Recent posts
7 November 2025, 15:50
Mnoko yaiomba serikali kuwasogezea huduma ya umeme
zaidi ya vitongoji 7 kati ya 10 katika Kijiji cha Mpwayungu vina uhitaji na nishati ya umeme Na Victor Chigwada. Wakazi wa kitongoji cha Mnoho Kijiji Cha Mpwayungu jijini Dodoma wameiomba serikali kuwapelekea huduma ya nishati ya umeme itakayosaidia katika…
7 November 2025, 14:41
Wakandarasi watakiwa kuharakisha ujenzi soko la Majengo
Ukarabati wa soko hilo unatekelezwa kupitia mradi wa Tactics ambapo takribani wafanyabiashara 1,795 watanufaika na soko hili. Na Lilian Leopold. Mkuu wa mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule amewataka wakandarasi wanaokarabati soko la Majengo jijini Dodoma kuhakikisha mradio huo unakamilika…
6 November 2025, 15:47
Chanhumba yaomba huduma ya nishati safi
Serikali imedhamiria kubadili matumizi kutoka kwenye kuni, mkaa na nishati zisizosafi, kwenda kwenye matumizi ya nishati safi ya kupikia ambapo serikali imesema inategemea ifikapo mwaka 2034 angalau takriban 80% ya kaya za Tanzania zitakuwa zinatumia nishati safi ya kupikia. Na Victor…
6 November 2025, 14:59
Wazazi watakiwa kufanya maandalizi ya shule mapema kwa watoto
Wazazi na walezi wanapaswa kutambua kuwa elimu ni muhimu kwa mtoto, kwani itamsaidia katika kuwa na uwezo wa kujitambua na kupamabana na changamoto za maisha hivyo ni jukumu la mzazi kuhakikisha mtoto anapata haki yake ya elimu. Na Farashuu Abdallah.…
6 November 2025, 13:44
Watoto wa zaidi ya miaka mitano wakatiwe tiketi wanapo safiri
Baadhi ya abiria kuwa hukumbana na kero ya kuombwa wasaidie kubeba watoto pindi wanapo kuwa safarini kutokana na mzazi kukata siti moja huku watoto alio nao wakikosa mahali pa kukaa. Na Anwary shaban.Abiria wanao tumia huduma ya usafiri wa mabasi…
6 November 2025, 09:44
Timu za kikapu Dodoma zatakiwa kujipanga kufanya vizuri
Na Hamisi Makila Ligi ya mpira wa kikapu inatarajiwa kufanyika kuanzia Novemba 26 hadi Decemba 6 2025 mkoani Dodoma ikihusisha timu 16 za wanaume na timu 12 za wanawake. Mchambuzi wa Mpira wa Kikapu Bon Charles amezitaka timu hizo kujiandaa…
5 November 2025, 16:35
Johari aapishwa kuwa mwanasheria mkuu wa serikali
Johari ameapishwa baada ya kuteuliwa na Rais Samia Novemba 3, 2025, saa chache baada ya Samia kuapishwa kuwa Rais wa Tanzania. Na Yussuph HassanRais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemwapisha Hamza Johari kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG). Johari ameapishwa…
5 November 2025, 16:17
Kutokujituma kunaweza kupelekea tatizo la afya ya akili
Aidha Mtahu ameshauri vijana kujituma katika umri wao kwani wakati huo hukutana na watu wengi ambao wangeweza kuwasaidia kutokana na nguvu kazi waliyo kuwanayo. Na Farashuu Abdalah. Vijana wametakiwa kufanya kazi kwa bidii ili kuepuka athari zinazoweza kujitokeza hapo baadae…
5 November 2025, 15:37
Ukosefu wa maadili ya dini kwa vijana ni hatari kwa Taifa
Wazazi wana jukumu la kuwapeleka watoto wao kuhudhuria madarasa ya dini ili kujenga jamii yenye hofu ya Mungu. Na Victor Chigwada. Imeelezwa kuwa kukosekana kwa maadili ya kidini kwa watoto na vijana kunaweza kuhatarisha usalama wa jamii na hata Taifa…
4 November 2025, 15:53
Singida blac stars yaelezea maandalizi baada ya kupangwa kundi c
Afisa habari wa kikosi cha Singida black stars Hussen Masanza ameelezea maandalizi ya kikosi hicho baada ya kupangwa kundi c katika hatua ya makundi kwenye shirikisho la mpira barani Afika.