Recent posts
14 October 2025, 14:33
Pambano la ngumi Kibaigwa laahirishwa, mabondia wachunguzwa afya
Picha ni baadhi ya mabondia watakaoshiriki katika pambano la ngumi Kibaigwa. Picha na Hamis Makila. Pambano la ngumi Kibaigwa limeahirishwa hadi Oktoba 25 huku mabondia wakipimwa afya zao kabla ya kushiriki. Na Hamis Makila. Pambano la ngumi lililopangwa Kibaigwa limeahirishwa…
14 October 2025, 13:46
Watoto wenye ulemavu wa utindio wa ubongo wakosa huduma muhimu
Watoto wenye ulemavu wa utindio wa ubongo wanahitaji msaada wa kitabibu, lishe, na mazoezi, huku wazazi wakipokea mwongozo kutoka serikalini na taasisi za kiraia. Na Anwary Shaban. Watoto wenye ulemavu wa utindio wa ubongo wanakabiliwa na changamoto za kupata huduma…
14 October 2025, 13:02
Kawawa yakosa umeme wa kutosheleza mahitaji ya wananchi
Kutokana na changamoto hiyo wananchi waiomba serikali kuongeza nguvu ya umeme ili kukidhi mahitaji ya jamii. Na Victor Chigwada. Wakazi wa Kitongoji cha Kawawa, Kijiji cha Chanhumba, wameiomba serikali kuongeza nguvu ya upatikanaji wa nishati ya umeme katika eneo hilo,…
14 October 2025, 12:36
Mvua zatatiza shughuli Idifu, wananchi waomba daraja
Hali hiyo imekuwa ikisababisha usumbufu mkubwa kwa wakulima na wafanyabiashara hasa msimu wa masika. Na Victor Chigwada. Wananchi wa vitongoji vya Mugu na Mjiha, vilivyopo Kata ya Idifu, Wilaya ya Chamwino, wameiomba serikali kujenga daraja katika eneo la Nyika, ambalo…
14 October 2025, 12:13
Changamoto ya maji Chanhumba karibu kutatuliwa
Hatua ya kufungwa kwa transifoma mpya katika kijiji cha Chanhumba italeta faraja kwa wananchi waliokuwa wakikabiliwa na upungufu wa maji. Na Victor Chigwada. Wananchi wa Kijiji cha Chanhumba, Kata ya Handali, Wilaya ya Chamwino, wameanza kupata matumaini juu ya utatuzi…
13 October 2025, 13:50
Dodoma Jiji FC yamtumia kocha wa muda kuongoza timu
Picha ni aliyekuwa Kocha Mkuu wa Dodoma jiji FC Vicent Mashami. Picha na ukurasa wa Dodoma Jiji FC Kwa mujibu wa kanuni za Ligi Kuu Tanzania Bara, kila timu inatakiwa kuwa na kocha mwenye leseni ya kiwango kinachokubalika na Shirikisho…
13 October 2025, 11:51
Wanasiasa wahimizwa kufanya kampeni kwa amani
Viongozi kisiasa watakiwa kutambua umuhimu wa kulinda amani ya nchi kwenye kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu. Picha na Mtandao. Rai hiyo imetolewa na Askofu Evance Chande alipokuwa akihubiri kwenye ibada iliyofanyika kanisani hapo lililopo Ipagala Mkoani Dodoma. Na Selemani…
13 October 2025, 11:22
Watanzania wahimizwa kulinda amani wakati wa uchaguzi
Picha ni Mwanasheria wa Baraza la Machifu Tanzania akizungumza na waandishi wa habari mkoani Dodoma. Picha na Selemani Kodima. Watanzania watakiwa kujihadhari na taarifa zisizo sahihi zinazotolewa kwenye mitandaoni ya kijamii zenye lengo la kupotosha umma kuelekea uchaguzi mkuu Oktoba…
13 October 2025, 10:45
Wagonjwa wa mtoto wa jicho wapatiwa matibabu Chamwino
Baadhi ya wananchi wamegundulika kuwa na tatizo la mtoto wa jicho, jambo lililosababisha changamoto za kuona kwa baadhi yao. Picha na Mtandao. Kupitia kambi ya huduma za macho, wagonjwa hao wamepatiwa matibabu ikiwemo upasuaji mdogo, hatua iliyowawezesha kurejesha uwezo wao…
13 October 2025, 10:06
Vyumba 16 vya madarasa vyaleta matumaini kwa wanafunzi wa Mjeloo
Hatua hii itasaidia kupunguza msongamano wa wanafunzi na kuimarisha mazingira ya kujifunzia. Picha na Mtandao. Kupitia mradi wa BOOST, serikali inaendelea kuboresha mazingira ya kujifunzia kwa kujenga na kukarabati vyumba vya madarasa nchi nzima. Na Victor Chigwada. Wananchi wa Kijiji…