Recent posts
19 November 2025, 16:35
Mashindano ya bao la kiswahili na Draft yatamatika KDC Chang’ombe
Mashindano hayo yametamatika katika viwanja vya KDC Chang’ombe jijini Dodoma. Mashindano ya Draft na bao la kiswahihi yametamatika katika viwanja vya KDC Chang’ombe huku timu mbalimbali zikiibuka na ushindi. Akiongea na Taswira ya habari Anthony Kalago mratibu wa mashindano hayo…
19 November 2025, 16:16
WHO yathibitisha kupungua kwa magonjwa ya mlipuko
WHO inathibisha kupungua kwa kiwango kikubwa kwa magonjwa ya mlipuko. Na Anwary Shaban.Shirika la Afya Duniani – WHO – limethibitisha kupungua kwa kiwango kikubwa kwa magonjwa ya mlipuko duniani. Hatua hii inachukuliwa kuwa ushindi mkubwa katika mapambano dhidi ya maradhi…
19 November 2025, 15:50
Vijana watakiwa kujiajiri ili kujikwamua kimaisha
Hata hivyo, wapiga picha hao wameeleza kuwa wanakabiliwa na changamoto kadhaa, ikiwemo kutolewa maneno ya kashfa na baadhi ya wateja pindi wanapojaribu kuonesha ubunifu wao kwa lengo la kuwashawishi kupata huduma. Na Farashuu Abdallah.Katika jitihada za kupambana na changamoto ya…
19 November 2025, 14:16
Uchambuzi baraza jipya la mawaziri
Mwandishi wetu Selemani Kodima ametuandalia Uchambuzi mfupi Na Seleman Kodima.Baada ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan kuwaapisha mawaziri 27 na manaibu 29 wa baraza jipya la Mawaziri ,ipo mitazamo tofauti juu ya Baraza hilo.…
19 November 2025, 13:55
Baba ruksa kumwona mtoto hata kama hatoi matunzo
Wakili Jacquiline amesisitiza endapo baba anakataa au anashindwa kutoa matunzo, mama anaweza kufika ofisi za Ustawi wa Jamii au kufungua kesi mahakamani, ambapo mahakama inaweza kuamuru baba kugharamia chakula, elimu, afya na makazi ya mtoto kulingana na kipato chake. Na…
17 November 2025, 16:07
Watakiwa kutumia fursa za kiafya kujikinga na magonjwa yasiyoambukiza
Wito huo umetolewa na Bi. Florian Kazi, mwakilishi wa shirika la External International kutoka China, linalojihusisha na utoaji tiba kwa magonjwa sugu bila upasuaji, katika semina fupi iliyofanyika kanisa la Mt. Joseph, Ihumwa jijini Dodoma. Na Victor Chigwada.Wananchi wametakiwa kutumia…
17 November 2025, 15:50
Wanawake watakiwa kutokuwa na hofu katika fani ya udereva
Hata hivyo, madereva hao wamebainisha changamoto wanazokumbana nazo, ikiwemo kutoaminika na baadhi ya watu kutokana na jinsia yao, hali ambayo wamesema inapaswa kubadilika ili kutoa nafasi sawa kwa wote. Na Farashuu Abdallah.Wanawake nchini wametakiwa kuondoa hofu ya kujifunza fani ya…
17 November 2025, 15:36
Umuhimu wa mama mjamzito kuandaa vifaa kabla ya kujifungua
Leo katika kipengele cha mama na mtoto tunaangazia umuhimu wa mama mjamzito kuandaa vifaa vya kujifungulia mapema. Na Anitha Mganga Midwife Anitha Mganga anaeleza pia anabainisha ni vifaa gani mama anavyopaswa kuandaa kabla ya kujifungua.
17 November 2025, 15:22
Familia ya MC Pilipili yathibitisha mwili wake kukutwa na majeraha
Familia haikupata nafasi ya kuuona mwili mara moja baada ya taarifa za kifo kutokana na majukumu waliyokuwa nayo. Na Seleman Kodima.Familia ya marehemu mchekeshaji na mshereheshaji maarufu nchini, Emmanuel Mathias maarufu kama MC Pilipili, aliyefariki dunia Novemba 16, 2025 jijini…
14 November 2025, 16:50
BMH kuanzisha kliniki ya kidonda kisukari
Wananchi wamehimizwa kula vyakula vya kulinda mwili na kuachana na tabia bwete ya kukaa bila mazoezi. Na Mariam Kasawa.Hospitali ya Benjamin Mkapa inatarajia kuanzisha kliniki ya Kidonda kisukari ili kuwasaidia wagonjwa wa kisukari kupata huduma hiyo kwa ukaribu. Kila Novemba…