Dodoma FM

Recent posts

10 September 2025, 16:03

Uchakavu wa barabara wakwamisha usafirishaji Ndogowe

Hata hivyo juhudi za kumpata meneja TANROAD Wilaya ya Chamwino hazikuweza kufanikiwa. Na Victor Chigwada.Wananchi wa Kijiji cha Ndogowe Kata ya Ngh’ambaku Wilaya ya Chamwino wameeleza kilio chao uchakavu wa barabara hali inayokwamisha huduma za usafirishaji kwa wananchi.Wamesema barabara inayotoka…

10 September 2025, 15:44

Migogoro ya familia inavyoathiri zoezi la unyonyeshaji

Afisa Ustawi wa Jami jiji la Dodoma Rosemary Nicodemus wakati akizungumza na Taswira ya Habari anasema uwepo wa migogoro katika familia ni jambo linaloathiri zoezi la unyonyeshaji kwa mama. Na Lilian Leopold.Halmashauri ya Jiji la Dodoma imeeleza kuwa moja ya…

10 September 2025, 15:10

Aliyejiunganishia umeme ajikuta matatani

TANESCO imewataka wananchi wote waliounganishiwa umeme kwa njia zisizo halali kujitokeza mara moja kwa hiari ili kusafisha taarifa zao, huku ikisisitiza kuwa operesheni hiyo itaendeleakatika mikoa mingine ili kudhibiti wizi wa umeme nchini. Na Anwary Shaban.Mkazi mmoja wa Jiji la…

9 September 2025, 16:35

Ugumu wa maisha wapelekea visa vya kujiua kuongezeka

Aidha, vifo vitokanavyo na kujiua vinashika nafasi ya tatu duniani kwa vijana wenye umri wa miaka 15–29 ambapo zaidi ya asilimia 73 ya vifo hivyo hutokea nchi zenye kipato cha chini na cha kati. Na Lilian Leopold.Kuelekea maadhimisho ya Siku…

9 September 2025, 14:21

TAWA yamnasa simba jike aliyeuap zaidi ya mifugo 20 Kondoa

Afisa Mhifadhi Daraja la Kwanza ambaye pia ni Daktari wa Wanyamapori Masalu Makoye Mroje, amesema simba huyo atasafirishwa kwenda eneo la mbali lenye mazingira rafiki, ili kuzuia madhara kwa wananchi na mifugo yao. Na Peter Mnunduma.Mamlaka ya Usimamizi waWanyamapori Tanzania…

9 September 2025, 13:30

INEC: Asasi za kiraia zenye kibali zitoe elimu ya mpiga kura

Amesisitiza kuwa taasisi na asasi hizo haziruhusiwi kuwapa watu wengine, taasisi au asasi vibali walivyopewa, na kwamba vibali hivyo vinapaswa kutumiwa na walengwa pekee. Na Yussuph Hassan.Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imezitaka taasisi na asasi za kiraia zilizopata…

5 September 2025, 17:40

Wakazi Ihumwa wahofia ajali madereva kutozingatia sheria

Kwa mujibu wa Sheria ya Usalama Barabarani ya mwaka 1973 na marekebisho yake, kila dereva wa chombo cha moto anatakiwa kuendesha kwa kasi isiyozidi viwango vilivyowekwa, kuzingatia alama na michoro ya barabarani, pamoja na kuhakikisha usalama wa watembea kwa miguu…

5 September 2025, 17:19

Senyamule apokea vitendea kazi wahudumu wa afya ngazi ya jamii

Miradi inawezesha kuwaibua na kuwaunganisha watoto na vijana kwenye matibabu, kuwasaidia kubaki katika huduma na matibabu na kuishi maisha yenye afya. Na Yussuph Hassan.Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe.Rosemary Senyamule amepokea na kukabidhi vifaa vya michezo, vya kujifunzia pamoja na…

3 September 2025, 17:50

Usalama wa wanahabari kipaumbele cha jeshi la polisi-IGP Wambura

Na Yussuph Hassan.Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania (IGP), Camillus Mongosso Wambura, amesisitiza kuwa usalama wa waandishi wa habari ni suala la kipaumbele kwa Jeshi la Polisi, hasa katika kipindi hiki cha kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Tanzania unaotarajiwa kufanyika Oktoba…

3 September 2025, 17:26

Zoezi la chanjo ya mifugo lazinduliwa Mbalawala Dodoma

Uzinduzi wa Kampeni ya Chanjo ya Mifugo Nchini Tanzania ulifanyika tarehe 16 Juni 2025 katika Viwanja vya Nyakabindi, Bariadi, Mkoa wa Simiyu, katika hafla hiyo, Rais Samia alizindua rasmi kampeni ya kitaifa ya chanjo ya mifugo na utambuzi wa wanyama,…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger