Dodoma FM
Dodoma FM
10 September 2025, 16:03
Hata hivyo juhudi za kumpata meneja TANROAD Wilaya ya Chamwino hazikuweza kufanikiwa. Na Victor Chigwada.Wananchi wa Kijiji cha Ndogowe Kata ya Ngh’ambaku Wilaya ya Chamwino wameeleza kilio chao uchakavu wa barabara hali inayokwamisha huduma za usafirishaji kwa wananchi.Wamesema barabara inayotoka…
10 September 2025, 15:44
Afisa Ustawi wa Jami jiji la Dodoma Rosemary Nicodemus wakati akizungumza na Taswira ya Habari anasema uwepo wa migogoro katika familia ni jambo linaloathiri zoezi la unyonyeshaji kwa mama. Na Lilian Leopold.Halmashauri ya Jiji la Dodoma imeeleza kuwa moja ya…
10 September 2025, 15:10
TANESCO imewataka wananchi wote waliounganishiwa umeme kwa njia zisizo halali kujitokeza mara moja kwa hiari ili kusafisha taarifa zao, huku ikisisitiza kuwa operesheni hiyo itaendeleakatika mikoa mingine ili kudhibiti wizi wa umeme nchini. Na Anwary Shaban.Mkazi mmoja wa Jiji la…
9 September 2025, 16:35
Aidha, vifo vitokanavyo na kujiua vinashika nafasi ya tatu duniani kwa vijana wenye umri wa miaka 15–29 ambapo zaidi ya asilimia 73 ya vifo hivyo hutokea nchi zenye kipato cha chini na cha kati. Na Lilian Leopold.Kuelekea maadhimisho ya Siku…
9 September 2025, 14:21
Afisa Mhifadhi Daraja la Kwanza ambaye pia ni Daktari wa Wanyamapori Masalu Makoye Mroje, amesema simba huyo atasafirishwa kwenda eneo la mbali lenye mazingira rafiki, ili kuzuia madhara kwa wananchi na mifugo yao. Na Peter Mnunduma.Mamlaka ya Usimamizi waWanyamapori Tanzania…
9 September 2025, 13:30
Amesisitiza kuwa taasisi na asasi hizo haziruhusiwi kuwapa watu wengine, taasisi au asasi vibali walivyopewa, na kwamba vibali hivyo vinapaswa kutumiwa na walengwa pekee. Na Yussuph Hassan.Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imezitaka taasisi na asasi za kiraia zilizopata…
5 September 2025, 17:40
Kwa mujibu wa Sheria ya Usalama Barabarani ya mwaka 1973 na marekebisho yake, kila dereva wa chombo cha moto anatakiwa kuendesha kwa kasi isiyozidi viwango vilivyowekwa, kuzingatia alama na michoro ya barabarani, pamoja na kuhakikisha usalama wa watembea kwa miguu…
5 September 2025, 17:19
Miradi inawezesha kuwaibua na kuwaunganisha watoto na vijana kwenye matibabu, kuwasaidia kubaki katika huduma na matibabu na kuishi maisha yenye afya. Na Yussuph Hassan.Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe.Rosemary Senyamule amepokea na kukabidhi vifaa vya michezo, vya kujifunzia pamoja na…
3 September 2025, 17:50
Na Yussuph Hassan.Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania (IGP), Camillus Mongosso Wambura, amesisitiza kuwa usalama wa waandishi wa habari ni suala la kipaumbele kwa Jeshi la Polisi, hasa katika kipindi hiki cha kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Tanzania unaotarajiwa kufanyika Oktoba…
3 September 2025, 17:26
Uzinduzi wa Kampeni ya Chanjo ya Mifugo Nchini Tanzania ulifanyika tarehe 16 Juni 2025 katika Viwanja vya Nyakabindi, Bariadi, Mkoa wa Simiyu, katika hafla hiyo, Rais Samia alizindua rasmi kampeni ya kitaifa ya chanjo ya mifugo na utambuzi wa wanyama,…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-