Recent posts
9 January 2026, 16:24
Migodi ya Manyemba, Nayu yahitaji nishati ya umeme
Wachimbaji hao wamesema endapo watapatiwa huduma ya umeme katika machimbo hayo itasaidia kukuza uwekezaji na kurahisisha uchimbaji. Na Victor Chigwada. Wananchi wanaojishughulisha na uchimbaji wa madini aina ya dhahabu katika migodi ya Manyemba na Nayu Kata ya Dabalo Wilaya ya…
9 January 2026, 16:10
Shule ya msingi Dabalo yazidiwa na wanafunzi
Kwa sasa shule hiyo imezidiwa na wingi wa wanafunzi hali inayopelekea darasa moja kukaliwa na wanafunzi hadi 100. Na Victor Chigwada. Mrundikano wa wanafunzi katika shule ya msingi Dabalo, wilaya ya Chamwino jijini Dodoma umepelekea wanafunzi kushindwa kuwaelewa walimu wanapokuwa…
9 January 2026, 15:52
Kiteto tayari kwa bima ya afya kwa wote
Kikao hicho kimelenga kutoa elimu ya awali na kujenga uelewa kwa viongozi kuhusu mpango huo muhimu kwa ustawi wa wananchi. Na Kitana Hamis. Wilaya ya Kiteto imeonyesha utayari mkubwa katika utekelezaji wa Mpango wa Bima ya Afya kwa Wote baada…
9 January 2026, 15:31
Wataalam wahimiza kilimo cha kitaalam Dodoma
Ameeleza kuwa baadhi ya wakulima wamekuwa wakipata hasara kutokana na makosa ya kulima bila kutifua ardhi, kutotumia mbegu bora na kupanda bila kufuata kanuni za kitaalamu. Na Anwary Shabani. Wakulima wametakiwa kutambua ukanda wa kilimo wanaoishi ili kufanya maandalizi sahihi…
9 January 2026, 14:41
Wananchi Dodoma waridhishwa na huduma ya malipo ya viwanja
Picha ni baadhi ya wananchi waliojitokeza halmashauri ya jiji la Dodoma kuchukua namba kwa ajili ya malipo ya viwanja. Picha na Lilian Leopold. Hatua hiyo inatekelezwa kufuatia notisi ya siku 21 iliyotolewa na Halmashauri ya Jiji la Dodoma kuanzia tarehe…
8 January 2026, 16:46
Wakazi Nholi wataka uwazi wa mapato ya mgodi
Wameeleza kuwa uwazi wa mapato na matumizi yatokanayo na shughuli za uchimbaji wa madini katika mgodi wa Nholi ni jambo la msingi katika kuimarisha uwajibikaji na ushiriki wa wananchi katika masuala ya maendeleo ya kijiji. Na Victor Chigwada. Wakazi wa…
8 January 2026, 16:25
Wazazi, walezi wahimizwa kusaidia mabadiliko ya tabia kwa vijana
Akihitimisha, Mtahu amebainisha mikakati ya KISEDETI ikiwemo kuendelea kuandaa programu za malezi salama, kuwatambua na kuwafuatilia watoto wanaoishi na kufanya kazi mitaani pamoja na kuanzisha mashamba darasa, hatua zinazolenga kupunguza idadi ya watoto na vijana wanaoishi na kufanya kazi mitaani…
8 January 2026, 16:04
Wizara ya Katiba na Sheria yasaini makubaiano na UDOM na LSF
Baadhi ya wadau waliojitokeza katika hafla ya utiaji saini hati za makubaliano ya ushirikiano katika Chuo Kikuu cha Dodoma jijini Dodoma na Wizara ya Katiba na Sheria pamoja na Shirika la Legal Services Facility (LSF). Picha na Anwary Shabani. Makubaliano…
8 January 2026, 15:39
Umbali wa shule changamoto kwa vitongoji vya Mgokoo, Mailimbili
Changamoto ya umbali wa shule, inayowalazimu wanafunzi kutembea umbali mrefu na wakati mwingine kuvuka barabara, jambo linalohatarisha usalama wao na kusababisha baadhi yao kukata tamaa na kuacha shule. Na Victor Chigwada. Ikiwa zimesalia siku chache kabla ya shule za msingi…
8 January 2026, 15:01
Wataalam Jiji la Dodoma wakagua ujenzi wa vyoo Chiwondo
Picha ni ujenzi wa matundu ya vyoo unaoendelea katika Shule ya Msingi Chiwondo iliyopo Kata ya Nala jijini Dodoma. Picha na Ofisi ya Mkuu wa Wilaya. Shule hiyo ilitengewa kiasi cha shilingi 17,200,000 kwa ajili ya ujenzi wa matundu 18…