Recent posts
7 January 2026, 16:20
Wazazi, walezi wasiopeleka watoto shule kuchukuliwa hatua kali
Picha ni Afisa Elimu kata ya Mazae alipokuwa akizungumza na baadhi ya wazazi na walezi wa watoto waliochaguliwa kujiunga kidato cha kwanza. Picha na Steven Noel. Serikali imesisitiza kuwa kuwapeleka watoto katika ajira, hususan kazi za ndani, ni kosa la…
7 January 2026, 15:37
Wananchi Mpalanga waomba huduma ya maji safi na salama
Ukosefu wa maji safi na salama umekuwa ukiwaathiri zaidi wanawake na watoto, kutokana na kutembea umbali mrefu kufuata huduma ya maji safi. Picha na Mzalendo. Kutokana na ukosefu wa maji safi na salama wananchi wanakabiliwa na hatari ya kiafya kwani…
7 January 2026, 15:13
TAHEA yawaandaa vijana kujikwamua kiuchumi
Picha ni Zaituni Ally Liyendikiye, Afisa Mradi kutoka Shirika la TAHEA, katika kipindi cha Dodoma Live. Picha na Noah Patrick. Shirika la TAHEA linaendelea kutoa wito kwa wadau mbalimbali kushirikiana katika kuwawezesha vijana, ili kujenga jamii yenye vijana wenye afya,…
7 January 2026, 14:25
Mbwa wanaozagaa mitaani Dodoma wageuka tishio kwa wananchi
Malalamiko haya yanakuja baada ya wananchi kudai kuwa tayari walishawasilisha tatizo hilo kwa uongozi wa serikali za mitaa, lakini hadi sasa hakuna jitihada zozote zilizofanyika kudhibiti mbwa hao. Na Lilian Leopold. Wananchi wa mtaa wa Miyuji Proper, kata ya Miyuji …
7 January 2026, 12:41
Ufahamu mchezo wa bao na aina zake
Zipo aina mbalimbali za bao ambazo huchezwa hapa mchini na pia upo utofauti kati ya mchezo wa bao kwa Tanzania bara na visiwani . Na Yussuph Hassan. Karibu katika Fahari ya Dodoma ambapo leo tupo katika mfululizo wa makala inayo…
7 January 2026, 12:22
Abiria walalamika kucheleweshewa safari
Wamekuwa wakikumbana na adha ya kuchelewa kuanza safari kutokana na baadhi ya vituo vya mabasi kuathiriwa na hali ya mvua. Na Anwary Shaban. Baadhi ya wasafiri katika maeneo mbalimbali ya jiji la Dodoma wameeleza kukumbwa na changamoto ya kuchelewa kuanza…
6 January 2026, 16:46
Wananchi Miyuji waongeza tahadhari kwa watoto msimu wa mvua
Picha ni maji machafu ya mvua yaliyotuhama katika baadhi ya makazi ya watu, mtaa wa Miyuji Proper. Picha na Lilian Leopold. Jamii imetakiwa kuendelea kuchukua tahadhari ikiwemo kufunika mitaro wazi, kuondoa maji yaliyotuama, kuwafuatilia watoto wanapocheza pamoja na kuwahimiza watoto…
6 January 2026, 16:05
Wafanyabiashara Dodoma kizimbani kwa kukaidi kulipa kodi
Picha ni Afisa Sheria wa Jiji la Dodoma, Godfrey Ngazi akizungumza na waandishi wa habari. Picha na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa. Ameongeza kuwa wafanyabiashara watakaokaidi kulipa kodi hizo watawajibishwa vikali kwa mujibu wa sheria. Na Mwandishi wetu. Halmashauri ya…
5 January 2026, 17:25
Dodoma wachukua tahadhari za kiafya kipindi cha mvua
Aidha, uongozi unahamasisha usafi wa pamoja, kudhibiti maeneo yanayozalisha mbu, na kushirikiana na wataalam wa afya ili kuzuia milipuko ya magonjwa, huku wakisisitiza umuhimu wa kushirikiana kwa jamii ili kulinda afya zao na za familia zao. Na Anwary Shabani. Jamii…
5 January 2026, 16:46
Daraja jipya Mlowa laondoa kero ya usafiri kwa wananchi
Ujenzi wa daraja hilo unakadiliwa kutumia zaidi ya Milioni mia tano ukiwa chini ya usimamizi wa mamlaka ya usimamizi barabara vijijini TARURA. Na Victor Chigwada. Kukamilika kwa daraja linalounganisha kata za Mlowa barabarani, Iringa Mvumi na Makang’wa imekuwa chanzo cha…