Recent posts
10 October 2025, 15:16
Ulaji wa mayai unavyoimarisha afya, lishe bora
Kupitia siku hii, jamii inatakiwa kutambua umuhimu wa mayai, kwani kupitia ulaji wa mayai, familia zinaweza kupunguza utapiamlo na kuimarisha afya za watoto. Na Anwary Shaban. Siku hii, inayoadhimishwa kila mwaka mwezi Oktoba, inalenga kuongeza uelewa kuhusu nafasi ya yai…
10 October 2025, 11:33
Wafanyakazi viwanda vya chai wahakikishiwa kupata haki zao
Aidha, amebainisha kuwa serikali inaendelea na mchakato wa kuhakikisha kuwa viwanda hivyo vinarejea katika hali ya uzalishaji ili kuimarisha uchumi wa wananchi wa Rungwe na kuongeza tija katika sekta ya kilimo cha chai nchini. Na Selemani Kodima. Katibu Mkuu wa…
10 October 2025, 11:05
Senyamule ahamasisha ushiriki wa wazee katika uchaguzi
Picha ni Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamula katika kikao maalum kilichowakutanisha na wazee wa mkoa. Picha na Selemani Kodima. Kikao hicho kimehitimishwa kwa maazimio ya pamoja ya kuimarisha ushirikiano kati ya viongozi wa serikali na wazee katika…
9 October 2025, 17:17
Wanawake, vijana na wenye ulemavu wapata elimu ya mikopo
Picha ni Katibu Tawala wa Mkoa wa Dodoma, Dkt. Khatibu Kazungu, wakati akifungua mafunzo kwa vikundi , katika ukumbi wa Nala Hotel, Jijini Dodoma. Picha na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa.Dkt. Kazungu amesema mafunzo hayo yanalenga kuongeza ujuzi na maarifa…
9 October 2025, 15:42
Mradi wa zabibu Hombolo kuleta neema kwa wakulima
Picha ni Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule wakati wa ziara yake katika eneo la Hombolo. Picha na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa. Aidha, amesema mradi huo ni wa mfano wa kuigwa nchini, na utawasaidia wakulima wengine kujifunza…
9 October 2025, 12:32
Matumizi ya mtandao yazingatiwe kuongeza ubunifu
Matumizi sahihi ya mtandao yanachangia kukuza ubunifu na maarifa katika nyanja mbalimbali. Kupitia teknolojia hii, watu wanaweza kupata taarifa, kujifunza mbinu mpya, na kubuni mawazo yatakayochochea maendeleo ya kijamii na kiuchumi. Picha na Google. Bi. Lawi ameongeza kuwa mtu anaweza…
9 October 2025, 10:31
Kanda namba tatu yatoa elimu ya mapato Mbalawala
Picha ni baadhi wa wananchi wakiwa na mifugo yao katika Mnada wa Mbalawala. Picha na Lilian Leopold. Katika ziara hiyo, timu ya watumishi wa kanda ilishiriki katika shughuli za makusanyo ya ushuru wa mifugo, biashara ndogo ndogo, pamoja na utoaji…
8 October 2025, 17:21
Odilo yaishukuru DMG kwa udhamini baada ya kung’ara ligi ya kikapu
Picha ni wachezaji wa timu ya kikapu ya Odilo kutoka mkoa wa Dodoma. Picha na Hamis Makila. Wachezaji hao wameipongeza kampuni hiyo kwa kujitokeza kuunga mkono michezo mkoani Dodoma na wameomba kuendelea kudhaminiwa katika mashindano yajayo. Na Hamis Makila. Baada…
8 October 2025, 14:37
Mhandisi Aron awasisitiza watumishi kuboresha huduma kwa wananchi
Uzinduzi huo umeonesha dhamira ya DUWASA kuendelea kujenga mahusiano bora na wananchi, huku ikiboresha huduma kwa kuzingatia maoni na mahitaji ya wateja wake. Na Selemani Kodima. Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Dodoma (DUWASA), Mhandisi…
8 October 2025, 12:37
Wananchi Mzula, Chikanga waomba shule ya sekondari
Mwenyekiti wa Kijiji Cha Muungano Matonya Mtukamsihi amesema zimekuwepo hatua za wananchi kuanzisha ujenzi wa shule ya sekondari lakini hazijafanikiwa kukamilika. Na Victor Chigwada. Wananchi wa vitongoji Mzula na Chikanga Kata ya Muungano Wilaya ya Chamwino wameiomba serikali kutimiza azima…