Recent posts
19 January 2026, 15:58
Wafanyabiashara Ving’awe waiomba serikali kuwaboreshea soko
Milioni 36 ya wafanyakazi Tanzania, milioni 25.95 sawa na 71.8% wanafanya kazi katika sekta isiyo rasmi. Na Steven Noel.Wafanyabiashara soko dogo la Vighawe, wilaya ya Mpwampwa jijini Dodoma wameiomba serikali kuwaboresha miundombinu ya soko na kuwawezesha upatikanaji wa mikopo nafuu…
19 January 2026, 15:33
Wagombea 67 wachukua fomu uongozi soko la Machinga
Uchaguzi wa viongozi katika soko hilo unatarajiwa kufanyika Januari 24, 2026. Na Lilian Leopold. Jumla ya wagombea 67 wamejitokeza kuchukua fomu za kugombea nafasi mbalimbali za uongozi katika soko la wazi la Machinga Complex jijini Dodoma. Nafasi zinazowaniwa ni pamoja…
19 January 2026, 15:09
Wananchi watakiwa kujitokeza kupata elimu kuhusu anwani za makazi
Mfumo huo unarahisisha utambuzi wa makazi, ufuatiliaji wa huduma muhimu pamoja na kuchochea maendeleo ya mijini na vijini. Na Anwary Shaban.Katika kuelekea kongamano la Anwani ya Makazi litakaloanza Februari 02 hadi 08 jijini Dar es salaam wananchi wametakiwa kujitokeza kwa…
16 January 2026, 15:27
Vodacom kutoa kipaumbele kwa wenye mahitaji maalum
Besiimire amesema duka hilo ni mkombozi kwa wakazi wa Mkoa wa Dodoma na mikoa jirani iliyo katika Kanda ya Kati kutokana na kuboreshwa kwa huduma zake. Na Yussuph Hassan. Kampuni ya Mtandao wa Simu ya Vodacom imesema imejipanga kuhakikisha inatoa…
16 January 2026, 15:05
Baadhi ya kaya Nayu zakabiliwa na njaa
Wananchi wamesema baadhi ya kaya kijijini hapo wanaishi wazee ambao hawawezi kumudu gharama za manunuzi ya chakula cha kila siku. Na Victor Chigwada. Baadhi ya maeneo katika mkoa wa Dodoma yanakabiliwa na upungufu wa chakula kwa sasa licha ya msimu…
16 January 2026, 14:40
Sheria zizingatiwe ili kulinda uraia
Vile vile Mrakibu msaidizi Muhina amewataka wananchi waliopewa uraia kwa mujibu wa sheria waendelee kutii sheria pasipo kukiuka utaratibu waliopewa ili wasiweze kupoteza hadhi ya kuwa raia wa Tanzania. Na Jerome John. Wananchi ambao ni raia wa Tanzania wametakiwa kuheshimu…
16 January 2026, 14:23
Serikali kuendelea kuboresha maslahi ya watumishi wa TRA
Mkutano huo uliwakutanisha wadau mbalimbali kwa lengo la kuimarisha sekta ya ukusanyaji mapato nchini. Na Mariam Kasawa. Naibu Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Mcha Musa Mcha, amesisitiza umuhimu wa ushirikiano kati ya uongozi wa mamlaka hiyo na…
16 January 2026, 12:50
Wananchi Mbori walilia chumba cha kuhifadhia maiti
Nae Maria Manyelezi amesema pamoja na ukosefu wa chumba cha kuhifadhia maiti, pia kijiji hicho kinakabiliwa na changamoto ya ukosefu wa maji safi na salama na hivyo kumpelekea kijiji hicho kukmbwa na mlipuko wa magonjwa ya mara kwa mara. Na…
16 January 2026, 12:05
Kampeni ya kukijanisha Dodoma yawafikia wananchi Nala
Zoezi hilo ni sehemu ya kampeni kubwa ya serikali ya kuikijanisha Dodoma kwa kupanda miti. Na Lilian Leopold. Katika jitihada za kuufanya mkoa wa Dodoma kuwa wa kijani na kustawisha mazingira, zoezi la ugawaji wa miche ya matunda na kivuli…
15 January 2026, 15:13
Wanaume wajitokeze kuwapeleka wake zao kliniki
Hii ni kutokana na ushiriki wa wanaume kuwa hafifu katika masuala ya afya ya uzazi, hali inayosababisha wanawake wengi kuhudhuria kliniki peke yao bila msaada wa wenza wao, jambo linalopunguza uelewa wa pamoja kuhusu hatua muhimu za ujauzito, kujifungua na…