Recent posts
16 December 2025, 16:17
Mpwapwa wataka zimamoto kuwakumbuka
Wananchi hao wameiomba Serikali kuchukua hatua za haraka ili kulinusuru eneo hilo na majanga ya moto yanayoweza kusababisha hasara kubwa zaidi. Na Steven Noel. Wananchi wa Wilaya ya Mpwapwa mkoani Dodoma wameiomba Serikali kuwapatia gari la zimamoto na uokoaji ili…
16 December 2025, 15:57
Wananchi Mlodaa waiomba serikali machinjio ya kisasa
Wakizungumza na taswira ya habari baadhi ya wachinjaji wa maeneo hayo wanasema wekuwa wakichinja mifugo yao Kwa Njia za asili. Na Victor Chigwada. Wananchi wa kijiji cha Mlebe Kata ya Msamalo Wilaya ya Chamwino wameiomba Serikali kuwajengea machinjio ya kisasa…
15 December 2025, 15:51
Wananchi wahimizwa kutunza mazingira
Utunzaji wa mazingira ni muhimu katika jamii hususani utunzaji wa milima. Na Farashuu Abdallah. Wananchi wamehimizwa kutunza mazingira ili kuepuka athari hasi zinazoweza kutokea katika jamii. Wito huo umetolewa na Mkuu wa kitengo cha mawasiliano Serikalini halmashauri ya jiji la…
15 December 2025, 15:30
LATRA yaendelea kuhakikisha usafiri unakuwa bora msimu wa sikukuu
Kipindi hiki cha sikukuu, LATRA imeimarisha ukaguzi wa vyombo vya usafiri ili kuhakikisha magari yako katika hali salama, yana bima halali na hayazidishi abiria. Na Anwary Shaban. Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi Mkoa…
15 December 2025, 15:11
Uhaba wa walimu chanzo cha wanafunzi kukata tamaa Igandu
Kitendo Cha mwalimu mmoja kujigawa katika madarasa mengi inakuwa ngumu kuhakikisha kama wanafunzi wanaelewa kile wanacho fundishwa. Na Victor Chigwada. Uhaba wa walimu katika shule ya msingi Igandu umepelekea baadhi ya wanafunzi wanao maliza darasa la saba shuleni hapo kujiunga…
15 December 2025, 12:21
DUWASA yawachukulia hatua za kisheria wateja 89 kwa Wizi wa Maji
Kwa sasa DUWASA inazalisha lita za maji Milioni 88 kwa siku, huku lengo ni kuzalisha lita za maji Milioni 121 kwa siku pindi miradi mikubwa ya maji ya Nzuguni Awamu ya Pili, Miji 28 Chamwino, Mji wa Serikali Mtumba, UDOM…
12 December 2025, 16:33
Ukosefu wa elimu changamoto kwa makundi kupata mkopo wa 10%
wamesema kuwa endapo watapata mikopo ya asilimia kumi itawasaidia kukuza uchumi wa biashara zao kutoana na wanawae hao kuwa na mitaji midogo. Na Victor Chigwada.Imeelezwa kuwa ukosefu wa elimu kwa makundi ya wanawake na vijana ni moja ya changamoto inayokwamisha…
12 December 2025, 16:09
Mtindo wa maisha chanzo cha msongo wa mawazo kwa wanafunzi vyuoni
Taswira ya Habari imetembelea baadhi ya vyuo vilivyopo jijini Dodoma nakuzungumza na wanafunzi ambapo wamesema. Na Bennard Filbert.Wanafunzi wa vyuo nchini imetajwa kuwa chanzo kikuu cha msongo wa Mawazo hali inayopelekea baadhi yao kuchukua maamuzi ya kujiua. Hayo yanajiri kutokana…
12 December 2025, 16:06
DC Shekimweri awataka wahudumu wa afya kufanya kazi kwa weledi
Picha ni Mkuu wa Wilaya ya Dodoma mjini Alhaj Jabir Shekimweri katika ziara ya Mafunzo ya Mnyororo wa Ugavi wa Dawa. Picha na Lilian Leopold. Katika hatua ya mwisho ya ziara hiyo, viongozi hao wamewahimiza watumishi wa sekta ya afya…
12 December 2025, 15:27
Serikali yajidhatiti kuimarisha ustawi wa Jamii.
Makao ya Taifa ya Kikombo ni mfano wa Taasisi ya Serikali inayotekeleza majukumu hayo kwa weledi. Na Mariam Matundu. Serikali ya Awamu ya Sita, inaendelea kuweka kipaumbele katika ajenda ya ustawi na mifumo ya ulinzi wa mtoto, kuendeleza huduma za…