Dodoma FM

Recent posts

3 August 2023, 4:43 pm

Ukeketaji na ndoa za utotoni kwenye jamii

Utandawazi unatajwa kuwa na ukombozi wa kupunguza vitendo hivi vya ukeketaji na ndoa za utotoni kwenye jamii. Na Mariam Matundu. Mariam matundu amezungumza na Bwana Stanley Nyambuya yeye alikuwa anafanya shughuli ya kukeketa mabinti hapo zamani lakini kwa sasa ameacha.

3 August 2023, 4:19 pm

Zifahamu shughuli za kiuchumi zinazochangia uharibifu bwawa la Hombolo

Serikali imekuwa ikiwasisitiza wavuvi kuwa na leseni lakini watu wengi wa eneo hili hawafuati utaratibu ili kutunza samaki wanao patikana katika bwawa hilo. Na Yussuph Hassan. Shughuli za kiuchumi zimekuwa zikiendeshwa kwa muda mrefu katika bwawa hili lakini shughuli za…

3 August 2023, 3:53 pm

Ujenzi wa madarasa shule ya msingi Magungu wafikia asilimia 85

Shule ya msingi Magungu awali ilikuwa na madarasa 2 na kusababisha wanafunzi kusoma kwa kupokezana. Na Mindi Joseph. Ujenzi wa Madarasa Mapya 9 na matundu ya vyoo 16 katika shule ya Msingi Magungu Wilayani Chemba kupitia mradi wa BOOST umefikia…

3 August 2023, 2:08 pm

Vijana watakiwa kujikita katika utunzaji mazingira

Na Fred Cheti. Wito umetolewa kwa vijana kushiriki katika utunzaji wa mazingira ikiwemo kushiriki katika kampeni mbalimbali za upandaji miti ili kusaidia kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi. Rai hiyo imetolewa na Mkurugenzi wa Taasisi ya Maendeleo ya vijana Mkoa…

2 August 2023, 4:27 pm

Kongamano la maendeleo ya vijana kuanza Agosti 3

Kongamano hilo linatarajiwa kufanyika kwa siku mbili tarehe 3 na 4 ya mwezi Agosti likiwa na lengo la kuwakutanisha vijana kutoka maeneo mbalimbali nchini . Na Fred Cheti. Serikali kupitia Wizara ya Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira…

2 August 2023, 3:43 pm

Wakazi wa Fatina walalamika maji taka kutiririka mtaani

Hivi karibuni kumekuwa na changamoto ya kuzibuka kwa chemba za maji taka na kutiririsha maji katika mtaa wa Fatina, ambapo kwa mujibu wakazi wa eneo hilo chemba hizo huchukuwa takribani hadi muda wa siku 10 katika kuzibuliwa. Na Mariam Msagati.…

2 August 2023, 2:59 pm

Mlimwa walalamikia upungufu wa huduma ya maji

Ngulelo amesema kuwa hali hiyo inawalazimu kutumia maji ambayo si safi na salama na kuiomba Serikali kuingili kati suala hilo. Na Victor Chigwada. Wananchi wa kijiji cha Mlimwa  wilayani Chamwino wamelalamikia changamoto ya upungufu wa huduma ya maji hali inayowapa…

2 August 2023, 1:57 pm

Ujenzi bweni la wasichana Mpendo wafikia hatua za mwisho

Ujenzi huo upo hatua za mwisho na mwezi huu wa nane wanafunzi wa kidato cha kwanza hadi cha nne wataanza kulitumia. Na Mindi Joseph. Ujenzi wa bweni katika shule ya sekondari Mpendo kata ya Mpendo wilayani Chemba umetajwa kutatua changamoto…

2 August 2023, 1:36 pm

Vijana sokoni Majengo waeleza kunufaika na ubebaji mizigo

Wanasema kazi hiyo inawasaidia kujiingizia kipato chao cha kila siku na kuwasaidia kujikwamua kiuchumi. Na Aisha Shaban. Baadhi ya vijana wanaojishughulisha na shughuli ya kubeba mizigo kwa kutumia mikokoteni wameeleza namna shughuli hiyo inavyowasaidia kuendesha shughuli zao na kujikwamua kiuchumi.…

1 August 2023, 4:52 pm

Wadau watakiwa kufahamu mwongozo wa taifa wa wajibu wa wazazi, walezi

Mwongozo huo wa Malezi Bora umetokana na utafiti uliofanywa na serikali kwa kushirikiana na Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto duniani UNICEF, ambapo nguzo kuu tatu zitazingatiwa kwenye mwongozo huo za Kujali, Kulinda na Kuwasiliana na mtoto. Na…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger