ni jambo linaloathiri zoezi la unyonyeshaji kwa mama. Na Lilian Leopold.Halmashauri ya Jiji la Dodoma imeeleza kuwa moja ya…
10 September 2025, 15:10
Aliyejiunganishia umeme ajikuta matatani
TANESCO imewataka wananchi wote waliounganishiwa umeme kwa njia zisizo halali kujitokeza mara moja kwa hiari ili kusafisha taarifa zao, huku ikisisitiza kuwa operesheni hiyo itaendeleakatika mikoa mingine ili kudhibiti wizi wa umeme nchini. Na Anwary Shaban.Mkazi mmoja wa Jiji la…