Recent posts
3 August 2023, 2:08 pm
Vijana watakiwa kujikita katika utunzaji mazingira
Na Fred Cheti. Wito umetolewa kwa vijana kushiriki katika utunzaji wa mazingira ikiwemo kushiriki katika kampeni mbalimbali za upandaji miti ili kusaidia kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi. Rai hiyo imetolewa na Mkurugenzi wa Taasisi ya Maendeleo ya vijana Mkoa…
2 August 2023, 4:27 pm
Kongamano la maendeleo ya vijana kuanza Agosti 3
Kongamano hilo linatarajiwa kufanyika kwa siku mbili tarehe 3 na 4 ya mwezi Agosti likiwa na lengo la kuwakutanisha vijana kutoka maeneo mbalimbali nchini . Na Fred Cheti. Serikali kupitia Wizara ya Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira…
2 August 2023, 3:43 pm
Wakazi wa Fatina walalamika maji taka kutiririka mtaani
Hivi karibuni kumekuwa na changamoto ya kuzibuka kwa chemba za maji taka na kutiririsha maji katika mtaa wa Fatina, ambapo kwa mujibu wakazi wa eneo hilo chemba hizo huchukuwa takribani hadi muda wa siku 10 katika kuzibuliwa. Na Mariam Msagati.…
2 August 2023, 2:59 pm
Mlimwa walalamikia upungufu wa huduma ya maji
Ngulelo amesema kuwa hali hiyo inawalazimu kutumia maji ambayo si safi na salama na kuiomba Serikali kuingili kati suala hilo. Na Victor Chigwada. Wananchi wa kijiji cha Mlimwa wilayani Chamwino wamelalamikia changamoto ya upungufu wa huduma ya maji hali inayowapa…
2 August 2023, 1:57 pm
Ujenzi bweni la wasichana Mpendo wafikia hatua za mwisho
Ujenzi huo upo hatua za mwisho na mwezi huu wa nane wanafunzi wa kidato cha kwanza hadi cha nne wataanza kulitumia. Na Mindi Joseph. Ujenzi wa bweni katika shule ya sekondari Mpendo kata ya Mpendo wilayani Chemba umetajwa kutatua changamoto…
2 August 2023, 1:36 pm
Vijana sokoni Majengo waeleza kunufaika na ubebaji mizigo
Wanasema kazi hiyo inawasaidia kujiingizia kipato chao cha kila siku na kuwasaidia kujikwamua kiuchumi. Na Aisha Shaban. Baadhi ya vijana wanaojishughulisha na shughuli ya kubeba mizigo kwa kutumia mikokoteni wameeleza namna shughuli hiyo inavyowasaidia kuendesha shughuli zao na kujikwamua kiuchumi.…
1 August 2023, 4:52 pm
Wadau watakiwa kufahamu mwongozo wa taifa wa wajibu wa wazazi, walezi
Mwongozo huo wa Malezi Bora umetokana na utafiti uliofanywa na serikali kwa kushirikiana na Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto duniani UNICEF, ambapo nguzo kuu tatu zitazingatiwa kwenye mwongozo huo za Kujali, Kulinda na Kuwasiliana na mtoto. Na…
1 August 2023, 4:17 pm
Mwananchi Mpendo anusuru vitongoji vitatu adha ya maji
Waswahili wanasema penye nia pana njia hivyo ndivyo Leonard Daudi amesaidia kutatua changamoto kubwa ya maji katika eneo lake. Na Mindi Joseph. Mwananchi mmoja katika kijiji cha Hamia kata ya Mpendo wilayani Chemba mkoani Dodoma amejitolea kuchimba kisima cha maji na…
1 August 2023, 3:29 pm
Uwekezaji wa bandari ni chanzo cha mapato ya nchi
Maaskofu walioapishwa ni pamoja na Askofu Simon Maloda wa Dayosisi ya Dodoma, Askofu Leoanard Matia Mbole wa Dayosisi Bahi. Na Pius Jayunga. Uwekezaji wa bandari ya Dar es Salaam umetajwa kuwa chanzo mojawapo cha ukusanyaji wa mapato ya nchi ili…
1 August 2023, 2:51 pm
Wadau waitaka serikali kudhibiti usafirishaji wa binadamu
Asilimia 50 ya watu wanaosafirishwa wanatumikishwa kingono ilhali asilimia 38 ni utumikishwaji kwenye ajira mbalimbali. Na Fred Cheti. Wadau mbalimbali wa masuala ya kupinga usafirishaji haramu wa binadamu wameitaka serikali kuweka mikakati madhubuti ya kudhibiti usafirishaji wa binadamu hapa nchini.…