Recent posts
17 October 2025, 15:39
Wachimbaji wadogo watakiwa kuchukua tahadhari migodini
Wachimbaji wadogo wa madini wametakiwa kutumia vifaa vya kinga migodini ili kuepuka madhara ya kemikali yanayoweza kuathiri afya zao. Picha na Blogers. Kwa kuzingatia matumizi ya vifaa sahihi wakati wa uchimbaji wa madini wataweza kuepukana na athari za kiafya zinazoweza…
17 October 2025, 15:19
Sekta ya Bima yazidi kukua kutoka bilioni 79.2 hadi 957
Picha ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Fedha na Mipango Zanzibar, Dkt. Saada Mkuya Salum wakati wa uzinduzi wa jengo la Mamlaka ya Usimamizi wa Bima Tanzania (TIRA) jijini Dodoma. Picha na Anwary Shaban. Uzinduzi wa TIRA Bima…
17 October 2025, 12:19
Wanawake waathirika zaidi ukatili mtandaoni
Ripoti ya LHRC ya mwaka 2023 imebainisha ongezeko la ukatili wa kijinsia mtandaoni nchini hasa kwa wanawake. Picha na INEC. Ongezeko la ukatili wa kijinsia mtandaoni limeibua mjadala mpana kati ya vijana na wataalamu kuhusu hatua za kuchukua kuondoa vitendo…
17 October 2025, 10:48
Ukosefu wa huduma za afya karibu changamoto kwa wajawazito
Ukosefu wa huduma za afya kijiji cha Ilangali umetajwa kuwa changamoto hasa kwa mama wajawazito. Picha na Dodoma FM. Ukosefu wa huduma za afya maeneo ya karibu unawafanya wananchi kutembea umbali mrefu kufuata huduma hizo jambo ambalo ni hatari kwa…
17 October 2025, 10:10
Sikiliza mtiririko wa kipindi cha Sauti ya Tiba
Picha ni studio za Dodoma FM Redio zilizopo Miyuji Jijini Dodoma. Picha na Noah Patrick. Karibu katika mwendelezo wa sehemu ya tano ya igizo la sauti ya tiba kutoka Dodoma FM. Na Mariam Kasawa.Karibu sana msikilizaji kusikiliza kipindi cha Sauti…
16 October 2025, 10:32
Sikiliza mtiririko wa kipindi cha Sauti ya Tiba
Picha ni studio za Dodoma FM Redio zilizopo Miyuji Jijini Dodoma. Picha na George John. Karibu katika sehemu ya tano ya igizo la sauti ya tiba kutoka Dodoma FM. Na Mariam Kasawa.Karibu sana msikilizaji kusikiliza kipindi cha Sauti ya Tiba…
15 October 2025, 15:59
Maafisa Dodoma wapatiwa mafunzo ya uwekezaji
Mafunzo kwa Maafisa Viwanda na Uwekezaji mkoani Dodoma yamelenga kuongeza ufanisi na kupunguza urasimu katika utoaji wa huduma kwa wawekezaji kupitia matumizi ya mifumo ya kisasa ya usajili wa makampuni na biashara. Na Lilian Leopold. Maafisa Viwanda na Uwekezaji kutoka…
15 October 2025, 12:27
Wazazi waonywa kuhusu ukatili kwa watoto
Ukatili unaofanywa na wazazi kwa watoto umechangia kwa kiasi kikubwa kuongezeka kwa idadi ya watoto wanaoishi kwenye vituo vya malezi. Na Selemani Kodima. Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Wanawake na makundi maalumu imesema itaendelea kuwachukulia hatua za kisheria…
14 October 2025, 14:33
Pambano la ngumi Kibaigwa laahirishwa, mabondia wachunguzwa afya
Picha ni baadhi ya mabondia watakaoshiriki katika pambano la ngumi Kibaigwa. Picha na Hamis Makila. Pambano la ngumi Kibaigwa limeahirishwa hadi Oktoba 25 huku mabondia wakipimwa afya zao kabla ya kushiriki. Na Hamis Makila. Pambano la ngumi lililopangwa Kibaigwa limeahirishwa…
14 October 2025, 13:46
Watoto wenye ulemavu wa utindio wa ubongo wakosa huduma muhimu
Watoto wenye ulemavu wa utindio wa ubongo wanahitaji msaada wa kitabibu, lishe, na mazoezi, huku wazazi wakipokea mwongozo kutoka serikalini na taasisi za kiraia. Na Anwary Shaban. Watoto wenye ulemavu wa utindio wa ubongo wanakabiliwa na changamoto za kupata huduma…