Recent posts
12 November 2025, 12:46
Daladala zipakie na kushusha abiria katika vituo rasmi
Abiria pia wanapaswa kuwa waelewa na waache kuomba kushushwa vituo visivyo rasmi. Na Farashuu Abdallah.Madereva wa daladala wametakiwa kupakia na kushusha abiria katika vituo rasmi ili kuepusha madhara yanayoweza kutokea. Hayo yamesemwa na Afisa Mfawidhi kutoka mamlaka ya usafirishaji Mkoa…
12 November 2025, 12:22
Mkutano mkuu wa waamuzi Dodoma kufanyika Novemba 15
Mkutano huo ulitakiwa kufanyika mapema lakini uliahirishwa kutokana na hali ya usalama ambapo sasa utafanyika desemba 15 jijini Dodoma. Na Hamis Makila.Mkutano mkuu wa uchaguzi wa chama cha uamuzi jijini Dodoma unatarajiwa kufanyika Desemba 15 20225 . Mkutano huo ulitakiwa…
12 November 2025, 11:59
Watembea kwa miguu watakiwa kuzingatia sheria na alama za barabarani
Hii ni kutokana na baadhi ya watembea kwa miguu kushindwa kutambua sheria za alama za barabarani jambo ambalo upelekea ajali za mara kwa mara. Na Anwary Shaban.Watumiaji wa barabara hususani watembea kwa miguu wameaswa kuzingatia sheria na alama za barabarani…
10 November 2025, 16:20
Gunners na tumaini la kuibuka na alama tatu
Kocha mkuu wa timu hiyo ya Gunners Juma Ikaba anasema wana imani kubwa wataibuka na alama tatu katika mchezo unao fuata wa ligi hiyo dhidi ya mchezo wao na Geita gold.
10 November 2025, 16:00
Ufahamu uhusiano kati ya afya ya kinywa na ubongo
Mtu mwenye magonjwa yasiyoambukiza anaweza pia kuathiriwa na magonjwa ya kuambukiza. Na Seleman Kodima.Mratibu wa Magonjwa Yasiyoambukiza mkoani Dodoma, Dkt. Missana Yango, amesema kuna uhusiano mkubwa kati ya afya ya kinywa na ubongo, akibainisha kuwa matatizo ya kinywa yanaweza kuathiri…
10 November 2025, 15:36
Mmomonyoko wa maadili wapelekea vijana kutoaminika
Kwa mujibu wa tafiti zilizotajwa, mitandao ya kijamii inaonekana kuwa na athari kubwa zaidi kwa vijana walioko katika kipindi cha kubalehe, ikilinganishwa na muziki, filamu, au hata marafiki wa karibu. Na Farashuu Abdallah.Jamii imetakiwa kuwekeza kwa dhati katika malezi ya…
10 November 2025, 13:20
Safari ya binti Fanikiwa kutoka katika matumizi ya Skanka
Awali, nilikutana na Fanikiwa na kukuandalia taarifa hii fupi, ikieleza jinsi mdogo wake alivyomsaidia kuachana na matumizi hayo na kuanza upya maisha yenye matumaini. Na Seleman Kodima.Fanikiwa Subukheri—sio Jina lake halisi —ni kijana mdogo aliyewahi kutumbukia katika matumizi ya dawa…
10 November 2025, 12:46
Ukusanyaji wa Plastiki unavyozidi kuwa mkombozi kwa baadhi ya familia Dodoma
Kupitia shughuli ya ukusanyaji wa plastiki, kazi hii imekuwa chanzo cha ajira na kipato cha familia. Na Lilian Leopold.Kile ambacho wengi hukiona kama taka, kwa wengine ni njia ya kujipatia ridhiki, jijini Dodoma shughuli ya ukusanyaji wa plastiki imekuwa mkombozi…
7 November 2025, 17:00
Fountain gate princess yajinoa kuelekea ligi kuu wanawake
Hamis Makila amezungumza na kocha mkuu wa kikosi hicho Given ambapo ameelezea maandalizi ya kikosi hicho.
7 November 2025, 16:34
Migogoro ya familia inavyoathiri malezi ya watoto
jamii imetakiwa kuacha migogoro na kuzingatia maslahi ya watoto katika familia. Na Anwary Shaban. Imeelezwa kuwa migogoro na ugomvi kati ya baba na mama ndani ya familia ni miongoni mwa vichocheo vinavyochangia katika malezi mabaya ya watoto. Kauli hiyo imetolewa…