Dodoma FM

Recent posts

25 September 2025, 13:58

Elimu afya ya uzazi inavyoepusha mimba za utotoni

Wasichana walio katika hatari kubwa ya kupata mimba wapatiwe motisha ili kuwasaidia kumaliza shule kama vile malipo ya kifedha au programu za masomo. Na Mariam Kasawa. Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya Ulimwenguni WHO limetoa mwongozo mpya wa kimataifa unaolenga kuzuia…

25 September 2025, 13:32

Ipi nafasi ya mwanamme kwa mwanawake wanawania nafasi za uongozi?

Hakuna shaka kuwa ili kufikia usawa wa kijinsia, wanawake wanahitaji kujiandaa kwa namna ya kipekee na kujipanga vizuri zaidi katika kupata nafasi za uongozi. Ingawa vyama vya siasa vimeanzisha mikakati ya kuwawezesha wanawake, bado kuna upungufu wa ufanisi katika utekelezaji…

24 September 2025, 18:28

Wananchi watakiwa kuzingatia sheria ya mirathi

Komba ameitaka jamii kwa ujumla kutafuta ushauri wa kisheria mapema wanapokutana na changamoto zinazohusiana na mirathi, ili kuhakikisha haki za warithi zinatimizwa na mgogoro wowote unatatuliwa kwa mujibu wa sheria. Na Joseph Julius.Wananchi jijini Dodoma wametakiwa kuzingatia masharti ya sheria…

24 September 2025, 18:06

Bodaboda watakiwa kujiunga na vyama vya wafanyakazi

Maafisa usafirishaji wametakiwa kuhakikisha wanapata vitambulisho vya kidijitali vya wafanyabiashara wadogo ili kuwasaidia kupangiwa maeneo rasmi ya kufanyia kazi. Na Lilian Leopold.Zaidi ya vijana 23,000 jijini Dodoma wanajipatia kipato cha kila siku kupitia uendeshaji wa pikipiki na bajaji . Wakizungumza…

23 September 2025, 16:46

Wafanyakazi wa nyumbani wanakumbana na ukatili-ILO

Wafanyakazi wa nyumbani bado wanakumbwa na unyanyasaji kwa sababu kazi hiyo haieshimiwi kama kazi rasmi. Na Lilian Leopold.Kulingana na ripoti kutoka Shirika la Kazi Duniani (ILO), zaidi ya watu milioni moja wameajiriwa kama wafanyakazi wa nyumbani nchini na wengi wao…

23 September 2025, 16:27

Ng’ambaku waiomba serikali kuboresha miundombinu ya barabara

Wamesema kuwa hata kama barabara hizo hazijawekewa kiwango cha lami, ni vyema kujengewa mifereji pembezoni ili maji yatiririke kwa urahisi. Na Victor Chigwada.Imeelezwa kuwa mvua pamoja na maji yanayotiririka yamekuwa changamoto kubwa kwa barabara za vijijini, kutokana na vifusi vinavyotumika…

23 September 2025, 15:45

TRA Dodoma yasisitiza ulipaji kodi kwa wakati

Amewaomba wafanyabiashara kutumia fursa ya zoezi hilo la elimu ya kodi mlango kwa mlango kwa ajili ya kutoa changamoto zao za kikodi zinazowakabili ili ziweze kupatiwa ufumbuzi. Na Lilian Leopold.Meneja wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Dodoma Bw.…

22 September 2025, 16:53

Mifumo ya elimu yatajwa kuwatatiza vijana wanapofika vyuoni

Hata hivyo, wanasema kuwa tofauti hiyo haizuizi kupata msaada wa kitaaluma na kuendelea kukuza elimu yao pasipo mashaka. Na Victor Chigwada .Imeelezwa kuwa tofauti za mfumo wa elimu ya juu na ule wa msingi na sekondari zimekuwa changamoto kwa baadhi…

22 September 2025, 16:32

Jamii yatakiwa kuzingatia lishe kwa watoto wa miezi sita

Jamii pia imeshauriwa kujitokeza katika kliniki za watoto ili kupata elimu zaidi kuhusu lishe bora na namna ya kuandaa milo ya watoto kwa njia salama na yenye mvuto. Na Peter Mnunduma.Afisa Lishe kutoka Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma,…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger