Dodoma FM

Recent posts

24 September 2025, 18:06

Bodaboda watakiwa kujiunga na vyama vya wafanyakazi

Maafisa usafirishaji wametakiwa kuhakikisha wanapata vitambulisho vya kidijitali vya wafanyabiashara wadogo ili kuwasaidia kupangiwa maeneo rasmi ya kufanyia kazi. Na Lilian Leopold.Zaidi ya vijana 23,000 jijini Dodoma wanajipatia kipato cha kila siku kupitia uendeshaji wa pikipiki na bajaji . Wakizungumza…

23 September 2025, 16:46

Wafanyakazi wa nyumbani wanakumbana na ukatili-ILO

Wafanyakazi wa nyumbani bado wanakumbwa na unyanyasaji kwa sababu kazi hiyo haieshimiwi kama kazi rasmi. Na Lilian Leopold.Kulingana na ripoti kutoka Shirika la Kazi Duniani (ILO), zaidi ya watu milioni moja wameajiriwa kama wafanyakazi wa nyumbani nchini na wengi wao…

23 September 2025, 16:27

Ng’ambaku waiomba serikali kuboresha miundombinu ya barabara

Wamesema kuwa hata kama barabara hizo hazijawekewa kiwango cha lami, ni vyema kujengewa mifereji pembezoni ili maji yatiririke kwa urahisi. Na Victor Chigwada.Imeelezwa kuwa mvua pamoja na maji yanayotiririka yamekuwa changamoto kubwa kwa barabara za vijijini, kutokana na vifusi vinavyotumika…

23 September 2025, 15:45

TRA Dodoma yasisitiza ulipaji kodi kwa wakati

Amewaomba wafanyabiashara kutumia fursa ya zoezi hilo la elimu ya kodi mlango kwa mlango kwa ajili ya kutoa changamoto zao za kikodi zinazowakabili ili ziweze kupatiwa ufumbuzi. Na Lilian Leopold.Meneja wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Dodoma Bw.…

22 September 2025, 16:53

Mifumo ya elimu yatajwa kuwatatiza vijana wanapofika vyuoni

Hata hivyo, wanasema kuwa tofauti hiyo haizuizi kupata msaada wa kitaaluma na kuendelea kukuza elimu yao pasipo mashaka. Na Victor Chigwada .Imeelezwa kuwa tofauti za mfumo wa elimu ya juu na ule wa msingi na sekondari zimekuwa changamoto kwa baadhi…

22 September 2025, 16:32

Jamii yatakiwa kuzingatia lishe kwa watoto wa miezi sita

Jamii pia imeshauriwa kujitokeza katika kliniki za watoto ili kupata elimu zaidi kuhusu lishe bora na namna ya kuandaa milo ya watoto kwa njia salama na yenye mvuto. Na Peter Mnunduma.Afisa Lishe kutoka Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma,…

22 September 2025, 15:00

Karibu katika sauti ya tiba sehemu ya tatu

Sehemu ya tatu ya igizo la sauti ya Tiba. Na Mariam Kasawa. Karibu katika sehemu ya tatu ya igizo la Sauti ya tiba linalo kujia kupitia Dodoma fm redio.

22 September 2025, 14:44

Mambo anayopaswa kuzingatia mama kabla hajabeba ujauzito

Ungana na Midwife Anitha Mganga ili uweze kujifunza mambo mbalimbali kuhusu Afya ya mama na mtoto. Na Mariam Kasawa.Wiki hii katika kipindi Cha ijali Afya yako kipengele Cha mama na mtoto tunaangazia Afya ya mama kabla hajabeba ujauzito.

22 September 2025, 14:20

Mkutano wa klabu za wasichana Amani wafanyika Dodoma

Walimu kutoka mikoa minne tofauti hapa Tanzania, walieleza furaha yao juu ya kuhusika katika mkutano huo na kuelezea namna wanavyonufaika na programu hii. Na Seleman Kodima.Mkutano wa pili wa mwaka wa walezi wa Klabu za Msichana Amani umefanyika jijini Dodoma,…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger