Recent posts
11 December 2025, 17:19
Umuhimu wa milima katika mazingira
Na Farashuu Abdallah.Kila Desemba 11 ni maadhimisho ya Siku ya Milima Duniani ambayo lengo lake ni kuhamasisha ulimwengu kuhusu umuhimu wa milima kwa maisha ya binadamu, mazingira na maendeleo endelevu. Farashuu Abdallah amezungumza na baadhi ya wananchi mkoani Dodoma ili…
11 December 2025, 16:53
TASAF yaboresha maisha ya wakazi wa Igandu
Tofauti na hapo awali ambapo baadhi ya watoto walikaa majumbani Kwa kukosa uwezo wa kumudu kununua viafaa vya shule. Na Victor Chigwada.Wakazi wa Kijiji Cha Igandu Wilaya ya Chamwino wameipongeza Serikali kupitia mfuko wa TASAF Kwa kusaidia kuboresha maisha ya…
11 December 2025, 16:23
Kwanini sekta ya kilimo haikupewa kipaumbele COP 30?
Kutopewa kipaumbele na Kupuuzwa kwa sekta ya kilimo katika Mkutano wa COP30 ni kinyume na miongozo ya kimataifa, jambo linaloweza kuathiri juhudi za Afrika kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi. Na Mwandishi wetu.Msikilizaji, leo tunakuletea makala ambayo itaangazia Mkutano wa Kimataifa…
11 December 2025, 15:44
Maafisa usafirishaji waitaka jamii kutowahusisha na vitendo vya uhalifu
Picha ni maafisa usafirishaji katika semina iliyofanyika katika ukumbi wa Shule ya Sekondari Bogwe, Wilayani Kasulu, Kigoma. Picha na LATRA. Hayo yanajiri kutokana na mitazamo tofauti katika jamii ikiwepo baadhi yao kuhusishwa na matukio ya kihalifu kwa kilekinachodaiwa maafisa hao…
11 December 2025, 15:27
Ukarabati wa vyumba vya madarasa kupunguza utoro shuleni
Picha ni Mwalimu Mkuu shule ya Msingi Mazengo , Rehema Nkungu katika ziara ya ukaguzi wa utekelezaji wa miradi. Picha na Ofisi ya Mkuu wa Wilaya. Ziara ya ukaguzi wa utekelezaji wa miradi hiyo imefanywa na Kamati ya Uongozi wa…
10 December 2025, 16:56
Jamii yahimizwa kula vyakula vilivyoongezwa madini ili kupunguza magonjwa
Picha ni Bi. Eliwaza Ndalu Afisa lishe halmashauri ya Mpwampwa katika kikao cha tathmini cha mkataba wa lishe ndani ya wilaya ya Mpwapwa. Picha na Steven Noel. Bi. Ndalu amewahimiza wananchi kushirikiana na watendaji wa afya katika kufanikisha elimu ya…
10 December 2025, 16:35
Mkuu wa Kitengo cha Taka Jiji la Dodoma afanya ukaguzi wa usafi Makulu
Picha ni Dickson Kimaro Mkuu wa Kitengo cha Usafi na Udhibiti wa taka ngumu katika ziara ya ukaguzi wa usafi wa mazingira Kata ya Dodoma Makulu. Picha na Ofisi ya Mkuu wa Wilaya. Ziara hiyo imelenga kutathmini hali ya usafi…
10 December 2025, 16:12
Tufaa latajwa kuwa zao la kimkakati Dodoma
Picha ni Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule wakati wa hafla fupi ya utiaji saini Mkataba wa ununuzi wa Miche ya Tufaa baina ya Mkoa wa Dodoma na Kampuni ya Tamtam Tanzania ya Mkoani Iringa katika Ukumbi wa…
10 December 2025, 15:53
Vijana waomba elimu ya matumizi sahihi ya mitandao ya kijamii
Ili kupunguza athari zitokanazo na matumizi mabaya ya mitandao ya kijamii wameshauri ni vyema elimu ikaotolewa ili kupunguza madhara yanayoweza kujitokeza. Picha na Mtandao. Asilimia 95% ya vijana wenye umri wa miaka 13–17 hutumia mitandao ya kijamii kama TikTok, Instagram,…
10 December 2025, 15:36
Machinga Complex yaendelea na shughuli, ulinzi waimarishwa
Picha ni soko la wazi la Machinga Complex jijini Dodoma. Picha na Dodoma FM. Hali ya ulinzi na usalama imeendelea kuimarishwa na vyombo vya usalama, huku wafanyabiashara wakijitokeza na kuendelea na shughuli zao kama kawaida. Na Lilian Leopold. Wafanyabiashara wa…