Recent posts
6 March 2026, 17:16
Teknolojia ya kisasa ziwa Victoria yasaidia usimamizi wa rasilimali za maji
Bodi ya Maji Bonde la Ziwa Victoria ni taasisi ya serikali inayosimamia rasilimali za maji katika bonde la Ziwa Victoria upande wa Tanzania,Taasisi hii inahakikisha matumizi ya maji yanafanyika kwa njia endelevu. Na Bernard Komba. Bodi ya maji bonde la…
6 March 2026, 16:25
Kata zatakiwa kutenga bajeti kwaajili ya kujenga masoko
Kliniki hiyo ya kutatua kero kwa wananchi itachukua takribani siku tatu na Moja ya dhamira kuu ya serikali nikuhakikisha mwananchi hatembei umbali mrefu kwenda kupata huduma badala yake wamezisogeza taasis zote za kiserikali katika eneo moja ili kutatua kero kwa…
6 March 2026, 12:26
Wanawake MPUWSA watoa msaada kwa watoto wenye mahitaji maalum
Ni lazima wanawake kujikita katika malezi ya watoto bila kujali changamoto zao . Na Steven Noel. Kuelekea Siku ya kilele cha wanawake Duniani wanawake wa mamlaka ya maji Katika Mji wa Mpwapwa Watoa msaada wa vifaa vya shule Katika kituo…
4 March 2026, 17:42
Uhaba wa nguzo chanzo Mapinduzi A kukosa umeme
Wamejitahidi kufuatilia mamlaka husika lakini utekelezaji ndio umekosekana na kupelekea nishati ya umeme kuendelea kuwa ni miongoni mwa changamoto kubwa Kwa wakazi wa Mapinduzi A. Na Victor Chigwada. Wakazi wa Mtaa wa Mapinduzi A wamepaza sauti juu ya uhaba wa…
4 March 2026, 16:48
HakiElimu na wanafunzi wa mazingira magumu Mpwapwa
Msaada huo umetolewa kama chachu ya wanafunzi wenye mazingira magumu kutimiza ndoto zao za kimasomo. Na Steven Noel. Shirika la HakiElimu limetoa msaada wa sare za shule na vifaa vingine vya kujifunzia kwa wanafunzi waishio katika mazingira magumu wilayani Mpwapwa.…
4 March 2026, 16:30
BASATA yawataka wasanii nchini kujirasimisha
Semina hiyo imelenga kuwajengea uwezo viongozi wa makundi katika maeneo ya uongozi itifaki,elimu ya fedha ,urasimishaji pamoja na matumizi sahihi ya fursa mbalimbali kuelekea Tamasha la 17 la muziki wa kitamaduni wa asili ya chigogo. Na Anwary Shaban. Baraza la…
3 March 2026, 16:38
Elimu ya itifaki yasisitizwa Dodoma
“Dhamira yetu ni kujenga utamaduni wa kuzingatia itifaki katika sekta zote na kuhakikisha huduma hii inawafikia watumishi wengi zaidi,” amesema Sijabeja. Na Mariam Kasawa.Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Mhe. Rosemary Senyamule, amezitaka taasisi za Serikali na Binafsi kuwapeleka Maafisa Habari…
3 March 2026, 16:23
Wanawake jitokezeni kupata hati miliki ardhi
Serikali ya awamu ya sita imetoa kipaumbele kwa wanawake kuanzia umri wa miaka 18 na kuendelea kupata hati za umiliki wa ardhi. Na Yusuph Hassan.Wanawake Mkoani Dodoma wanaomiliki ardhi wametakiwa kujitokeza katika zoezi la kuchukua hati za umiliki kupitia kliniki…
3 March 2026, 15:31
MOI yafanikisha huduma za kibobezi kwa wagonjwa 10,000
Huduma zingine ni za tiba ya maumivu, huduma ya upasuaji rekebishi wa viungo vilivyopooza, huduma ya upasuaji wa uvimbe na ubongo kwa kutumia teknolojia ya fluorescein na kuanza kwa wodi mpya za kisasa za ‘premier’ kwa ajili ya wagonjwa maalum…
3 March 2026, 12:50
Taasisi Dodoma zapata siku 3 za kusikiliza kero
Amesema kauli mbiu ya “Keroyako, wajibuwangu” imeboreshwa na sasa KAULI MBIU NI KERO YAKO,WAJIBU WANGU,TABASAMU NA DKT SAMIA ili kuendana na dhamira ya Serikali ya kuona Watanzania wanapata furaha na huduma bora. Na Ibrahim Jamal. Mkuu wa Mkoa wa Dodoma,…