Dodoma FM

Recent posts

24 October 2025, 15:16

Sauti ya tiba sehemu ya nane

Karibu uendelee kusikiliza mfululizo wa igizo la sauti ya tiba kupitia Dodoma fm na leo tupo sehemu ya nane karibu uweze kuburudika na kujifunza mambo mbalimbali.

24 October 2025, 15:00

Mitandao ya kijamii nyenzo muhimu katika kujifunza mambo mapya

Mitandao ya kijamii wameweza imewezesha kujifunza mambo mbalimbali, kupata taarifa na kufanya biashara kupitia mitandaoni. Na Anwary Shaban.Wananchi wametakiwa kutumia mitandao ya kijamii kama fursa ya kukuza uchumi, kuongeza maarifa, na kuboresha shughuli zao za kila siku badala ya kuitumia…

24 October 2025, 12:11

Mitazamo hasi kikwazo kwa wanawake katika uchaguzi

Vikwazo vya kijamii na kifamilia,Familia na jamii huweza kuwa kizuizi kwa wanawake kwa kuwataka waendelee na majukumu ya nyumbani badala ya kujihusisha na siasa.Wanawake hupewa majukumu ya malezi na kazi za nyumbani, jambo linalopunguza muda na rasilimali za kushiriki kampeni.…

23 October 2025, 17:07

Kukatisha safari za daladala kabla ya kufika mwisho ni kosa kisheria

Sajenti Ester amesema kitendo cha madereva kukatisha ruti bila sababu za msingi ni ukiukwaji wa sheria za usafirishaji wa abiria. Imeelezwa kuwa kitendo cha baadhi ya madereva wa usafiri wa daladala Jijini Dodoma kukatisha safari zao kabla ya kufika mwisho…

23 October 2025, 16:06

Hofu ya kukosa daraja yawakumba wakazi wa majeleko

Changamoto hiyo imekuwa ikiathiri shughuli za wananchi hao kutokana na maji hayo kudumu kwa muda bila ya kupungua. Na Victor Chigwada. Kuelekea katika msimu wa masika, wananchi wa kijiji cha Majeleko Wilayani Chamwino mkoani Dodoma wameonyesha kuwa na hofu kutokana…

23 October 2025, 15:03

Jela maisha kwa kumbaka mtoto wa miaka mitatu

katika utetezi wake Mtumiwa huyo anasema anasingiziwa na baba wa mtoto huyo kwa kuwa anaugomvi nae. Na Kitana Hamis.Kijana mmoja mwenye umri wa miaka 20 alie fahamika kwa jina la Athuman Hatibu mkazi wa Laiseri Wilayani Kiteto amehukumiwa kifungo cha…

22 October 2025, 17:02

Mwema akemea imani za kishirikina wanafunzi wa kike Kiteto

Wanafuzi hao wamechukuliwa kwajili ya uchunguzi. Na Kitana Hamis.Mkuu wa wilaya ya Kiteto Remidius Mwema amekemea imani za kishirikina baadhi ya Wanafunzi wa kike kuanguka shuleni nakupoteza fahamu. Mkuu wa wilaya ya kiteto alilazimika kufika Shuleni hapo na kuthibitisha kutokea…

22 October 2025, 16:41

Sauti ya tiba sehemu ya 7

Katika sehemu ya saba ya igizo la sauti ya tiba tunaona bwana cornelius akiwa ameanza ujenzi wa jengo jipya katika eneo analo ishi je jrngo hili ni la nini, twende ufuatane nasi katika igizo hili .

22 October 2025, 16:18

Sababu za kisaikolojia zatajwa tatizo la afya ya akili

Jamii inapaswa kuondoa unyanyapaa dhidi ya watu wanaopitia changamoto za afya ya akili na badala yake, kuwasaidia kwa upendo na msaada wa kitaalamu. Na Peter Nnunduma.Sababu za kisaikolojia kama vile msongo wa mawazo, kupoteza mtu wa karibu na ajali vimetajwa…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger