Recent posts
17 August 2023, 4:19 pm
Bei ya maharage yazidi kupaa sokoni
Kwa mujibu wa takwimu zilizotolewa hivi karibuni kutoka Ofisi ya Taifa ya Takwimu ilibainisha bei ya mazao ya chakula ikiwemo maharage imepungua kutoka asilimia 33.5 hadi asilimia 28.3 kwa mwaka ulioshia mwezi Julai 2023 ikilinganishwa na mwaka ulioshia mwezi Juni…
17 August 2023, 3:40 pm
Nani anapaswa kumlipa dalali kati ya mpangaji na mwenye nyumba?
Biashara ya udalali inekuwa ikifanywa na baadhi ya watu kwa lengo la kujipatia kipato na kuendesha maisha yao. Na Aisha Alim. Utaratibu wa upatikanaji wa nyumba za biashara na nyumba za kuishi kupitia madalali umekuwa ukihusisha gharama za ulipwaji wa…
17 August 2023, 2:02 pm
Mazao 13 nchini yatajwa kutumia mfumo wa stakabadhi ghalani
Na Mindi Joseph. Jumla ya mazao 13 nchini yametajwa kutumia mfumo wa stakabadhi ghalani ikiwa ni hatua kubwa kutoka mazao machache ndani ya miaka 3 iliyopita. Hii ni kufuatia uhamasishaji wa matumizi ya mfumo huu kwa wananchi. Kaimu Mkurugenzi Mtendaji…
16 August 2023, 7:00 pm
Vijana Nchini watakiwa kuwa na uthubutu
kwa mujibu wa vijana haoa wanasema kuwa kupitia mjadala huo uliofanyika katika ukumbi wa kambarage uliopo katika jengo la hazina Jijini dodoma umetoa funzo juu ya masuala mbalimbali ikiwemo masula ya uongozi na Demokrasia nchini. Na Thadei Tesha. Vijana nchini…
16 August 2023, 5:09 pm
Umaskini watajwa kuchangia lishe duni
Lishe ni muhimu kwa afya ya Watoto na Watu wazima ambapo ulaji duni kwa Watoto unaweza kusababisha mashambulizi ya maradhi kama vile utapiamlo na udumavu wa mwili. Na Yussuph Hassan. Ukata wa Maisha pamoja na Elimu duni kwa baadhi ya…
16 August 2023, 2:52 pm
Muhimbili mbioni kuanza kutoa huduma za upandikizaji mimba
Amesema kuwa wataanza na kliniki za kawaida kisha hatua za upandikizaji zitafutwa kwa kushirikiana na wataalamu elekezi kutoka nje ya nchi ili kufanyikisha huduma za upandikizaji mimba ambao wataelendelea kuwajengea uwezo wataalam wa Hospitalini. Na WAF, Dodoma. Hospitali ya Taifa…
16 August 2023, 1:53 pm
Usawa kijinsia sio kukandamiza kundi fulani
Kikao kazi hicho cha siku moja, kinapokea taarifa za utekelezaji wa sekta na wadau kuhusu usawa wa kijinsia kwa kipindi Januari hadi Juni, 2023. Na WMJJWM, Dodoma Katibu Mkuu, Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Dkt…
15 August 2023, 5:44 pm
Wafanyabiashara Sabasaba walalamika kusumbuliwa
Ikumbukwe kuwa kituo cha daladala katika soko hilo kilihamishiwa katika soko la Machinga complex lililopo Bahi road Jijini Dodoma. Wafanyabishara katika eneo la sabasaba wamelalamika kusumbuliwa na baadhi ya watu wanao dai kupewa eneo hilo kwaajili ya kuuzia nguo za…
15 August 2023, 3:42 pm
Baba atelekeza familia na kwenda kuanzisha familia nyingine
Mama huyo anadai kuishi maisha magumu kwani anatumia muda mwingi kutafuta kipato cha kumuwezesha yeye pamoja na watoto wake kupata mahitaji muhimu ikiwemo chakula. Na Leonard Mwacha. Katika hali ya kushangaza baba mmoja mkazi wa Jijini Dodoma ameitelekeza familia yake…
15 August 2023, 2:32 pm
Serikali yazindua kituo cha umahiri wa masuala ya afya kidigitali
Kaimu Mkurugenzi wa TEHAMA Wizara ya Afya Bw. Silvanus Ilomo amefafanua namna kituo hicho kitakavyosaidia kuboresha huduma za afya. Na Alfred Bulahya. Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dkt. Seif Shekalaghe amezindua Kituo cha Umahiri katika masuala ya afya kidigitali (Center…