Recent posts
8 October 2025, 11:54
Wananchi kudumisha amani kuelekea uchaguzi mkuu
Wameongeza kuwa Tanzania ni miongoni mwa mataifa machache duniani yanayosifika kwa utulivu na amani, hivyo ni jukumu la kila mmoja kulinda tunu hiyo muhimu kwa kushiriki uchaguzi kwa utulivu na bila viashiria vya vurugu. Na Victor Chigwada. Licha ya mijadala…
8 October 2025, 11:12
Visima vya TASAF vyaleta nafuu, foleni ya maji yaendelea Mjeloo
. Wameongeza kuwa mbali na visima hivyo lakini bado wamekuwa wakitumia muda mwingi kukaa kwenye foleni kwani visima hivyo havitoi maji yakutosha. Na Victor Chigwada. Wananchi Kijiji Cha Mjeloo, wilaya ya Chamwino wamesema kuwa pamoja na uhaba wa huduma ya…
8 October 2025, 10:23
Watoto hatarini kwa imani potofu za meno ya plastiki
Aidha, ripoti ya kimataifa ya mwaka 2023 kuhusu afya ya kinywa barani Afrika inaonyesha kuwa zaidi ya watoto 1 kati ya 10 katika baadhi ya maeneo ya Tanzania hupoteza maisha au hupata maambukizi makubwa kutokana na vitendo hivyo vinavyofanywa bila…
6 October 2025, 18:03
Senyamule: Michezo ni nguzo ya afya na maendeleo ya jamii
Picha ni Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule katika hafla ya Capital City Marathon . Picha na Lilian Leopold. Amesisitiza kuwa ni wajibu wa kila mtu kujitokeza kushiriki katika shughuli za michezo ili kudumisha afya na kuongeza ubunifu…
6 October 2025, 17:07
Jamii yaaswa kuacha kuwabeza makondakta wanawake
Kazi ya ukondakta ni kazi kama kazi nyingine, hivyo wanawake wana nafasi sawa ya kuifanya bila kubaguliwa. Picha na Blog. Amesema wanawake hao wamekuwa wakijituma kama watu wengine katika kutafuta kipato, ili kuhakikisha familia zao zinapata mahitaji ya msingi na…
6 October 2025, 15:30
Bonanza Bahi latoa elimu ya malezi na haki ya mtoto
Picha ya pamoja ya mgeni rasmi Kamanda wa Polisi jamii na wanamichezo. Picha na Selemani Kodima. Katika Bonanza hilo ambalo limehusisha Mchezo wa mpira wa Miguu kwa kushuhudia mechi zikichezwa na baadhi ya timu zikijinyakulia zawadi mbalimbali ikiwemo Mbuzi,Vifaa vya…
6 October 2025, 11:43
Vijana wahimizwa kujituma ili kuepukana na makundi
Aidha, amesema changamoto kubwa kwa vijana wengi wa sasa ni kutegemea wazazi wao badala ya kujituma na kupambana kwa ajili ya maisha yao, hali inayowadumaza kimaendeleo. Picha na Blog. Muhuri amesema ukosefu wa kipato umesababisha baadhi ya wasichana kujiingiza kwenye…
6 October 2025, 11:11
Chamwino kunufaika na huduma bora za afya ya uzazi
Picha ni Mganga Mkuu jiji la Dodoma Dkt. Pima Sebastian na wadau wakifungua jengo la mama na mtoto zahanati ya Chamwino. Picha na Lilian Leopold. Mradi huo ambao ulianza kutekelezwa mwaka 2018 na kukamilika mwezi Septemba 2025, umekuwa miongoni mwa…
3 October 2025, 11:22
Wakazi Chanhumba wahoji zoezi la urasimishaji ardhi
Licha ya elimu iliyotolewa mwanzoni mwa mpango huo lakini bado haikueleweka kwa wananchi wengi. Na Victor Chigwada. Wakazi wa Kijiji cha Chanhumba Kata ya Handali Wilaya ya Chamwino wamesema imekuwa ni vigumu kupokea zoezi la urasimishaji wa ardhi kwa kuhofia…
3 October 2025, 10:51
Watumishi wa umma watakiwa kuzingatia maadili kazini
Picha ya pamoja ya watumishi wa umma na Naibu Katibu Mkuu Bi. Hilda Kabissa alipokuwa akifungua kikao kazi cha sita cha wadau wa usimamizi wa maadili ya kitaaluma na utendaji. Picha na Selemani Kodima. Hili linajiri baada ya Ofisi ya…