Recent posts
26 May 2026, 16:32
Unafanyaje kuhakikisha mtoto hakatishi masomo?
Watoto wafundishwe kutambua hali hatarishi na kuripoti vitisho, ili kuepuka kujiingiza kwenye mazingira yanayoweza kuathiri masomo yao. Ili kuhakikisha mtoto hakatishi masomo yake, mzazi au mlezi anapaswa kumlinda dhidi ya hatari kama mimba za utotoni, ajira ya watoto, na ukatili;…
25 May 2026, 17:01
Vijana watakiwa kujiunga mfumo wa ununuzi wa kielektroniki
Mfumo wa Ununuzi wa Kielektroniki (NeST) ni fursa mahususi inayowawezesha vijana kupata zabuni za serikali kwa urahisi kwani Kupitia mfumo huu, serikali imetenga asilimia ya tenda maalum kwa ajili ya vijana, wanawake, wazee, na watu wenye ulemavu bila kushindana na…
25 May 2026, 16:42
Atatua mgogoro wa wafanyabiashara wa soko
Hatua hiyo ni sehemu ya jitihada za serikali za kuendelea kuimarisha masoko na kuboresha mazingira ya biashara kwa wananchi. Na Mariam Kasawa. Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Alhaj Jabir Shekimweri amehudhuria mkutano wa wazi uliowakutanisha wafanyabiashara wa Soko la Umonga…
25 May 2026, 16:24
Vigezo na masharti inaathiri vipi upatikanaji wa mikopo ya asilimia 10 kwa vijan…
Lengo la mabadiliko haya ni kuboresha ukusanyaji wa mikopo, kupunguza vikundi vya mbamba na kuimarisha maendeleo ya ya kiuchumi kwa wananchi wadogo. Na Mariam Kasawa Mikopo ya asilimia 10 inatolewa na halmashauri kwa vikundi vya wanawake, vijana, na watu wenye…
22 May 2026, 18:21
Zifahamu mila, desturi, jando kabila la Wagogo
Wanawake walifanya shughuli za kupika na kupeleka chakula kwa kufuata mila na desturi. Na Yussuph Hassan. Leo tunazungumzia mila na desturi za wagogo katika Jando ambapo inaelezwa kuwa ,wanawake walikuwa hawaruhusiwi kuingia katika jando kwani eneo la jando lilitengwa mbali…
22 May 2026, 18:05
Wazazi, walezi waongoza ukatili kwa watoto Dodoma
Kwa upande mwingine Afisa huyo amewashauri wazazi kuzingatia adhabu wanazotoa kwa watoto wao ili kuto leta madhara zaidi kwani kutoa adhabu zisizo faa kwa watoto ni kukiuka haki zao na kuvunja sheria. Na Jerome John. Imeelezwa kuwa wazazi na walezi…
22 May 2026, 17:53
Wananchi watakiwa kuendelea kuchukua tahadhari dhidi ya virusi vya ebola
Mtaalamu huyo wa afya ameitaka jamii kwa ujumla kuzingatia elimu inayotolewa na endapo mtu akibainika kutokana na dalili tajwa afikishwe kituo cha afya au hospitali iliyo karibu kwa uchunguzi zaidi. Na Jerome John. Wananchi mkoani Dodoma wametakiwa kuchukua tahadhari dhidi…
21 May 2026, 17:54
Wajawazito watakiwa kuzingatia mlo kamili
Elimu inayotolewa kliniki ni muhimu kwa maendeleo ya mama mjamzito na mtoto. Na Victor Chigwada. Akina mama wajawazito wametakiwa kula vyakula vyenye virutubisho ili waweze kujifungua salama na kupata watoto wenye afya bora. Wito huo umetolewa na kaimu Afisa lishe…
21 May 2026, 17:44
Wakulima wa zabibu walia na changamoto ya soko la uhakika
Licha ya changamoto ya wanunuzi wa zabibu msimu wa mavuno pia wanaiomba serikali kuwapatia mbegu bora kwa bei nafuu ili waweze kuzalisha zabibu zenye ubora. Na Victor Chigwada. Wakulima wa zabibu katika Kata ya Handali wilayani Chamwino wameiomba Serikali kutatua…
21 May 2026, 17:30
𝗦heria ya elimu ni nyenzo ya utekelezaji wa mageuzi
Kikao hicho kimewakutanisha wadau mbalimbali wa elimu kutoka sekta tofauti, huku serikali ikionesha dhamira ya kuendelea kufanya maboresho ya sera na sheria za elimu kwa maslahi ya wanafunzi, walimu na taifa kwa ujumla. Na Mwandishi wetu. Mageuzi ya elimu nchini…