Dodoma FM

Recent posts

4 December 2025, 12:43

Uuzaji holela wa nyama hatari kwa wakazi wilayani Kiteto

Baadhi ya wauzaji wamekuwa wakiuza nyama ambayo haijapimwa na wataalamu wa mifugo hali ambayo ni hatari kwa walaji wa nyama hiyo. Na Kitana Hamis. Wananchi  Wilayani Kiteto mkoani Manyara wamelalamikia uuzwa holela wa nyama hali inayo hatarisha afya za walaji.…

4 December 2025, 11:47

Makundi maalum kuwezeshwa kushiriki miradi ya kiuchumi

Kongamano hilo limeelezwa kuwa muhimu katika kuhamasisha na kutoa elimu kuhusu haki na ushiriki wa watu wenye ulemavu kwenye maamuzi ya kiuchumi. Na Farashuu Abdallah. Serikali kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu imetenga zaidi ya shilingi trilioni moja kwa ajili ya…

3 December 2025, 17:03

Wanaume watakiwa kuwa mstari wa mbele kukomesha ukatili

Taswira ya Habari imefanya mazungumzo na mkuu wa dawati la jinsia na Watoto polisi wilaya ya Dodoma na hapa anaanza kwa kueleza ukatili wa kijinsia ninini. Na Mariam Matundu. Katika kuendelea kuadhimisha siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia wanaume…

3 December 2025, 16:24

Maafisa usafirishaji watakiwa kuzingatia elimu matumizi vyombo vya moto

Amewataka vijana kujitahidi kupata elimu na uelewa wa jinsi kuendesha vyombo vya moto pamoja na kufahamu sheria zza barabarani kala ya kuingia barabarani kuendesha vyombo hivyo. Na Daniel Njau. Maafisa usafirishaji almaarufu kama Bodaboda Jijini Dodoma wametakiwa kuzingatia kanuni za…

3 December 2025, 15:51

Uhaba wa maji wachochea migogoro ya ndoa Manchali

Changamoto ya maji imekuwa ikiwaathiri zaidi wanawake kwani hulazimika kutembea umbali mrefu kufuata maji. Picha na Nukta Habari. Wanawake hao wameongeza kuwa wanaporudi nyumbani hukumbana na ugomvi pamoja na wivu kutoka kwa wenza wao. Na Victor Chigwada. Wakazi wa Manchali…

3 December 2025, 15:28

Waokota taka rejeshi kuboreshewa mazingira ya kazi

Licha ya uokotaji taka kuwa chanzo cha kipato kwao, mchango wao katika kuweka mazingira katika hali ya usafi umeendelea kutambuliwa na wadau wa mazingira. Picha na Google. Hatua nyingine ni kuhakikisha waokota taka wanapatiwa vitambulisho rasmi vitakavyowatambua na kutambua kazi…

3 December 2025, 12:43

Wananchi waathirika kukosa vivuko Igandu

Changamoto hiyo ni kubwa Kwa wakazi wa Igandu kwani inakwamisha baadhi ya shughuli za kijamii. Picha na Mtandao. Aidha amesema  amejitahidi kuwasilisha maombi kwa wakandarasi wanaofanya ukarabati kwenye maeneo ya kalavati Ili kuwajengea kivuko katika reli hiyo. Na Victor Chigwada.…

2 December 2025, 16:29

Miundombinu ya elimu yaendelea kuboreshwa Dodoma

Kupitia mapato ya ndani ya halmashauri ya jiji la Dodoma, serikali imeendelea kuboresha miundombinu ya elimu ikiwemo kujenga matundu ya vyoo, madarasa na maabara, lengo ni kuwapatia wanafunzi mazingira salama wezeshi ya kujifunzia. Na Lilian Leopold. Timu ya Menejimenti ya…

2 December 2025, 12:48

Wasichana waongoza maambukizi ya VVU

Picha ni ‎Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) William Lukuvi, katika Madhimisho ya Siku ya Ukimwi Duniani. Picha na Jambo Tv. Hapo jana Desemba 1,2025 katika maadhimisho ya Siku ya Ukimwi Duniani, Serikali imesema…

1 December 2025, 17:20

Wakulima wahimizwa kulima mazao yanayostahimili upungufu wa mvua

Maeneo mengi katika Mkoa wa Dodoma na wilaya zake ikiwemo Dodoma, Mpwapwa, Kongwa, Bahi, Chamwino, Chemba na Kondoa yanatarajiwa kupata mvua chache hadi za wastani katika kipindi chote cha msimu. Na Mwandishi wetu.Wananchi wameendelea kupata elimu kuhusu uchaguzi sahihi wa…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger