Recent posts
13 January 2026, 16:22
Wakulima Dodoma watakiwa kujikita katika kilimo cha umwagiliaji
Wadau wa kilimo jijini Dodoma wanasema kuwa kuwekeza katika kilimo cha umwagiliaji ni njia sahihi ya kukabiliana na changamoto ya ukame, kuongeza uzalishaji wa mazao na kuhakikisha usalama wa chakula kwa sasa na siku zijazo. Na Anwary Shaban.Wakulima Jijini Dodoma…
13 January 2026, 14:33
Mila, desturi kikwazo saratani shingo ya kizazi
Kwa mujibu wa utafiti wa Demographic and Health Survey (DHS), kiwango cha uchunguzi wa saratani ya shingo ya kizazi nchini Tanzania bado ni kidogo, ambapo ni takribani asilimia 7 tu ya wanawake ndiyo wamewahi kupimwa, hali iliyo chini ya lengo…
13 January 2026, 13:50
Ukosefu wa maji safi waibua hofu Matembwe
Wakazi hao wamekumbwa na hofu kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha kwani maji ya mvua yanayotiririka kutoka maeneo mbalimbali yanachanganyika na maji ya mto huo, hali inayoleta hofu ya matumizi ya maji yasiyo safi na salama. Na Victor Chigwada. Wakazi wa…
13 January 2026, 13:27
Ukosefu wa elimu ya fedha changamoto kwa vijana
Picha ni mmoja wa wanufaika wa mkopo wa asilimia 10 kata ya Kizota jijini Dodoma. Picha na Dodoma FM. Lengo la mkopo wa asilimia 10 wa halmashauri ni kusaidia vikundi vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu, ili kukuza maendeleo…
12 January 2026, 15:13
Uchaguzi viongozi soko la Machinga na matumaini kedekede
Kufuatia kukamilika kwa zoezi la uandikishaji kuelekea uchaguzi wa viongozi wa soko hilo wafanyabiashara soko la wazi la Machinga Complex wamesema matarajio yao ni kuwa na viongozi wawajbikaji. Na Mariam Kasawa. Wafanyabiashara wa Soko la Wazi la Machinga wameeleza matumaini…
12 January 2026, 14:34
Maafisa usafirishaji Dodoma walalamikia mikataba kandamizi
Aidha wamebainisha kuwa kutokana na kukosa elimu ya kisheria ndo maana wanakumbana na mrorongo wa kukiukwa kwa makubaliano dhidi ya wamiliki wa pikipiki hizo na kujikuta wanashindwa kuzimiliki hizo pikipiki. Na Jerome John. Maafisa usafirishaji (boda boda) mkoani Dodoma wamelalamikia…
12 January 2026, 14:14
Tanzania yatinga kundi la juu la ukomavu wa TEHAMA duniani
Mafanikio haya ni mwendelezo wa safari ya Tanzania ya kupanda ngazi katika ukomavu wa TEHAMA serikalini, na kuendelea kujijengea taswira chanya kimataifa na kikanda. Na Mwandshi wetu. Tanzania imeendelea kung’ara kimataifa baada ya Benki ya Dunia (World Bank – WB)…
12 January 2026, 13:50
Uhamiaji Dodoma na ‘mjue jirani yako’
Sanjari na hayo, Rashidi Rafael amewahimiza wananchi kuwa waaminifu, wazalendo na wawazi katika kutoa taarifa kwa vyombo husika, akisisitiza kuwa taarifa hizo zitashughulikiwa kwa mujibu wa sheria ili kulinda usalama wa jamii na taifa kwa ujumla. Na Anwary Shabani. Jeshi…
12 January 2026, 13:26
Wakuu wa shule watakiwa kuepuka ucheleweshaji wa masomo
Kauli hiyo inatokana na Waraka wa Elimu Na. 05 wa mwaka 2025 na Waraka wa Elimu Na. 06 wa mwaka 2025, ambapo Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imeeleza rasmi ratiba ya muhula wa masomo kwa shule za awali, msingi…
9 January 2026, 16:48
Wazazi watakiwa kuwaandikisha watoto shule 2026
Aidha mwanasheria huyo ameeleza kuwa endapo mzazi atashindwa kufanya hivyo atachukuliwa hatua stahiki na atatakiwa kueleza sababu ni zipi zilizopelekea kushindwa kwake kutimiza wajibu wake. Na Mwandishi wetu. Wazazi na walezi nchini wametakiwa kuhakikisha wanawaandikisha watoto shule katika kuanza muhula…