Recent posts
19 July 2023, 11:10 am
Jamii yatakiwa kushirikiana na wataalam kuandaa mipango ya matumizi bora ya ardh…
Itakumbukwa kuwa mpango wa matumizi bora ya ardhi kwa vijiji unaotekelezwa na mradi Uboreshaji wa Milki Salama za Ardhi, ni wa miaka ishirini (20) ijayo kuanzia mwaka huu 2023 mpaka 2043 ukiwa na lengo kuu la kusimamia matumizi ya ardhi…
18 July 2023, 6:30 pm
Wananchi waeleza umuhimu na faida za vikundi
Baada ya kuwepo kwa mfululizo wa elimu kwa wananchi juu ya umuhimu wa kujiunga katika vikundi mbalimbali vya kuweka na kukopa sasa wananchi wameelewa umuhimu wa vikundi hivyo . Na Aisha Shaban. Baadhi ya wananchi jijini Dodoma wameeleza juu ya…
18 July 2023, 5:05 pm
Zifahamu taratibu za kutoa maoni katika vituo vya Afya na hospitali ya Rufaa
Je unafahamu utaratibu wa kutoa maoni baada ya kupata huduma katika kituo cha Afya au hospitali endapo hukuridhishwa na huduma? Na Yussuph Hassan. Imeleezwa kuwa kila kituo cha afya kina utaratibu wa kupokea maoni yanayotolewa pindi mpokea huduma anapoenda kupatiwa…
18 July 2023, 2:39 pm
Wasimamizi wa ujenzi shule ya sekondari Msalato watakiwa kuongeza kasi
Mh. Senyamule ameonesha kuridhishwa na utekelezaji wa ujenzi huo ambapo ametoa rai kwa wasimamizi kuongeza kasi ili yakamilike kabla ya tarehe 30 Mwezi huu. Na Fred Cheti. Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule ameridhishwa na utekelezaji wa ujenzi…
18 July 2023, 12:52 pm
Wanawake Bahi watakiwa kusimamia maadili ya watoto
Mbunge wa Bahi amesema kipaumbele chake ni kuhakikisha afya ya mama na mtoto inakuwa salama. Na Bernad Magawa. Mbunge wa viti maalumu mkoa wa Dodoma Mheshimiwa Fatuma Taufiq amewaasa wanawake wilayani Bahi kusimamia maadili ya watoto ili kutokomeza viashiria vya…
14 July 2023, 7:33 pm
Wadau na wananchi watakiwa kushiriki katika utekelezaji mpango wa Ardhi
Mradi huu wa Uboreshaji usalama wa milki za ardhi unagharamiwa na Serikali kuu kwa kushirikiana na Benki ya Dunia na katika Halmashauri ya Wilaya ya chamwino Mradi huo utatekelezwa katika vijiji 60 vilivyopo wilayani humo Na Seleman Kodima. Mkuu wa…
14 July 2023, 6:45 pm
Hatua za kufuata kuepukana na ugonjwa wa saratani ya jicho
Na Yussuph Hassan. Ugonjwa wa saratani ya jicho kwa watoto ni ugonjwa ugonjwa wa kurithi ambapo Dkt Japhet Bright Bingwa wa Mgonjwa ya Macho kutoka Hospital ya rufaa ya Dodoma anazungumzia nini cha kufanya ili kuepuakana na ugonjwa huo.
14 July 2023, 5:32 pm
Serikali kuendelea kuweka mazingira wezeshi kwa wakandarasi wazawa
Wakandarasi wazalendo nchini wameiomba serikali kuwapatia miradi mikubwa ili kutoa ajira kwa watanzania wengi. Na Fred Cheti. Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule amesema kuwa serikali hasa ya Mkoa wa Dodoma itaendelea kuweka mazingira wezeshi kwa wakandarasi wazawa…
14 July 2023, 4:44 pm
Wakulima wa Jangwani Laikala walia kukosa mavuno ya alizeti
Zao la alizeti limekuwa maarufu kutokana na mafuta yake kupendwa na watu wengi kwa sababu hayachanganywi na kemikali yoyote na bei yake imekuwa ikipanda na kushuka lakini Mei 29 2023 Naibu Waziri wa Kilimo Anthony Mavunde alisema Serikali ipo mbioni…
13 July 2023, 5:58 pm
Fahamu matibabu ugonjwa wa saratani ya jicho
Dkt Japhet Bright Bingwa wa Mgonjwa ya Macho kutoka Hospital ya rufaa ya Dodoma anaeleza juu ya matibabu ya ugonjwa huo. Na Yussuph Hassan. Leo tunazungumzia utaratibu wa matibabu ya ugonjwa wa saratani ya jicho kulingana na dalili mbalimbali tukiungana…