Recent posts
5 January 2026, 17:25
Dodoma wachukua tahadhari za kiafya kipindi cha mvua
Aidha, uongozi unahamasisha usafi wa pamoja, kudhibiti maeneo yanayozalisha mbu, na kushirikiana na wataalam wa afya ili kuzuia milipuko ya magonjwa, huku wakisisitiza umuhimu wa kushirikiana kwa jamii ili kulinda afya zao na za familia zao. Na Anwary Shabani. Jamii…
5 January 2026, 16:46
Daraja jipya Mlowa laondoa kero ya usafiri kwa wananchi
Ujenzi wa daraja hilo unakadiliwa kutumia zaidi ya Milioni mia tano ukiwa chini ya usimamizi wa mamlaka ya usimamizi barabara vijijini TARURA. Na Victor Chigwada. Kukamilika kwa daraja linalounganisha kata za Mlowa barabarani, Iringa Mvumi na Makang’wa imekuwa chanzo cha…
5 January 2026, 16:19
Wazazi waonesha utayari kuelekea kufunguliwa shule Januari 13
Sera hiyo inasisitiza ushirikiano kati ya serikali, jamii na wazazi katika kuondoa vikwazo vya upatikanaji wa elimu, ikiwemo kuhakikisha watoto wanajiandikisha na kuhudhuria shule ili kupata maarifa na stadi muhimu kwa maendeleo yao na taifa kwa ujumla. Na Lilian Leopold.…
2 January 2026, 15:38
Dodoma yaendelea kupiga hatua kampeni ya upandaji miti
“Ndugu zangu, miti ina faida nyingi tuitikie wito huu. Dhamira ya mheshimiwa rais wetu ni njema sana ndio maana aliwaagiza TFS kuandaa miche kila mwaka na kugawia wananchi bure ili waipande hali itakayohamasisha wengine kupenda mazingira na kupanda miti” alisema…
24 December 2025, 15:47
Diwani ahimiza wananchi kuzingatia lishe bora Ndachi
Maadhimisho hayo yaliambatana na utoaji wa elimu ya lishe, ushauri wa afya, pamoja na upimaji wa afya kwa watoto. Na Anwary Shaban.Diwani wa Kata Mnadani, Mugendi Karenge amewataka wananchi wa Mtaa wa Ndachi kuzingatia masuala ya afya na lishe bora…
24 December 2025, 15:17
Vijana watakiwa kuweka utaratibu wa kusoma vitabu
Usomaji wa vitabu kwa vijana unatajwa pia kama njia moja wapo ya kujiongezea maarifa. Na Bennard Komba.Ushauri umetolewa kwa vijana kuhakikisha wanaweka utaratibu wa kusoma vitabu mbalimbali ili kubadili fikra na kujiongezea maarifa yatakayowaongoza katika mafanikio. Pamela Jerome ni kijana…
24 December 2025, 14:57
Bidhaa zapanda bei kuelekea sikukuu za Krismasi na Mwaka Mpya
Wananchi wamesema kuwa hali hiyo inachangiwa na kuchelewa kwa Mvua pamoja na miundombinu mibovu ya barabara. Na Stephen NoelWANANCHI wa wilaya ya Mpwapwa wamelalamikia kupanda kwa bei za vyakula na bidhaa mbalimbali huku msimu wa sikukuu za Krismasi na Mwaka…
23 December 2025, 17:04
Tume ya utumishi wa umma yafafanua rufaa, malalamiko ya watumishi
Watumishi kupinga kutokulipwa stahili zao na waajiri, ikiwemo mishahara, stahili za uhamisho pamoja na posho mbalimbali za kisheria zinazotokana na utekelezaji wa majukumu yao. Na Anwary Shaban. Tume ya Utumishi wa Umma imetoa ufafanuzi kuhusu rufaa na malalamiko yaliyowasilishwa na…
23 December 2025, 16:47
VETA yaeleza mchango wake kwa wanafunzi wenye ulemavu
Wameweza kukuza ushiriki wa wanafunzi wenye ulemavu kwa kuwapa kipaumbele . Na Farashuu Abdallah. Katika jitihada za kuwezesha kundi la watu wenye mahitaji maalum kwenye fursa mbalimbali za kiuchumi chuo cha ufundi Veta Jijini Dodoma kimeeleza mchango wake kwa wanafunzi…
23 December 2025, 16:33
Mtindo wa maisha, mabadiliko hali ya hewa chanzo magonjwa yasiyoambukiza
Wananchi nao wametakiwa kushiriki kikamilifu katika kulinda mazingira kwa kupunguza uchafuzi, kutumia nishati safi, kuhifadhi vyanzo vya maji, pamoja na kuzingatia mitindo ya maisha yenye kuimarisha afya kama lishe bora na mazoezi ya mara kwa mara. Na Daniel Njau Imeelezwa…