Recent posts
23 December 2025, 16:18
Wananchi Mlebe waiangukia serikali ujenzi nyumba za wahudumu wa afya
Kwa mujibu wa sera ya afya ya mwaka 2007 Serikali Katika kuhakikisha kuwa wananchi wana afya bora, Serikali imeendelea kushirikiana na wadau mbalimbali kutoa huduma za afya kwa kuzingatia sera na miongozo iliyopo. Na Victor Chigwada. Wananchi wa kijiji cha…
23 December 2025, 15:47
PPRA yawanoa wanahabari matumizi mfumo wa NEST, ununuzi wa umma
Katika semina hiyo, waandishi wa habari walifahamishwa kuwa Serikali inaruhusiwa kununua bidhaa tatu pekee zilizotumika kwa manufaa ya umma,treni,meli na ndege. Na Mariam Kasawa.Meneja Mafunzo wa Mamlaka ya PPRA, Gilbert Kamnde, amewafafanulia waandishi wa habari kuhusu utendaji kazi wa mamlaka…
22 December 2025, 18:07
Wananchi waitaka serikali kuharakisha mradi wa maji Mloda
Diwani wa Kata ya Mlowa Barabarani Bw.Anjero Lucas amekiri uwepo mradi wa kisima Cha maji ambacho kimekamilika lakini bado wanasubiri usambazaji wa mabomba. Na Victor Chigwada. Wananchi wa Kijiji Cha Mloda Kata ya Mlowa Barabarani Wilaya ya Chamwino wameitaka Serikali…
22 December 2025, 17:46
Kanda namba 6 yatakiwa kuhakikisha Desemba 6 miradi imekamilika
Pia shule ya Msingi Mnadani ilipokea kiasi cha shillingi Milioni 90.4 kwaajili ya ujenzi wa madarasa matatu na matundu 12 ya vyoo. Na Mariam Kasawa. Afisa Tarafa Dodoma Mjini, Zainab Mabuye aliwataka viongozi Kanda Namba Sita kuhakikisha miradi yote inayotakiwa…
22 December 2025, 15:54
Uhaba wa matundu ya vyoo wahatarisha afya za wanafunzi Mlebe
22 December 2025, 15:33
Wakulima Dodoma waomba utekelezaji wa haraka fursa za COP30
Wakulima wanaamini kuwa utekelezaji wa haraka wa miradi hiyo utaongeza uzalishaji wa chakula na kupunguza utegemezi wa misaada ya dharura. Na Mariam Kasawa. Wakati Tanzania inatarajia kupata kati ya Dola milioni 5 hadi milioni 20 kupitia mfuko wa upotevu na…
19 December 2025, 17:46
Serikali yazindua mfumo uendelezaji biashara
Amesema muongozo huo utakuwa chachu muhimu katika kukuza biashara changa, ndogo na za kati. Na Mariam Matundu.Serikali imezindua Mfumo wa Muongozo wa Kitaifa wa Vituo vya Uendelezaji Biashara, hatua inayolenga kuimarisha mazingira ya biashara ndogo na za kati pamoja na…
19 December 2025, 15:56
Ujasiriamali watajwa kama nguzo muhimu katika kukuza uchumi
Ujasiriamali kama njia halali na yenye tija huku nidhamu ya kazi, ubunifu, na matumizi sahihi ya teknolojia vimetajwa kuwa miongoni mwa misingi muhimu.Picha na Un news. Serikali na wadau wa maendeleo wamehimizwa kuendelea kuweka mazingira wezeshi kwa wajasiriamali kwa kuboresha…
19 December 2025, 15:38
Wazazi Chidachi waomba kivuko wakihofia usalama wa watoto wao
Licha ya kuomba msaada kwa serikali juu ya kivuko hicho pia viongozi wa eneo hilo wanaendelea kuchukua hatua ili kutatua tatizo hilo. Na Farashuu Abdallah. Katika kuelekea msimu wa mvua mkoani Dodoma wakazi wa Mtaa wa Chidachi Kata ya Mkonze…
19 December 2025, 15:14
Serikali kuhakikisha watoto wanaoishi mazingira magumu wanafikiwa
Serikali ilichukua hatua ya haraka ya kufuatilia hali ya mtoto huyo baada ya kupata taarifa hizo kwa kumtafuta Bibi wa mtoto huyo katika hospitali ya Agha Khan jijini Dodoma. Na Mariam Matundu. Serikali imeendelea kusimamia na kuhakikisha kwamba watoto wote…