Dodoma FM

Recent posts

24 December 2025, 14:57

Bidhaa zapanda bei kuelekea sikukuu za Krismasi na Mwaka Mpya

Wananchi wamesema kuwa hali hiyo inachangiwa na kuchelewa kwa Mvua pamoja na miundombinu mibovu ya barabara. Na Stephen NoelWANANCHI wa wilaya ya Mpwapwa wamelalamikia kupanda kwa bei za vyakula na bidhaa mbalimbali huku msimu wa sikukuu za Krismasi na Mwaka…

23 December 2025, 17:04

Tume ya utumishi wa umma yafafanua rufaa, malalamiko ya watumishi

Watumishi kupinga kutokulipwa stahili zao na waajiri, ikiwemo mishahara, stahili za uhamisho pamoja na posho mbalimbali za kisheria zinazotokana na utekelezaji wa majukumu yao. Na Anwary Shaban. Tume ya Utumishi wa Umma imetoa ufafanuzi kuhusu rufaa na malalamiko yaliyowasilishwa na…

23 December 2025, 16:47

VETA yaeleza mchango wake kwa wanafunzi wenye ulemavu

Wameweza kukuza ushiriki wa wanafunzi wenye ulemavu kwa kuwapa kipaumbele . Na Farashuu Abdallah. Katika jitihada za kuwezesha kundi la watu wenye mahitaji maalum kwenye fursa mbalimbali za kiuchumi chuo cha ufundi Veta Jijini Dodoma kimeeleza mchango wake kwa wanafunzi…

23 December 2025, 16:33

Mtindo wa maisha, mabadiliko hali ya hewa chanzo magonjwa yasiyoambukiza

Wananchi nao wametakiwa kushiriki kikamilifu katika kulinda mazingira kwa kupunguza uchafuzi, kutumia nishati safi, kuhifadhi vyanzo vya maji, pamoja na kuzingatia mitindo ya maisha yenye kuimarisha afya kama lishe bora na mazoezi ya mara kwa mara. Na Daniel Njau Imeelezwa…

23 December 2025, 16:18

Wananchi Mlebe waiangukia serikali ujenzi nyumba za wahudumu wa afya

Kwa mujibu wa sera ya afya ya mwaka 2007 Serikali Katika kuhakikisha kuwa wananchi wana afya bora, Serikali imeendelea kushirikiana na wadau mbalimbali kutoa huduma za afya kwa kuzingatia sera na miongozo iliyopo. Na Victor Chigwada. Wananchi wa kijiji cha…

23 December 2025, 15:47

PPRA yawanoa wanahabari matumizi mfumo wa NEST, ununuzi wa umma

Katika semina hiyo, waandishi wa habari walifahamishwa kuwa Serikali inaruhusiwa kununua bidhaa tatu pekee zilizotumika kwa manufaa ya umma,treni,meli na ndege. Na Mariam Kasawa.Meneja Mafunzo wa Mamlaka ya PPRA, Gilbert Kamnde, amewafafanulia waandishi wa habari kuhusu utendaji kazi wa mamlaka…

22 December 2025, 18:07

Wananchi waitaka serikali kuharakisha mradi wa maji Mloda

Diwani wa Kata ya Mlowa Barabarani Bw.Anjero Lucas amekiri uwepo mradi wa kisima Cha maji ambacho kimekamilika lakini bado wanasubiri usambazaji wa mabomba. Na Victor Chigwada. Wananchi wa Kijiji Cha Mloda Kata ya Mlowa Barabarani Wilaya ya Chamwino wameitaka Serikali…

22 December 2025, 17:46

Kanda namba 6 yatakiwa kuhakikisha Desemba 6 miradi imekamilika

Pia shule ya Msingi Mnadani ilipokea kiasi cha shillingi Milioni 90.4 kwaajili ya ujenzi wa madarasa matatu na matundu 12 ya vyoo. Na Mariam Kasawa. Afisa Tarafa Dodoma Mjini, Zainab Mabuye aliwataka viongozi Kanda Namba Sita kuhakikisha miradi yote inayotakiwa…

22 December 2025, 15:33

Wakulima Dodoma waomba utekelezaji wa haraka fursa za COP30

Wakulima wanaamini kuwa utekelezaji wa haraka wa miradi hiyo utaongeza uzalishaji wa chakula na kupunguza utegemezi wa misaada ya dharura. Na Mariam Kasawa. Wakati Tanzania inatarajia kupata kati ya Dola milioni 5 hadi milioni 20 kupitia mfuko wa upotevu na…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger