Recent posts
3 December 2025, 17:03
Wanaume watakiwa kuwa mstari wa mbele kukomesha ukatili
Taswira ya Habari imefanya mazungumzo na mkuu wa dawati la jinsia na Watoto polisi wilaya ya Dodoma na hapa anaanza kwa kueleza ukatili wa kijinsia ninini. Na Mariam Matundu. Katika kuendelea kuadhimisha siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia wanaume…
3 December 2025, 16:24
Maafisa usafirishaji watakiwa kuzingatia elimu matumizi vyombo vya moto
Amewataka vijana kujitahidi kupata elimu na uelewa wa jinsi kuendesha vyombo vya moto pamoja na kufahamu sheria zza barabarani kala ya kuingia barabarani kuendesha vyombo hivyo. Na Daniel Njau. Maafisa usafirishaji almaarufu kama Bodaboda Jijini Dodoma wametakiwa kuzingatia kanuni za…
3 December 2025, 15:51
Uhaba wa maji wachochea migogoro ya ndoa Manchali
Changamoto ya maji imekuwa ikiwaathiri zaidi wanawake kwani hulazimika kutembea umbali mrefu kufuata maji. Picha na Nukta Habari. Wanawake hao wameongeza kuwa wanaporudi nyumbani hukumbana na ugomvi pamoja na wivu kutoka kwa wenza wao. Na Victor Chigwada. Wakazi wa Manchali…
3 December 2025, 15:28
Waokota taka rejeshi kuboreshewa mazingira ya kazi
Licha ya uokotaji taka kuwa chanzo cha kipato kwao, mchango wao katika kuweka mazingira katika hali ya usafi umeendelea kutambuliwa na wadau wa mazingira. Picha na Google. Hatua nyingine ni kuhakikisha waokota taka wanapatiwa vitambulisho rasmi vitakavyowatambua na kutambua kazi…
3 December 2025, 12:43
Wananchi waathirika kukosa vivuko Igandu
Changamoto hiyo ni kubwa Kwa wakazi wa Igandu kwani inakwamisha baadhi ya shughuli za kijamii. Picha na Mtandao. Aidha amesema amejitahidi kuwasilisha maombi kwa wakandarasi wanaofanya ukarabati kwenye maeneo ya kalavati Ili kuwajengea kivuko katika reli hiyo. Na Victor Chigwada.…
2 December 2025, 16:29
Miundombinu ya elimu yaendelea kuboreshwa Dodoma
Kupitia mapato ya ndani ya halmashauri ya jiji la Dodoma, serikali imeendelea kuboresha miundombinu ya elimu ikiwemo kujenga matundu ya vyoo, madarasa na maabara, lengo ni kuwapatia wanafunzi mazingira salama wezeshi ya kujifunzia. Na Lilian Leopold. Timu ya Menejimenti ya…
2 December 2025, 12:48
Wasichana waongoza maambukizi ya VVU
Picha ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) William Lukuvi, katika Madhimisho ya Siku ya Ukimwi Duniani. Picha na Jambo Tv. Hapo jana Desemba 1,2025 katika maadhimisho ya Siku ya Ukimwi Duniani, Serikali imesema…
1 December 2025, 17:20
Wakulima wahimizwa kulima mazao yanayostahimili upungufu wa mvua
Maeneo mengi katika Mkoa wa Dodoma na wilaya zake ikiwemo Dodoma, Mpwapwa, Kongwa, Bahi, Chamwino, Chemba na Kondoa yanatarajiwa kupata mvua chache hadi za wastani katika kipindi chote cha msimu. Na Mwandishi wetu.Wananchi wameendelea kupata elimu kuhusu uchaguzi sahihi wa…
1 December 2025, 16:54
Wananchi Ihumwa waipongeza NIDA kwa kusogeza huduma karibu
Kupitia taarifa ya 2024, NIDA imejisajili na kutambua jumla ya watu miloni 24.5 tangu kuanzishwa kwa zoezi (2012). Kutoka idadi hiyo, NIDA imetoa Namba za Utambulisho (NIN) kwa watu milioni 20.8 Na Victor Chigwada.Wananchi wa mitaa ya Ihumwa,Chilwana na Chang’ombe…
1 December 2025, 16:27
Serikali kuwashirikisha vijana katika mipango ya maendeleo
Sheria ya Ununuzi wa Umma imeelekeza taasisi zote za umma kutenga asilimia 30 ya manunuzi yote kwa ajili ya makundi maalumu wakiwemo vijana ili kuongeza ushiriki wao katika uchumi wa Taifa, Na Anwary Shaban.Serikali imesisitiza kuwa itaendelea kuwaamini vijana na…