Recent posts
4 December 2025, 15:44
Upi umuhimu wa lishe bora kabla ya ujauzito kwa mama na mtoto?
Kwa mujibu wa Tanzania Demographic and Health Survey (TDHS), kiwango cha udumavu kwa watoto chini ya miaka mitano kimeshuka kutoka asilimia 34 mwaka 2015 hadi wastani wa asilimia 30 mwaka 2022. Na Yussuph Hassan. Wanawake wameshauriwa kuzingatia lishe hasa kabla…
4 December 2025, 13:20
Vijana waomba elimu zaidi kukabili maambukizi ya VVU
Vijana wenye umri wa miaka 15–24 bado wako katika hatari kubwa ya kupata maambukizi ya Virusi vya Ukimwi (VVU), huku vijana wa kike wakichangia takribani asilimia 80 ya maambukizi mapya. Picha na Mtandao. Miongoni mwa sababu nyingine ambayo inaelezwa ni…
4 December 2025, 12:43
Uuzaji holela wa nyama hatari kwa wakazi wilayani Kiteto
Baadhi ya wauzaji wamekuwa wakiuza nyama ambayo haijapimwa na wataalamu wa mifugo hali ambayo ni hatari kwa walaji wa nyama hiyo. Na Kitana Hamis. Wananchi Wilayani Kiteto mkoani Manyara wamelalamikia uuzwa holela wa nyama hali inayo hatarisha afya za walaji.…
4 December 2025, 11:47
Makundi maalum kuwezeshwa kushiriki miradi ya kiuchumi
Kongamano hilo limeelezwa kuwa muhimu katika kuhamasisha na kutoa elimu kuhusu haki na ushiriki wa watu wenye ulemavu kwenye maamuzi ya kiuchumi. Na Farashuu Abdallah. Serikali kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu imetenga zaidi ya shilingi trilioni moja kwa ajili ya…
3 December 2025, 17:03
Wanaume watakiwa kuwa mstari wa mbele kukomesha ukatili
Taswira ya Habari imefanya mazungumzo na mkuu wa dawati la jinsia na Watoto polisi wilaya ya Dodoma na hapa anaanza kwa kueleza ukatili wa kijinsia ninini. Na Mariam Matundu. Katika kuendelea kuadhimisha siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia wanaume…
3 December 2025, 16:24
Maafisa usafirishaji watakiwa kuzingatia elimu matumizi vyombo vya moto
Amewataka vijana kujitahidi kupata elimu na uelewa wa jinsi kuendesha vyombo vya moto pamoja na kufahamu sheria zza barabarani kala ya kuingia barabarani kuendesha vyombo hivyo. Na Daniel Njau. Maafisa usafirishaji almaarufu kama Bodaboda Jijini Dodoma wametakiwa kuzingatia kanuni za…
3 December 2025, 15:51
Uhaba wa maji wachochea migogoro ya ndoa Manchali
Changamoto ya maji imekuwa ikiwaathiri zaidi wanawake kwani hulazimika kutembea umbali mrefu kufuata maji. Picha na Nukta Habari. Wanawake hao wameongeza kuwa wanaporudi nyumbani hukumbana na ugomvi pamoja na wivu kutoka kwa wenza wao. Na Victor Chigwada. Wakazi wa Manchali…
3 December 2025, 15:28
Waokota taka rejeshi kuboreshewa mazingira ya kazi
Licha ya uokotaji taka kuwa chanzo cha kipato kwao, mchango wao katika kuweka mazingira katika hali ya usafi umeendelea kutambuliwa na wadau wa mazingira. Picha na Google. Hatua nyingine ni kuhakikisha waokota taka wanapatiwa vitambulisho rasmi vitakavyowatambua na kutambua kazi…
3 December 2025, 12:43
Wananchi waathirika kukosa vivuko Igandu
Changamoto hiyo ni kubwa Kwa wakazi wa Igandu kwani inakwamisha baadhi ya shughuli za kijamii. Picha na Mtandao. Aidha amesema amejitahidi kuwasilisha maombi kwa wakandarasi wanaofanya ukarabati kwenye maeneo ya kalavati Ili kuwajengea kivuko katika reli hiyo. Na Victor Chigwada.…
2 December 2025, 16:29
Miundombinu ya elimu yaendelea kuboreshwa Dodoma
Kupitia mapato ya ndani ya halmashauri ya jiji la Dodoma, serikali imeendelea kuboresha miundombinu ya elimu ikiwemo kujenga matundu ya vyoo, madarasa na maabara, lengo ni kuwapatia wanafunzi mazingira salama wezeshi ya kujifunzia. Na Lilian Leopold. Timu ya Menejimenti ya…