Dodoma FM
Dodoma FM
17 November 2025, 15:36
Leo katika kipengele cha mama na mtoto tunaangazia umuhimu wa mama mjamzito kuandaa vifaa vya kujifungulia mapema. Na Anitha Mganga Midwife Anitha Mganga anaeleza pia anabainisha ni vifaa gani mama anavyopaswa kuandaa kabla ya kujifungua.
17 November 2025, 15:22
Familia haikupata nafasi ya kuuona mwili mara moja baada ya taarifa za kifo kutokana na majukumu waliyokuwa nayo. Na Seleman Kodima.Familia ya marehemu mchekeshaji na mshereheshaji maarufu nchini, Emmanuel Mathias maarufu kama MC Pilipili, aliyefariki dunia Novemba 16, 2025 jijini…
14 November 2025, 16:50
Wananchi wamehimizwa kula vyakula vya kulinda mwili na kuachana na tabia bwete ya kukaa bila mazoezi. Na Mariam Kasawa.Hospitali ya Benjamin Mkapa inatarajia kuanzisha kliniki ya Kidonda kisukari ili kuwasaidia wagonjwa wa kisukari kupata huduma hiyo kwa ukaribu. Kila Novemba…
14 November 2025, 16:23
Wananchi hao wamesema ni muhimu watu kutoogopa kueleza changamoto wanazopitia ili kupata msaada mapema, badala ya kuamua kujifungia ndani na kuendelea kuteseka kimya kimya Na Farashuu Abdallah.Katika juhudi za kukabiliana na vifo vinavyotokana na changamoto za afya ya akili, jamii…
14 November 2025, 15:43
Wiki ya Upimaji wa Magonjwa Yasiyoambukiza ilianza Novemba 12 na inahitimishwa leo Novemba 14 katika Viwanja vya Nyerere Square jijini Dodoma. Na Lilian Leopold.Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Alhaji Jabir Shekimweri, amesisitiza umuhimu wa watoa huduma za afya kufuata sheria…
14 November 2025, 15:14
Ameongeza kuwa ahadi alizotoa wakati wa kampeni zitakuwa kipaumbele chake, hususan katika kuboresha barabara za mitaa ambazo zimekuwa kero kwa muda mrefu. Na Seleman Kodima.Baada ya kupata ushindi wa nafasi ya Udiwani katika Kata ya Miyuji kwa kura zaidi ya…
14 November 2025, 14:15
Sambamba na hayo, Jerome Marando ametoa wito kwa jamii nzima, hususan maafisa usafirishaji, kuendelea kujitokeza bila hofu kuchangia damu salama ili kuokoa maisha ya watu wenye uhitaji. Na Anwary Shaban. Imeelezwa kuwa kundi la maafisa usafirishaji maarufu Bodaboda limekuwa mstari…
13 November 2025, 16:48
Kukamilika kwa bwawa hilo itawasaidia wananchi kufanya kilimo cha mwaka mzima tofauti na hapo awali ambapo kilimo kilitegemea msimu mmoja wa mvua. Na Victor Chigwada. Licha ya ujenzi wa bwawa la umwagiliaji kata ya Membe, wilaya ya Chamwino jijini Dodoma…
13 November 2025, 16:27
Wananchi hao wameomba kuwekwa utaratibu wa uhakika wa upatikanaji wa maji ili kupunguza usumbufu wanaoupata. Na Farashuu Abdallah.Wakazi wa Mtaa wa Mathias, Kata ya Miyuji jijini Dodoma wameiomba serikali kutatua changamoto ya ukosefu wa maji ambayo imekuwa ikiwakabili kwa muda…
13 November 2025, 16:09
Zoezi hilo lilianza Novemba 12 na linatarajiwa kukamilika Novemba 14, 2025, huku wataalamu wa afya wakiendelea kutoa elimu kuhusu kinga, umuhimu wa kufanya mazoezi ya mwili, na matumizi sahihi ya vyakula vinavyosaidia kupunguza hatari ya kupata magonjwa yasiyoambukiza. Na; Lilian…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-