Recent posts
13 January 2026, 13:27
Ukosefu wa elimu ya fedha changamoto kwa vijana
Picha ni mmoja wa wanufaika wa mkopo wa asilimia 10 kata ya Kizota jijini Dodoma. Picha na Dodoma FM. Lengo la mkopo wa asilimia 10 wa halmashauri ni kusaidia vikundi vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu, ili kukuza maendeleo…
12 January 2026, 15:13
Uchaguzi viongozi soko la Machinga na matumaini kedekede
Kufuatia kukamilika kwa zoezi la uandikishaji kuelekea uchaguzi wa viongozi wa soko hilo wafanyabiashara soko la wazi la Machinga Complex wamesema matarajio yao ni kuwa na viongozi wawajbikaji. Na Mariam Kasawa. Wafanyabiashara wa Soko la Wazi la Machinga wameeleza matumaini…
12 January 2026, 14:34
Maafisa usafirishaji Dodoma walalamikia mikataba kandamizi
Aidha wamebainisha kuwa kutokana na kukosa elimu ya kisheria ndo maana wanakumbana na mrorongo wa kukiukwa kwa makubaliano dhidi ya wamiliki wa pikipiki hizo na kujikuta wanashindwa kuzimiliki hizo pikipiki. Na Jerome John. Maafisa usafirishaji (boda boda) mkoani Dodoma wamelalamikia…
12 January 2026, 14:14
Tanzania yatinga kundi la juu la ukomavu wa TEHAMA duniani
Mafanikio haya ni mwendelezo wa safari ya Tanzania ya kupanda ngazi katika ukomavu wa TEHAMA serikalini, na kuendelea kujijengea taswira chanya kimataifa na kikanda. Na Mwandshi wetu. Tanzania imeendelea kung’ara kimataifa baada ya Benki ya Dunia (World Bank – WB)…
12 January 2026, 13:50
Uhamiaji Dodoma na ‘mjue jirani yako’
Sanjari na hayo, Rashidi Rafael amewahimiza wananchi kuwa waaminifu, wazalendo na wawazi katika kutoa taarifa kwa vyombo husika, akisisitiza kuwa taarifa hizo zitashughulikiwa kwa mujibu wa sheria ili kulinda usalama wa jamii na taifa kwa ujumla. Na Anwary Shabani. Jeshi…
12 January 2026, 13:26
Wakuu wa shule watakiwa kuepuka ucheleweshaji wa masomo
Kauli hiyo inatokana na Waraka wa Elimu Na. 05 wa mwaka 2025 na Waraka wa Elimu Na. 06 wa mwaka 2025, ambapo Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imeeleza rasmi ratiba ya muhula wa masomo kwa shule za awali, msingi…
9 January 2026, 16:48
Wazazi watakiwa kuwaandikisha watoto shule 2026
Aidha mwanasheria huyo ameeleza kuwa endapo mzazi atashindwa kufanya hivyo atachukuliwa hatua stahiki na atatakiwa kueleza sababu ni zipi zilizopelekea kushindwa kwake kutimiza wajibu wake. Na Mwandishi wetu. Wazazi na walezi nchini wametakiwa kuhakikisha wanawaandikisha watoto shule katika kuanza muhula…
9 January 2026, 16:24
Migodi ya Manyemba, Nayu yahitaji nishati ya umeme
Wachimbaji hao wamesema endapo watapatiwa huduma ya umeme katika machimbo hayo itasaidia kukuza uwekezaji na kurahisisha uchimbaji. Na Victor Chigwada. Wananchi wanaojishughulisha na uchimbaji wa madini aina ya dhahabu katika migodi ya Manyemba na Nayu Kata ya Dabalo Wilaya ya…
9 January 2026, 16:10
Shule ya msingi Dabalo yazidiwa na wanafunzi
Kwa sasa shule hiyo imezidiwa na wingi wa wanafunzi hali inayopelekea darasa moja kukaliwa na wanafunzi hadi 100. Na Victor Chigwada. Mrundikano wa wanafunzi katika shule ya msingi Dabalo, wilaya ya Chamwino jijini Dodoma umepelekea wanafunzi kushindwa kuwaelewa walimu wanapokuwa…
9 January 2026, 15:52
Kiteto tayari kwa bima ya afya kwa wote
Kikao hicho kimelenga kutoa elimu ya awali na kujenga uelewa kwa viongozi kuhusu mpango huo muhimu kwa ustawi wa wananchi. Na Kitana Hamis. Wilaya ya Kiteto imeonyesha utayari mkubwa katika utekelezaji wa Mpango wa Bima ya Afya kwa Wote baada…