Recent posts
24 October 2025, 15:16
Sauti ya tiba sehemu ya nane
Karibu uendelee kusikiliza mfululizo wa igizo la sauti ya tiba kupitia Dodoma fm na leo tupo sehemu ya nane karibu uweze kuburudika na kujifunza mambo mbalimbali.
24 October 2025, 15:00
Mitandao ya kijamii nyenzo muhimu katika kujifunza mambo mapya
Mitandao ya kijamii wameweza imewezesha kujifunza mambo mbalimbali, kupata taarifa na kufanya biashara kupitia mitandaoni. Na Anwary Shaban.Wananchi wametakiwa kutumia mitandao ya kijamii kama fursa ya kukuza uchumi, kuongeza maarifa, na kuboresha shughuli zao za kila siku badala ya kuitumia…
24 October 2025, 12:11
Mitazamo hasi kikwazo kwa wanawake katika uchaguzi
Vikwazo vya kijamii na kifamilia,Familia na jamii huweza kuwa kizuizi kwa wanawake kwa kuwataka waendelee na majukumu ya nyumbani badala ya kujihusisha na siasa.Wanawake hupewa majukumu ya malezi na kazi za nyumbani, jambo linalopunguza muda na rasilimali za kushiriki kampeni.…
23 October 2025, 17:07
Kukatisha safari za daladala kabla ya kufika mwisho ni kosa kisheria
Sajenti Ester amesema kitendo cha madereva kukatisha ruti bila sababu za msingi ni ukiukwaji wa sheria za usafirishaji wa abiria. Imeelezwa kuwa kitendo cha baadhi ya madereva wa usafiri wa daladala Jijini Dodoma kukatisha safari zao kabla ya kufika mwisho…
23 October 2025, 16:06
Hofu ya kukosa daraja yawakumba wakazi wa majeleko
Changamoto hiyo imekuwa ikiathiri shughuli za wananchi hao kutokana na maji hayo kudumu kwa muda bila ya kupungua. Na Victor Chigwada. Kuelekea katika msimu wa masika, wananchi wa kijiji cha Majeleko Wilayani Chamwino mkoani Dodoma wameonyesha kuwa na hofu kutokana…
23 October 2025, 15:38
Muendelezo wa igizo la sauti ya tiba
Karibu katika igizo la sauti ya tiba uendelee kuburudika na kujifunza kupitia igizo linalo kujia kupitia Dodoma fm radio.
23 October 2025, 15:03
Jela maisha kwa kumbaka mtoto wa miaka mitatu
katika utetezi wake Mtumiwa huyo anasema anasingiziwa na baba wa mtoto huyo kwa kuwa anaugomvi nae. Na Kitana Hamis.Kijana mmoja mwenye umri wa miaka 20 alie fahamika kwa jina la Athuman Hatibu mkazi wa Laiseri Wilayani Kiteto amehukumiwa kifungo cha…
22 October 2025, 17:02
Mwema akemea imani za kishirikina wanafunzi wa kike Kiteto
Wanafuzi hao wamechukuliwa kwajili ya uchunguzi. Na Kitana Hamis.Mkuu wa wilaya ya Kiteto Remidius Mwema amekemea imani za kishirikina baadhi ya Wanafunzi wa kike kuanguka shuleni nakupoteza fahamu. Mkuu wa wilaya ya kiteto alilazimika kufika Shuleni hapo na kuthibitisha kutokea…
22 October 2025, 16:41
Sauti ya tiba sehemu ya 7
Katika sehemu ya saba ya igizo la sauti ya tiba tunaona bwana cornelius akiwa ameanza ujenzi wa jengo jipya katika eneo analo ishi je jrngo hili ni la nini, twende ufuatane nasi katika igizo hili .
22 October 2025, 16:18
Sababu za kisaikolojia zatajwa tatizo la afya ya akili
Jamii inapaswa kuondoa unyanyapaa dhidi ya watu wanaopitia changamoto za afya ya akili na badala yake, kuwasaidia kwa upendo na msaada wa kitaalamu. Na Peter Nnunduma.Sababu za kisaikolojia kama vile msongo wa mawazo, kupoteza mtu wa karibu na ajali vimetajwa…