Recent posts
17 February 2026, 17:12
Wananchi watakiwa kuwaripoti viongozi wanaokiuka maadili
Mwananchi yeyote anao wajibu wa kutoa taarifa inayo muhusu kiongozi wa umma ambaye ameonesha mwenendo usio faa katika jamii na kiongozi huyo kuchukuliwa hatua za kinidhamu pindi atakapo gundulika kuwa ni kweli ametenda kosa la kimaadili. Na Jerome John. Wananchi…
17 February 2026, 16:47
Zao la zabibu kuanza kutangazwa nchini Burundi
Kuanza kutangazwa kwa zao la zabibu nchini Burundi kumefurahisha baadhi ya wachakataji na wazalishaji wa mvinyo, na kusema kuwa watajitahidi kuzalisha bidhaa zenye ubora na viwango vya kimataifa . Na Mariam Kasawa. Balozi wa Tanzania nchini Burundi Mhe. Gelasius G.…
17 February 2026, 16:33
Wanafunzi Ihumwa wahimizwa kusoma kwa bidii kabla ya mitihani
Wanafunzi wapatao 212 walio fanya mtihani wa kidato Cha nne mwaka Jana wamefanikiwa kupata ufaulu wa madaraja manne kati ya 216 ambapo waliopata daraja la kwanza ni 18, daraja la pili 55, daraja la tatu wakiwa 43 na Daraja la…
17 February 2026, 15:27
Ving’awe waiomba serikali kutimiza ahadi ya kuwapatia maeneo
Kwa upande wake mtendaji wa Kijiji hicho Bi. Rehema Kihimba amesema wameanza kupanda miti kwenye eneo hilo ili kuzuia mmomonyoko . Na Steven Noel. Wananchi wa kata ya Vig’hawe mtaa wa majengo na hazina wameiomba serikali kutimiza ahadi ya kuwapatia…
16 February 2026, 16:31
Vijiji 80 vyapimwa kupunguza migogoro ya wakulima na wafugaji
Moja ya chanzo kikubwa cha migogoro hiyo ni baadhi ya wafugaji kuhama mara kwa mara wakitafuta malisho. Na Kitana Hamis. Waziri wa kilimo Daniel Chongolo amesema bado kuna changamoto ya migogoro kati ya wakulima na wafugaji katika Wilaya ya Handeni…
16 February 2026, 16:14
DMG yarejesha tabasamu kwa watoto yatima wa kituo cha Quadiria
Dodoma media group mwaka 2026 iliamua kurejesha tabasamu kwa watoto hao wa kituo cha Quadiria kwa kupeleka mahitaji mbalimbali huku wakifurahi na watoto hao pamoja na wadau kwa kupata chai ya pamoja. Na Mariam Kasawa. Dodoma media group kwa kushirikiana…
16 February 2026, 15:50
Kongamano la vijana lawanufaisha vijana Zuzu
Kupitia kongamano hilo, Kata ya Zuzu inatarajia kuona kizazi cha vijana chenye mwamko mpya wa uzalendo, uwajibikaji na uthubutu wa kutumia fursa zilizopo kujiletea maendeleo binafsi na ya taifa kwa ujumla. Na Anwary Shaban. Zaidi ya vijana 600 wa Kata…
13 February 2026, 17:23
Serikali kuja na mpango kabambe shoroba za kilimo, mifugo na uvuvi
kuongeza kipato cha wakulima, wafugaji na wavuvi, pamoja na kuvutia uwekezaji wa sekta binafsi kwa kuzingatia mabadiliko ya tabianchi na kuyaunganisha maeneo yenye uzalishaji mkubwa. Na Mariam Kasawa. Serikali kupitia Wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi iko tayari kushiriki kikamilifu…
13 February 2026, 16:52
Chiona waiomba serikali shule shikizi
Mwenyekiti amesema wanajipanga kuanzisha mpango wa kuchangia ujenzi wa shule shikizi itakayo saidia kupunguza umbali kwa vitongoji viwili. Na Victor Chigwada. Wakazi wa kitongoji cha Mabwe Kijiji Cha Chiona Wilayani Chamwino wameiomba Serikali kuanzisha kwa ujenzi wa shule shikizi ili…
13 February 2026, 16:29
Halmashauri ya Mpwapwa kukusanya bil 52.8 mwaka 2026/2027
Aidha Katika makusanyo ya mapato Kwa Robo ya pili Kwa mkoa wa Dodoma halmashauri ya wilaya ya Mpwapwa imekuwa ya mwisho Katika ukusanyaji Kwa Katika wilaya nane za mkoa huo. Na Steven Noel. Halmashauri ya wilaya ya Mpwapwa imepanga kukusanya…