Dodoma FM

Recent posts

8 August 2023, 4:46 pm

Wafanyabiashara wa kokoto waomba bei elekezi

Ni muhimu kuwepo kwa upangaji na usimamizi wa bei elekezi katika shughuli mbalimbali za kibiashara, ili kuepusha migongano kati ya wafanyabiashara kutokana na kujipangia bei zao wenyewe na ushawishi binafsi kutoka kwa wateja. Na Neema Shirima. Baadhi ya Wafanyabiashara wa…

8 August 2023, 3:22 pm

Wananchi waelimishwa utunzaji wa vyanzo vyanzo vya maji

Licha ya kuwepo kwa Sheria za Usimamizi wa vyanzo vya maji bado umekuwepo uharibifu wa vyanzo vya maji kutokana na kuwepo kwa shughuli za kibinadamu zinazofanyika pasipo kuzingatia Sheria zinazosimamia mazingira na rasilimali maji. Na Mindi Joseph. Mamlaka ya Maji…

8 August 2023, 2:55 pm

Wakazi wa Mtube waeleza kunufaika na Bwawa

Nchi yetu imejaliwa kuwa na vyanzo vya maji vya aina mbalimbali ikiwemo Mito na Maziwa, licha ya kwamba Mkoa wa Dodoma unatajwa kuwa Kame lakini umejaaliwa kuwa na Mabwawa ambayo yanatumika katika Kilimo na Mwenye macho haambiwi Tazama. Na Mindi…

7 August 2023, 5:29 pm

Vijana waomba utaratibu mzuri upatikanaji wa fursa

Tarehe 12 Agost ni maadhimisho ya siku ya vijana duniani ambapo pia huadhimishwa kwa kufanya makongamano mbalimbali yenye lengo la kujadili fursa na changamoto zinazowakabili vijana katika maeneo yao. Na Thadei Tesha. Baadhi ya vijana jijini Dodoma wameiomba serikali kuweka…

7 August 2023, 2:52 pm

Wakulima wapongeza mfumo wa M-KULIMA

M-Kulima ni mfumo unaolenga sekta ya kilimo na unatumika mahali popote kwa mkulima kupokea malipo yake kwa wakati na unarahisisha shughuli za Kilimo. Na Mindi Joseph. Wakulima wa zao la Zabibu Mkoani Dodoma wamepongeza uwepo wa mfumo wa M-kulima kwani…

7 August 2023, 2:20 pm

Jinsi jamii inavyopambana na ukatili wa kingono dhidi ya watoto

Familia zinaaswa kuacha kumaliza kesi hizi kifamilia kwani inakuwa haisadii mtu anae fanya vitendo hivi anaweza kufanya kwa mtu mwingine. Na Leonard Mwacha. Jamii inashauriwa kuacha kufumbia macho ukatili dhidi ya watoto hasa ukatili wa kingono kwani umekuwa ukiwaathiri zaidi…

7 August 2023, 1:28 pm

Utandawazi, mitindo ya maisha vyatajwa kuathiri unyonyeshaji

Maadhimisho ya wiki ya unyonyeshaji yamezinduliwa Agosti Mosi mwaka huu na kilele chake ni Agosti 08. Na Mariam Msagati. Baadhi ya wananchi jijini Dodoma wameelezea kuwepo kwa sababu mbalimbali zinazochangia baadhi yao kushindwa kunyonyesha watoto ipasavyo. Wakizungumza na Dodoma TV…

7 August 2023, 12:34 pm

Hali ya upatikanaji wa maji Dodoma kubadilika ifikapo Septemba

Mradi wa maji Nzuguni unatarajiwa kuongeza uzalishaji wa maji kutoka wastani wa lita mlioni 68.7 mpaka milioni 76.3 kwa siku sawa na ongezeko la 11.4% ya uzalishaji wa sasa, na litapunguza mahitaji kwa 11.7% ya mahitaji ya sasa ya lita…

3 August 2023, 4:43 pm

Ukeketaji na ndoa za utotoni kwenye jamii

Utandawazi unatajwa kuwa na ukombozi wa kupunguza vitendo hivi vya ukeketaji na ndoa za utotoni kwenye jamii. Na Mariam Matundu. Mariam matundu amezungumza na Bwana Stanley Nyambuya yeye alikuwa anafanya shughuli ya kukeketa mabinti hapo zamani lakini kwa sasa ameacha.

3 August 2023, 4:19 pm

Zifahamu shughuli za kiuchumi zinazochangia uharibifu bwawa la Hombolo

Serikali imekuwa ikiwasisitiza wavuvi kuwa na leseni lakini watu wengi wa eneo hili hawafuati utaratibu ili kutunza samaki wanao patikana katika bwawa hilo. Na Yussuph Hassan. Shughuli za kiuchumi zimekuwa zikiendeshwa kwa muda mrefu katika bwawa hili lakini shughuli za…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger