Dodoma FM

Recent posts

15 January 2026, 12:35

Maagizo ya Mchengerwa kwa Katibu Mkuu Wizara ya Afya

Amewataka viongozi katika sekta ya afya kuwa na uwezo wa kutatua changamoto za huduma bila kusubiri michakato mirefu. Na Mariam Kasawa Waziri wa Afya, Mohamed Mchengerwa, amemwagiza Katibu Mkuu wa Wizara yake, Dkt. Seif Shekalaghe, kufanya mapitio ya miongozo ya…

15 January 2026, 11:27

Gunners yaachana na Juma Ikaba

Ikaba ndiye kocha alianza kukinoa kikosi cha guuners kwanzia ligi ya mkoa kisha daraja la pili na kwa sasa alikuwa akikiongoza kikosi hichi katika ligi daraja la kwanza. Na Hamis Makila.Kikosi cha guuners kimefikia makubaliano ya pande zote mbili ya…

15 January 2026, 11:02

Muda wa uandikishaji uchaguzi Machinga waongezwa

Picha ni Meneja wa soko la wazi la Machinga Complex, CPA Johnstone Kahungu akizungumza na waandishi wa habari katika soko hilo. Picha na Lilian Leopold. Zoezi la uchaguzi wa viongozi wa soko la wazi la Machinga Complex linatarajia kufanyika Januari…

14 January 2026, 17:52

Tanzania, Korea kuimarisha huduma ya majitaka

Mazungumzo hayo yanaonesha dhamira ya Serikali ya Tanzania ya kuendelea kushirikiana na wadau wa kimataifa katika kufanikisha vipaumbele vya maendeleo ya taifa na kuhakikisha upatikanaji endelevu wa maji kwa ajili ya ustawi wa jamii na uchumi wa nchi. Na Mwandishi…

14 January 2026, 17:39

TAREWU kuwakutanisha washirika ukusanyaji mapato Dodoma

TAREWU imesisitiza kuwa mkutano huo ni sehemu ya mkakati wa chama katika kuimarisha mshikamano, elimu kwa jamii na mchango wa wafanyakazi wa ukusanyaji mapato katika maendeleo ya nchi. Na Anwary Shaban. Chama cha Wafanyakazi wa Kukusanya Mapato Tanzania (TAREWU) kimetoa…

14 January 2026, 15:10

Hospitali ya Rufaa Dodoma yapokea ugeni kutoka Malawi

Ujio wa ugeni huu unalenga kuimarisha ushirikiano wa kiafya kati ya Malawi na Tanzania, pamoja na kuchochea ubadilishanaji wa uzoefu miongoni mwa wataalamu wa afya. Na Mariam Kasawa. Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Wizara ya Afya  Januari…

14 January 2026, 14:50

‘Kushiriki shughuli za maendeleo ni wajibu kwa mwananchi’

Sheria ya Serikali za Mitaa Sura ya 287 ( Mamlaka za Serikali za Mitaa- Wilaya) na Sura ya 288 ( Mamlaka za Serikali Mitaa- Miji) zinatambua na kusisitiza wananchi katika kupanga na kutekeleza miradi ya maendeleo, kuhudhuria mikutano ya vijiji…

14 January 2026, 14:05

Msanga na watakaoshindwa kuripoti kidato cha kwanza

Hatua hii inakuja ili kukabiliana na changamoto ya baadhi ya wazazi kuwapeleka watoto wao mjini kufanya kazi za nyumbani, jambo ambalo limekuwa kikwazo katika kupata elimu kwa watoto waliofaulu kujiunga na shule za sekondari. Na Victor Chigwada. Wakati muhula mpya…

13 January 2026, 16:36

Wazazi watakiwa kuhakikisha watoto wanaripoti shuleni mapema

Kwa mujibu wa mkuu wa mkoa wa Dodoma mh. Rosemery Senyamule Idadi ya Wanafunzi wanaotarajiwa kuanza Muhula Mpya wa Masomo 2026 ulio anza leo kwa elimu ya awali ni 79, 131, darasa la kwanza kwa shule za msingi ni wanafunzi…

13 January 2026, 16:22

Wakulima Dodoma watakiwa kujikita katika kilimo cha umwagiliaji

Wadau wa kilimo jijini Dodoma wanasema kuwa kuwekeza katika kilimo cha umwagiliaji ni njia sahihi ya kukabiliana na changamoto ya ukame, kuongeza uzalishaji wa mazao na kuhakikisha usalama wa chakula kwa sasa na siku zijazo. Na Anwary Shaban.Wakulima Jijini Dodoma…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger