Dodoma FM
Dodoma FM
22 September 2025, 15:00
Sehemu ya tatu ya igizo la sauti ya Tiba. Na Mariam Kasawa. Karibu katika sehemu ya tatu ya igizo la Sauti ya tiba linalo kujia kupitia Dodoma fm redio.
22 September 2025, 14:44
Ungana na Midwife Anitha Mganga ili uweze kujifunza mambo mbalimbali kuhusu Afya ya mama na mtoto. Na Mariam Kasawa.Wiki hii katika kipindi Cha ijali Afya yako kipengele Cha mama na mtoto tunaangazia Afya ya mama kabla hajabeba ujauzito.
22 September 2025, 14:20
Walimu kutoka mikoa minne tofauti hapa Tanzania, walieleza furaha yao juu ya kuhusika katika mkutano huo na kuelezea namna wanavyonufaika na programu hii. Na Seleman Kodima.Mkutano wa pili wa mwaka wa walezi wa Klabu za Msichana Amani umefanyika jijini Dodoma,…
20 September 2025, 09:47
Baraza la Habari Tanzania MCT September 18 mwakahuu 2025 limewakutanisha wadauwa Habari kwa lengo la kujenga uhusiano mzuri kwa taasisi za serikali na waandishi wa Habari ili kuwezesha kazi ya wanahabari katika kuhabarisha umma pamoja na kujadili masuala ya ulinzi…
18 September 2025, 16:49
Ikumbukwe kwa jukwaa la msichana cafe limewakutanisha wawakilishi kutoka mikoa minne ambayo ni Dar es salaam,Dodoma,Pwani na Tabora ambapo lengo kuu ni kujadili changamoto wanazokutanazo wawakilishi hao. Na Seleman Kodima. Utoaji wa elimu kwa jamii kuhusu haki za mtoto wa…
18 September 2025, 13:58
Waandishi wa habari wametakiwa kutambua kuwa wana haki ya kuripoti habari zote za uchaguzi bila ubaguzi wowote. Na Mariam Kasawa. Tume ya haki za binadamu na utawala bora imewataka waandishi wa habari kuzingatia maadili kuepuka lugha za matusi, takrima na…
18 September 2025, 13:22
Tunachokipinga ni mila zinazokandamiza na kuumiza baadhi ya makundi katika jamii kwani tunaelewa kwamba kuna mila na desturi ambazo zinazofaa na zinajenga misingi ya jamii husika na maadili ya kitanzania”amesema Neema. Na Mariam Matundu.Serikali inaendelea na juhudi za kuchochea maendeleo…
18 September 2025, 13:03
karibu Katika igizo la sauti ya Tiba sehemu yapili uweze kujifunza na kuburudika kupitia igizo hili.
16 September 2025, 15:33
Lengo kuu ni kuongeza uelewa na matumizi ya teknolojia ya Akili unde katika shughuli za maendeleo nchini. Na Seleman Kodima.Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) kimezindua rasmi mafunzo ya Akili Unde(AI), kwa kushirikisha wanafunzi pamoja na taasisi mbalimbali kutoka sekta binafsi…
16 September 2025, 15:08
Je, nini kilipelekea kijana huyu ajiingize katika matatizo ili tu kumsaidia mpenzi wake? Fuatana nasi katika vjimambo. Leo katika vijimambo tupo nchini Uganda ambapo tunakutana na kisa cha kijana mmoja kujifanya mwanamke ili amfanyie mpenzi wake mtihani.
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-