Recent posts
10 December 2025, 16:35
Mkuu wa Kitengo cha Taka Jiji la Dodoma afanya ukaguzi wa usafi Makulu
Picha ni Dickson Kimaro Mkuu wa Kitengo cha Usafi na Udhibiti wa taka ngumu katika ziara ya ukaguzi wa usafi wa mazingira Kata ya Dodoma Makulu. Picha na Ofisi ya Mkuu wa Wilaya. Ziara hiyo imelenga kutathmini hali ya usafi…
10 December 2025, 16:12
Tufaa latajwa kuwa zao la kimkakati Dodoma
Picha ni Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule wakati wa hafla fupi ya utiaji saini Mkataba wa ununuzi wa Miche ya Tufaa baina ya Mkoa wa Dodoma na Kampuni ya Tamtam Tanzania ya Mkoani Iringa katika Ukumbi wa…
10 December 2025, 15:53
Vijana waomba elimu ya matumizi sahihi ya mitandao ya kijamii
Ili kupunguza athari zitokanazo na matumizi mabaya ya mitandao ya kijamii wameshauri ni vyema elimu ikaotolewa ili kupunguza madhara yanayoweza kujitokeza. Picha na Mtandao. Asilimia 95% ya vijana wenye umri wa miaka 13–17 hutumia mitandao ya kijamii kama TikTok, Instagram,…
10 December 2025, 15:36
Machinga Complex yaendelea na shughuli, ulinzi waimarishwa
Picha ni soko la wazi la Machinga Complex jijini Dodoma. Picha na Dodoma FM. Hali ya ulinzi na usalama imeendelea kuimarishwa na vyombo vya usalama, huku wafanyabiashara wakijitokeza na kuendelea na shughuli zao kama kawaida. Na Lilian Leopold. Wafanyabiashara wa…
8 December 2025, 17:02
Viongozi wapya wataja vipaumbele kuboresha huduma kwa wananchi
Picha ni Mstahiki Meya wa Jiji la Dodoma, Mhe. Alimwoni Chaula wakati wa mkutano wa kwanza wa Baraza la Madiwani uliofanyika katika ukumbi wa Halmashauri. Picha na Ofisi ya Mkuu wa Wilaya. Ikumbukwe kuwa, katika uchaguzi uliofanyika hivi karibuni, Madiwani…
8 December 2025, 16:46
Ukosefu wa dawa kilio kwa wananchi wa Manchali A
Licha ya zahanati hiyo kuwa na wahudumu wa afya lakini bado kuna changamoto ya dawa. Picha na Mtandao. Aidha, wananchi wameitaka serikali kuweka utaratibu wa ufuatiliaji wa mahitaji ya dawa ili kuhakikisha zahanati hiyo inakuwa na akiba ya kutosha muda…
8 December 2025, 16:28
Uwajibikaji, ushirikiano, weledi vyatajwa kuwa nguzo muhimu kwa madiwani
Picha ni Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Mhe. Alhaji Jabir Shekimweri katika mkutano wa kwanza wa Baraza la Madiwani. Picha na Ofisi ya Mkuu wa Wilaya. Shekimweri amesisitiza umuhimu wa madiwani kushirikiana na watendaji wa halmashauri katika kutekeleza miradi ya…
5 December 2025, 16:11
Ukosefu wa maabara Igandu wananchi watibiwa bila vipimo
Aidha ameongeza kuwa hali hiyo inawalizimu kusafiri kilomita kadhaa kwenda vituo vya afya vya kata jirani ili kupata vipimo zaidi. Na Victor Chigwada.Imeelezwa kuwa kukosekana kwa maabara katika zahanati ya Igandu Wilaya ya Chamwino imepelekea baadhi ya wananchi kupewa matibabu…
5 December 2025, 15:49
Muungano waomba serikali kukarabati barabara
Kutokufanya ukarabati na uchongaji wa barabara ni kuwatesa wananchi ambao wanahitaji miundombinu iliyokamilika. Na Victor Chigwada.Diwani wa Kata ya Muungano Wilaya ya Chamwino ameiomba Serikali kuingilia kati changamoto ya miundombinu ya barabara inayo ikabili kata hiyoili kurahisha huduma za kijamii.Akizungumzia…
5 December 2025, 14:40
Serikali yatakiwa kusimamia ubunifu na uvumbuzi wa vijana
Muandishi wetu Benard Komba amefanya mahojiano na Mchambuzi wa masuala ya kisiasa na Jamii Ismail Mussa ameanza kumuuliza Je Ni vipi vipaumbele vikuu katika wizara hiyo ikiwa ni wizara mpya? Na Bennard Filbert.Serikali kupitia wizara ya vijana ofisi ya Rais…