Dodoma FM

Recent posts

16 September 2025, 14:46

Dodoma jiji wapo tayari kuivaa KMC

Wamewaomba mashabiki kujitokeza kwa wingi ili kuwasapoti katika mchezo huo. Kocha wa timu ya Dodoma jiji ameeleza maandalizi yao kuelekea mchezo wao na KMC unaotarajiwa kuchezwa hapo kesho ambapo amesema tayari wachezaji wamejiandaa vizuri licha ya kufahamu kuwa ni mchezo…

16 September 2025, 14:27

Ndogowe waiomba serikali kukamilisha uchimbaji wa kisima

Serikali iliweka ahadi ya kuchimba kisima sambamba na ujenzi wa bwawa ambalo litawanufaisha wakazi wa eneo hilo Kwa kilimo cha umwagiliaji lakini bado haijateleza ahadi hiyo hadi leo. Na Victor Chigwada.Wakazi wa Kijiji cha Ndogowe Wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma…

16 September 2025, 12:49

Tunaendelea na mtitiriko wa kipindi cha sauti ya tiba

Bado tunaendelea na mfululizo wa mchezo wa redio wa Sauti ya tiba sehemu yapili. Karibu uweze kujifunza kupitia mchezo huu ambao unalenga mambo mbalimbali yanayo ihusu jamii , mfululizo wa igizo hili unaupata kupitia Dodoma fm .

15 September 2025, 15:52

Teknolojia inavyoathiri malezi ya watoto

Teknolojia inaweza kuwa chachu ya maendeleo ikiwa itatumika kwa uangalifu na kwa ushauri wa karibu kutoka kwa wazazi. Na Joseph Gontako.Imeelezwa kuwa mabadiliko ya kiteknolojia yameathiri mfumo wa malezi katika jamii, kutokana na baadhi ya wazazi kutumia teknolojia zaidi katika…

15 September 2025, 15:34

Sikiliza mtiririko wa kipindi cha Sauti ya Tiba kupitia Dodoma FM

Karibu katika sehemu ya kwanza ya igizo la sauti ya tiba. Na Mariam Kasawa.Karibu kusikiliza mchezo wa redio unaoitwa sauti ya tiba ili uweze kuelimika na kupata burudani kipindi hiki kitakujia kila siku kupitiahttps://radiotadio.co.tz/dodomafm/ na hii ni sehemu ya kwanza…

15 September 2025, 13:52

Mfahamu mwalimu aliyefundisha masaa mengi bila kupumzika

Kupitia kona ya vijimambo inayo kujia kupitia Dodoma fm leo tunamuangalia mwalimu wa somo la bailoji ambaye alitumia masaa mengi kufundisha bila kupumzika na kujikuta amevunja rekodi ya kufundisha somo hilo masaa mengi.

15 September 2025, 13:26

TMA yathibitisha mvua za vuli kuwa za wastani

Na Yussuph Hassan.Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini TMA imesema katika msimu wa vuli mwaka 2025 mvua zinaratajiwa kuwa za wastani hadi chini ya wastani katika maeneo mengi na kutawaliwa na vipindi virefu vya ukavu hususan katika maeneo ya Pwani…

15 September 2025, 12:46

Ukosefu wa umeme kilio kwa wakazi wa Ngh’ambaku

Licha ya wananchi hao kutumia mafuta ya dizeli kukabiliana na changamoto ya umeme bado mafuta hayo hayakidhi mahitaji yao. Na; Victor chigwada.Imeelezwa kuwa matumizi ya mafuta ya Diesel Kwa wakazi wa Kijiji Cha Ngh’ambaku Wilaya ya Chamwino imekuwa ni changamoto…

11 September 2025, 16:43

Yapi mazingira rafiki kwa wenye ulemavu kushiriki uchaguzi?

Sheria ya watu wenye ulemavu ya mwaka 2010 inatambua haki ya kushiriki katika maisha ya kisiasa, ikiwemo kupiga kura na kugombea nafasi za uongozi. Na Yussuph Hassan.Katika kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka 2025, wadau wa haki za watu wenye ulemavu…

11 September 2025, 16:18

Njaa yaanza kuwa tishio kwa wakazi wa Ndogowe

Wameongeza kuwa hali hiyo imewalazimu wanaume kuhama nyumbani na kwenda kutafuta fursa kwa ajili ya kukidhi uchumi wa familia. Na Victor Chigwada.Imeelezwa kuwa hali ya uhaba wa mvua katika msimu uliopita mwaka 2024/2025 imeaanza kuwaathiri wananchi wa kijiji cha Ndogowe…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger