Recent posts
4 November 2025, 15:00
Huduma na shughuli mbalimbali zarejea Dodoma
Hali imeendelea kuimarika katika jiji la Dodoma na wananchi wameendelea na shughuli zao kama kawaida huku huduma za usafiri zikirejea , maduka yaliyo kuwa yamefungwa yakifunguliwa. Na Mariam Kasawa.Baada ya serikali hapo jana kuruhusu shughuli za kijamii katika maeneo mbalimbali…
28 October 2025, 15:56
Changamoto jamhuri zakatisha mchezo kati ya Dodoma jiji na
Changamoto hizo zinatajwa kupelekea mchezo huo kuto kukamilika. Hamis makila amezungumza na meneja uwanja wa Jamhuri Bw. Hussein Mhando ambapo ameeleza changamoto zilizo tokea hadi kupelekea taa kusumbua uwanjani hapo na kupelekea mchezo huo kukatishwa.
28 October 2025, 15:44
Wasimamizi wa uchaguzi Dodoma waelezea hali ya maandalizi kuelekea uchaguzi mkuu
Na Waandishi wetu.Kuelekea uchaguzi mkuu utakaofanyika siku ya kesho, ambayo ni 29 Oktoba, waandishi wa habari wamefanya mahojiano na wasimamizi wa uchaguzi mkoa wa Dodoma ili kufahamu maandalizi yapoje mpaka mpaka sasa. Tunaungana na Selemani Kodima ambaye amezungumza na Msimamizi…
28 October 2025, 15:24
INEC yasisitiza maandalizi ya uchaguzi yamekamilika
Katika taarifa yake, Jaji Mwambegele ametoa maelekezo 10 muhimu ambayo wapiga kura wote wanapaswa kuyazingatia siku ya uchaguzi. Na Lilian Leopold.Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetoa maelekezo 10 kwa wapiga kura na wadau wote wa uchaguzi kuelekea Uchaguzi…
28 October 2025, 15:05
Jeshi la Polisi lajipanga kuhakikisha amani na usalama uchaguzi
Jeshi la Polisi limewataka wananchi, vyama vya siasa na wadau wote wa uchaguzi kushirikiaa na vyombo vya usalama ili kuhakikisha mchakato wa uchaguzi unafanyika kwa amani, utulivu na uwazi. Na Anwary Shaban.Jeshi la Polisi mkoani limetoa tamko kuelekea uchaguzi mkuu…
28 October 2025, 14:48
Vikwazo vinavyowakumba wanawake katika kugombea nafasi za uongozi
Mitazamo hasi na kutoaminiwa na jamii ni baadhi ya vikwazo vinavyo wakumba wanawake. Na Mariam Matundu.Moja ya vikwazo wanavyo kutana navyo wanawake katika kugombea nafasi mbalimbali za uongozi wa kisiasa ni mitazamo hasi ya kutokuaminiwa na jamii kutokana na mila…
27 October 2025, 17:29
Dodoma jiji yasubiri majibu kutoka bodi ya ligi
Hamis Makila amezungumza na msemaji wa timu hiyo Moses Mpunga ambapo ameeleza kuwa bado wanasubiri majibu kutoka bodi ya ligi.
27 October 2025, 15:55
Ukatili unao wakabili watu wakati wa kampeni
Leo tunaangazia ukatili unaowakabili watu wakati wa kampeni za kisiasa. Na Seleman KodimaTunaungana na Anthony Makinda, kijana kutoka Chang’ombe, ambaye anasimulia ukatili alioupitia wakati wa kipindi cha kampeni.
27 October 2025, 15:40
Migogoro ya ardhi na ndoa yavuruga maendeleo Mpwayungu
Wameiomba Serikali kupeleka wataalamu wa masuala ya kijinsia kutoa elimu kwa wanandoa, pamoja na wataalamu wa ardhi, ili kupunguza migogoro ya mara kwa mara. Na Victor Chigwada.Wananchi wa Kijiji cha Mpwayungu, jijini Dodoma, wametakiwa kuachana na migogoro ya ardhi na…
27 October 2025, 15:20
Shekimweri awahakikishia wananchi usalama umeimarishwa
Kwa mujibu wa ratiba ya Tume Huru ya Uchaguzi (NEC), uchaguzi mkuu utafanyika Oktoba 29, 2025, ambapo wananchi kote nchini watapata nafasi ya kuchagua viongozi wao katika ngazi ya Urais, Ubunge na Udiwani. Na Lilian Leopold.Mkuu wa Wilaya ya Dodoma…