Recent posts
19 December 2025, 17:46
Serikali yazindua mfumo uendelezaji biashara
Amesema muongozo huo utakuwa chachu muhimu katika kukuza biashara changa, ndogo na za kati. Na Mariam Matundu.Serikali imezindua Mfumo wa Muongozo wa Kitaifa wa Vituo vya Uendelezaji Biashara, hatua inayolenga kuimarisha mazingira ya biashara ndogo na za kati pamoja na…
19 December 2025, 15:56
Ujasiriamali watajwa kama nguzo muhimu katika kukuza uchumi
Ujasiriamali kama njia halali na yenye tija huku nidhamu ya kazi, ubunifu, na matumizi sahihi ya teknolojia vimetajwa kuwa miongoni mwa misingi muhimu.Picha na Un news. Serikali na wadau wa maendeleo wamehimizwa kuendelea kuweka mazingira wezeshi kwa wajasiriamali kwa kuboresha…
19 December 2025, 15:38
Wazazi Chidachi waomba kivuko wakihofia usalama wa watoto wao
Licha ya kuomba msaada kwa serikali juu ya kivuko hicho pia viongozi wa eneo hilo wanaendelea kuchukua hatua ili kutatua tatizo hilo. Na Farashuu Abdallah. Katika kuelekea msimu wa mvua mkoani Dodoma wakazi wa Mtaa wa Chidachi Kata ya Mkonze…
19 December 2025, 15:14
Serikali kuhakikisha watoto wanaoishi mazingira magumu wanafikiwa
Serikali ilichukua hatua ya haraka ya kufuatilia hali ya mtoto huyo baada ya kupata taarifa hizo kwa kumtafuta Bibi wa mtoto huyo katika hospitali ya Agha Khan jijini Dodoma. Na Mariam Matundu. Serikali imeendelea kusimamia na kuhakikisha kwamba watoto wote…
19 December 2025, 14:56
Vijana watakiwa kuwekeza katika kilimo
Ripoti ya Youth in Agriculture Strategy 2016-2021 inaonesha kuwa vijana wengi hukumbana na changamoto za ardhi, mtaji, teknolojia na mitazamo hasi kuhusu kilimo huku Serikali kupitia Programu ya Building a Better Tomorrow (BBT) inalenga kuwasaidia vijana kuingia kwenye kilimo biashara…
18 December 2025, 16:29
Wakuu wa wilaya, wakurugenzi watakiwa kuboresha miundombinu ya shule
Mhe Senyamule amesema halmashauri zote na mkoa kwa ujumla kiwango kwa ufaulu Dodoma kimepanda. Na Yussuph Hassan. Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Rosemary Senyamule ametoa shime kwa wakuu wa wilaya, wakurugenzi na wadau wengine katika sekta ya elimu kuendelea kuhakikisha…
18 December 2025, 16:10
Mahudhurio hafifu mkutano wa mtaa mwenyekiti avunja kikao
Mkutano ulioitishwa ulikuwa na ajenda muhimu kama vile ardhi hivyo ni vigumu kuendesha ajenda hizo muhimu na kuchangia na mawazo ya watu wachache. Na Victor Chigwada. Wananchi wa mtaa wa Ihumwa A wametakiwa kuhudhuria mikutano ya mtaa ili kushiriki maamuzi…
18 December 2025, 15:53
Wanawake watakiwa kueleza changamoto michakato ya kupata mkopo
Wanawake wa Jukwaa walioshiriki katika kikao hicho wamemshukuru Waziri Dkt. Gwajima kwa kuwapa nafasi ya kusikilizwa. Na Mariam Matundu. Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima, amewataka wanawake katika vikundi mbalimbali kueleza changamoto…
17 December 2025, 17:02
Izack Enterprises yaja na ofa msimu wa sikukuu
Na Bennard Komba. Kampuni inayojihusisha na uuzaji wa vifaa vya kielektroniki Izack Enterprises iliyopo Dodoma imekuja na ofa za msimu wa sikukuu lengo ni kuwa karibu na wateja katika huduma zao ambazo wamekuwa wakitoa. Muandishi wetu Benard Komba ametembelea katika…
17 December 2025, 16:47
WAZAMAM waadhimisha siku 16 za kupinga ukatili
Siku 16 za kupinga ukatili huadhimishwa kila mwaka kuanzia novemba 25 hadi desemba 10 ambapo chama hicho kimeamua kuadhimisha siku hiyo mwanzoni mwa jumahili desemba 15 mwaka huu. Na Mariam Matundu.Chama cha ushirika cha wakulima wa Zabibu na masoko (WAZAMAM)…